A night Kajiado's Governor closed the border btn Tanzania and Kenya, this happened

A night Kajiado's Governor closed the border btn Tanzania and Kenya, this happened

and Yala and Nzoia?
mau-forest-southern-ewaso-ng-iro-perkerra-river-png-favpng-KtJed5Be2bg5XSqGA27tHYiKv.jpg
Amini unachotaka. Barabara kuelekea Busia haijawahi kuharibika. Hio barabara imetumika kwa miaka 50
 
Mnapaswa kujiuliza inakuaje TV kubwa kama hiyo kutangazia dunia kwamba endapo hilo daraja la pili litafungwa hakutokua na mawasiliano ya barabara na Uganda?, kwa hiyo unataka kutuaminisha kwamba wanahabari na vyombo vya habari vya Kenya havina uhakika na wanayotangaza?

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanahabari sio mungu. Wanaweza fanya makosa
 
Amini unachotaka. Barabara kuelekea Busia haijawahi kuharibika. Hio barabara imetumika kwa miaka 50
U mean this kind of bridge?
See how ur covid 19 lock down has made the Chinese stop construction a bridge at the side.



#Akilizahandshake#

CC: Zigi Rizla Kafrican Depay Yosef Festo Teargass Tony254 pingli-nywee komora096 Edward Wanjala
kikihboy
nomasana, sam999, NairobiWalker, hbuyosh, msemakweli, simplemind, Kimweri, Bulldog, MK254, Kafrican, Ngongo, Ab_Titchaz, mtanganyika mpya, JokaKuu, Ngongo, Askari Kanzu, Dhuks, Yule-Msee, waltham, Mzee, mombasite gabriel, Juakali1980, Boda254, mwaswast, MwendaOmo
, Iconoclastes, oneflash, Kambalanick, 1 Africa, saadeque, burukenge, nyangau mkenya, Teen-Upperhill Nairobi, kadoda11
 
Not every human being is perfect, huyo jamaa alikuwa amekosea. Yeye amezoea njia ya Mombasa - Eldoret -Malaba na akasahau Mombasa -Kisumu - Busia.
Infact kitu hawa watu wamesahau ni ati Mombasa- Kisumu- Busia is the main trunk road to Uganda. The Malaba one is like a substitute.
 
Usiniulize Mimi, muulize huyo mtangazaji na hiyo TV yenu ambayo inaitangazia dunia nzima kwamba hakutokua na mawasiliano ya barabara na Uganda endapo daraja la pili litafungwa. Kumbuka kwamba TV inawafikia watu wengi na madhara yake ni makubwa endapo watatoa taarifa za uongo. Sasa hivi tayari wafanyabiashara wanaotumia bandari ya Mombasa wa Uganda watakua na wasiwasi, labda kama GoK itatoa tamka kukanusha hiyo taarifa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna border mbili kati ya kenya na uganda. Malaba border na Busia border. Hata hiyo Malaba ikifungwa bado kuna Busia ambayo itaendelea kuchapa kazi
 
Busia is on the border, magari yanatumia busia route, remember we have two active borders with uganda malaba ikifungwa busia inafanya kazi the only problem ni kwamba itakua overwhelmed na traffic.
so from Kisumu how will all the trucks supposed to go through Malaba get to Kampala? [emoji23] [emoji121]

Sent from my CPH1937 using JamiiForums mobile app
 
Kwa hio route ya malaba,kwa mfano useme boda ya lungalunga/horohoro ifungwe hakutakua na usafiri baina ya kenya na tanzania unasahau kuwa Kuna boss ya namanga pia na isibania?
Huyo mtangazaji wa hiyo TV ndivyo alivyosema kwamba hilo daraja la pili likifungwa hakutokua na mawasiliano ya Barbara na Uganda, au hata yeye haijui Kenya zaidi yako?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent from my CPH1937 using JamiiForums mobile app
 
Kuna border mbili kati ya kenya na uganda. Malaba border na Busia border. Hata hiyo Malaba ikifungwa bado kuna Busia ambayo itaendelea kuchapa kazi
Tatizo lilipo hapa ni kwamba, TV imetangaza kwamba endapo daraja la PILI litafungwa, hakutokua na mawasiliano ya barabara kati ya Kenya na Uganda. Waliosema hivyo ni wakenya kama mlivyo nyinyi, na zaidi ya hapo wao ni wanahabari ambao kabla ya kutangaza jambo lolote wanalazimika kufanya "verification", kwa hiyo uwezekano wa wao wanahabari kufanya makosa ni mdogo ukilinganisha na nyinyi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
U mean this kind of bridge?
See how ur ovid 19 lockdown has made the Chinese stop construction a bridge at the side.

