A.R. MIGIRO: at last kafunika nywele

A.R. MIGIRO: at last kafunika nywele

well nadhani tuanze kuzungumzia mambo ya mikufu! mbona siyo kama wa dhahabu au ndiyo uzee wenyewe..
__________________


TEEETEEEEH!!!!!!!!mwanakijiji angalia rangi ya nguo aliyovaa na mkufu,mwenzio kamechisha babu!!!huku hawaangali gold wala silver

Probably Platinum au White gold. All in all amependeza naona na amenenepa.
 
Kwa kweli hiyo camera imemuongeza umbo kidogo, maana ni Jumammosi tu iliyopita nimekutana naye mahali hakuwa kama hiyo picha ilivyomuonyesha, unless ameongezeka in one week, lakini still picha ni safi sana, heshima mbele mkuu GT.
 
Huo mkufu unaendena na rangi ya hiyo gauni/blouse aliyovaa Kamechisha ati!

ujaona na ile underskirt !!!ajachacha kwa kumechisha mzazi mwenzetu!!!

lakini jf!!!!!!!!!!!!!!!!!!mh ,yale mabugaluuuu yangu inabidi nyavae usiku tu

hamchelewi kuni
 
Kwenye hii award aliyokwenda kulikuwa na mix ya majina makubwa...kama vile Sen. Hillary Rodham Clinton, Mayor wa NY Michael Bloomberg, Katie Couric, Jane Goodall, among many...nimefurahi kuona kwamba na yeye amekuwa recognized haswa kwa picha hii iliyopigwa kwenye red carpet.
 
Nadhani hilo vazi alilotoka nalo siku hiyo lilimlazim apige na kilemba otherwise si mara nyingi kufunia kichwa...But still she looks pretty na afro yake!!!

Naona kama vile hiyo rangi juu ya kope ("eye shadow") imekuwa overemphasized! But I agree she looks pretty and african!
 
Mnafikiri marekani mchezo!!!! huh?
Mimi yote tisa,kumi ni huo muda alioupata kuweka hiyo rangi hapo machoni sijui ninyi mnaiita je.Na kufikiria kama zimemechi.Sijui alikuwa anatembea na kurudi kwenye kioo kuijicheki kama kamechi.mmhh ma baga nayo si mchezo.Mama hiha.
 
Huyu mama kwa kweli analipa, mwili wake na umri wake tofauti kabisa, ukiambiwa anaaproach 60 huwezi amini, BIG UP mama!!!!
 
bado mwenzie Tibaijuka

mana haikatazwi kuweka Afro lakini bibie lle afro lake lilikuwa linakuwa out of control

halafu naona ana shine kweli kweli hapa:

slide_639_12936_large.jpg



BTW
hii ilikuwa juzi kwenye hafla ya Glamour's Women Of The Year Awards in NYC

Katoka vizuri kiafrika ila make-up kidogo imemharibia haiba yake ya asili.
 
Mwanakijiji nafikiri ni kwa sababu tumekosa cha kudiscuss, weka mambo hapa au kainzi kapo likizo?, hii itaondoka yenyewe nobody will be interested to discuss this if serious issues will be brought here.

Hapana tunamdiscuss kwa sababu ni celebrity wa bongo.

Mama kanenepa sana..harafu hiyo rangi ya kwenye macho..duuh..haya bana ndo urembo wenyewe...

By the way...kama kuna vitu navifagilia kwenye hii dunia..ni Afro la mama Migiro! I really like it. Her and Anna Tibaijuka..I really like their hair make up....

Anyway I will always cherish her..she taught me in class...
 
mawazo yenu machafu sana

sikutegemea haya nilipoipost hii picha

sasa ndio nini mnataka kulelewa?

nilikuwa sijui kama JF nako kumejaa ma mario namna hii
 
Naona kama vile hiyo rangi juu ya kope ("eye shadow") imekuwa overemphasized! But I agree she looks pretty and african!


...nilikuwa natafuta ujasiri wa kulisema hili! teh teh. Nilidhani kwa hadhi yake hio eye shadow aliyoweka, kidoogo imekuwa too pronounced, if you know what i mean....
 
Katoka vizuri kiafrika ila make-up kidogo imemharibia haiba yake ya asili.




..mimi namkubali asha rose kama kiongozi anaweza ........na kama mwanaume ..kiumbe dhaifu lakini shujaa ..nampenda sana kama mwanamke.....!!!..she is pretty and i am not ashamed to say she is sexy..just because ni DSG wa UN....kama kweli tunaongelea usawa wa kijinsia ..lets give a due compliments..basi tu.....

sina zaidi ya kumuombea yeye ,mmewe na watoto ...kwani anatupa heshima...!!..
 
balozi.jpg

Kaka GT kwa mtazamo wako nani zaidi(mkali) kati ya Mheshimiwa Asha na balozi Mwanaidi? Mimi mkali namuona Asha

weee mbona unanitafuta ugomvi?

ushaanza ku corrupt mawazo yangu

In short kati ya hao sidhani kama unauliza jibu hapo


swali lako ni sawa nia kuulizia tende baghadadi
hebu nipe nafasi nipumue akhi
 
This is very interesting and entertaining!

You can never know what to expect in JF...! Anything from serious BUSINESS to fun, jokes, commedy,. ....etc!

.....and this is what brings us all here. I like that!
Cheers!
 
Admin naomba muondoe hiyo picha ya Mwanaidi au kama ikishindikana naomba muhamishe hii thread

yes najua niliianzisha lakini haya mambo ya kuleta picha ya mwanaidi humu inaninyima raha na mapigo yangu ya moyo yamekuwa abnormal

for obvious reasons

au jamani iacheni nakuombeni muiache maana kila mkiijibu napata munkar =i kuja kuona kilichoandikwa

nawaombeni sana jamani huyo bi mkubwa mwacheni jama
 
Back
Top Bottom