Game Theory
JF-Expert Member
- Sep 5, 2006
- 8,546
- 855
well nadhani tuanze kuzungumzia mambo ya mikufu! mbona siyo kama wa dhahabu au ndiyo uzee wenyewe..
bado mwenzie Tibaijuka
mana haikatazwi kuweka Afro lakini bibie lle afro lake lilikuwa linakuwa out of control
halafu naona ana shine kweli kweli hapa:
BTW
hii ilikuwa juzi kwenye hafla ya Glamour's Women Of The Year Awards in NYC
This is very interesting and entertaining!
You can never know what to expect in JF...! Anything from serious BUSINESS to fun, jokes, commedy,.....etc!
well nadhani tuanze kuzungumzia mambo ya mikufu! mbona siyo kama wa dhahabu au ndiyo uzee wenyewe..
sasa ameshindwa kumechisha hicho kilemba, mkufu, na gauni? ile miwani yake yenye uzi havai siku hizi au ndiyo anaenda na contacts?
Suki: I have no idea why we are discussing this..
sasa ameshindwa kumechisha hicho kilemba, mkufu, na gauni? ile miwani yake yenye uzi havai siku hizi au ndiyo anaenda na contacts?
Suki: I have no idea why we are discussing this..
well nadhani tuanze kuzungumzia mambo ya mikufu! mbona siyo kama wa dhahabu au ndiyo uzee wenyewe..
__________________
TEEETEEEEH!!!!!!!!mwanakijiji angalia rangi ya nguo aliyovaa na mkufu,mwenzio kamechisha babu!!!huku hawaangali gold wala silver
sasa ameshindwa kumechisha hicho kilemba, mkufu, na gauni? ile miwani yake yenye uzi havai siku hizi au ndiyo anaenda na contacts?
Suki: I have no idea why we are discussing this..
This is sad.. I had to go back and look at the picture again!