Hio daraja haitumiki na matrela kubwa kubwa. Wewe kwa akili yako hiyo ya kuazima unadhani trela zinazokwenda Uganda zinaweza kutoshea ndani ya hako kadaraja kadogo? Hehehe mzee wetu huyu anachekesha
 
Kwa hio route ya malaba,kwa mfano useme boda ya lungalunga/horohoro ifungwe hakutakua na usafiri baina ya kenya na tanzania unasahau kuwa Kuna boss ya namanga pia na isibania?

Sent from my CPH1937 using JamiiForums mobile app
Kwanini unaniuliza Mimi badala ya kywauliza hao wanahabari wa hiyo TV?, hao ni wakenya wenzenu wanaijua vizuri sana Kenya, na zaidi ya kuwa ni wakenya kama nyinyi, pia ni wanahabari ambao kazi yao kubwa ni kukusanya habari na kuzunguka nchi nzima.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hio daraja haitumiki na matrela kubwa kubwa. Wewe kwa akili yako hiyo ya kuazima unadhani trela zinazokwenda Uganda zinaweza kutoshea ndani ya hako kadaraja kadogo? Hehehe mzee wetu huyu anachekesha
Onyesheni ni madaraji yapi yanayotumika baada ya hayo mawili kufungwa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hio daraja haitumiki na matrela kubwa kubwa. Wewe kwa akili yako hiyo ya kuazima unadhani trela zinazokwenda Uganda zinaweza kutoshea ndani ya hako kadaraja kadogo? Hehehe mzee wetu huyu anachekesha
Hili daraja lingesaidia kama si #akilizahandshake# kufunga mdomo oposition!




#Akilizahandshake#

CC: Zigi Rizla Kafrican Depay Yosef Festo Teargass Tony254 pingli-nywee komora096 Edward Wanjala
kikihboy
nomasana, sam999, NairobiWalker, hbuyosh, msemakweli, simplemind, Kimweri, Bulldog, MK254, Kafrican, Ngongo, Ab_Titchaz, mtanganyika mpya, JokaKuu, Ngongo, Askari Kanzu, Dhuks, Yule-Msee, waltham, Mzee, mombasite gabriel, Juakali1980, Boda254, mwaswast, MwendaOmo
, Iconoclastes, oneflash, Kambalanick, 1 Africa, saadeque, burukenge, nyangau mkenya, Teen-Upperhill Nairobi, kadoda11
 
Kwa hiyo umuhimu wa vyombo vya habari katika kuhabarisha umma na wafanyabiashara huko kweni haupo badala yake kila mtu atumie uelewa na ufahamu wake binafsi?." That is the real meaning of Banana Republic".

Sent using Jamii Forums mobile app
Hamna. Mwanahabari mwenyewe mpuuzi tu. Amesahau kuwa kuna barabara ya pili inayopitia Kisumu kwenda Busia.
 
Maana mtu ambaye ana akili hua anadadisi Mambo habwabwaji tu maneno ukielezwa halafu unabisha ni ishara ya upungufu wako Kia Akili.
Kwanini unaniuliza Mimi badala ya kywauliza hao wanahabari wa hiyo TV?, hao ni wakenya wenzenu wanaijua vizuri sana Kenya, na zaidi ya kuwa ni wakenya kama nyinyi, pia ni wanahabari ambao kazi yao kubwa ni kukusanya habari na kuzunguka nchi nzima.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent from my CPH1937 using JamiiForums mobile app
 
Walipaswa kurekebisha kama wamefanya makosa, au Serikali kukanusha, vinginevyo hupaswi kusema wewe kwamba wamefanya makosa, huna hayo mamlaka ya kuvikosoa vyombo vya habari.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ninayo mamlaka maana nimewahi kuishi katika hayo maeneo naelewa kwamba border ni mbili. Mwanahabari mwenyewe mjinga haelewi kwamba kuna border mbili tofauti na moja ikifungwa nyingine inaendelea kuchapa kazi. Mwanahabari huyo pengine hajawahi kuishi maeneo hayo
 
Back
Top Bottom