A rare picture of people who had sex before marriage

Nimepata uhakika sasa hata nabii Shilla atakuwepo ktk huo mtanange πŸ˜„πŸ˜„
 
Mkuu malaika wanamiliki simjanja..! Nana malaika Gabriel ameamua kushare picha za jahanam
 
Accidentally, there's no hell existence [emoji23][emoji23], hata Kama hukumu ikiwepo basi watu tutakuwa wakwanza kumshitaki Mungu na kupinga hukumu maana msababishaji ni yeye na huwa anafanya makusud kukutana na muovu shetan, wanakutana wanapiga stori jinsi gan wamtie mwanadamu ktk vishawish na mapito ili akifeli wamkomoe kwa kumwadhibu[emoji23].

Ujinga mkubwa kuamin haya mambo
 
Nafikiri haya mambo ya moto ndio yamefanya watu wasile sana bata

Kiasi flani ime control anasa,,,japo bado watu wabishi,,,hasa likija swala la papuchi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…