Telewolth bin champion
JF-Expert Member
- Dec 11, 2018
- 2,386
- 6,473
Yap yatanikuta? Kwahiyo huyo Mungu yeye anajua kuadhibu tu? Washika dini kwel nyie ni pumbaaa kabisaa...tafuta elimu aisee Muumba wa kwel hapatikan ktk hayo magenge yenu ya dini alafu kuhoji si dhambi Wala si kosa kwamba ukiuliza swal basi unahukumiwa, huyo Mungu wenu katiri hafai kuabudiwa kwakuwa amejawa chuki na visasi.[emoji23][emoji23]Sikutishi najaribu kukuelezea yatakyokukuta endapo hutamrejea Mungu
Unajua kwasababu huna roho mtakatifu ndio maana unaita maneno matakatifu pumba?Yap yatanikuta? Kwahiyo huyo Mungu yeye anajua kuadhibu tu? Washika dini kwel nyie ni pumbaaa kabisaa...tafuta elimu aisee Muumba wa kwel hapatikan ktk hayo magenge yenu ya dini alafu kuhoji si dhambi Wala si kosa kwamba ukiuliza swal basi unahukumiwa, huyo Mungu wenu katiri hafai kuabudiwa kwakuwa amejawa chuki na visasi.[emoji23][emoji23]
Wanaota moto
😅😅😅😅Wanaota moto
Toba ya ukweli inafuta dhambi , sasa kama umefanya dhambi ujiue ? wakati mwingi wa huruma yupo na yeye ndiye mwenye kupokea TobaNa km walikung'utana kabla ya Ndoa lkn wakatubu,hapo vipi mtoa uzi???
Unaongelea bikra ipi dadaaa au basi tuache tuSisi mabikra huo moto hautuhusu😊
Nani alipiga hii picha?
Mtu mbadNamuona na mwaisa😅😅😂.
KabisaaZa kuambiwa changanya na za kwako...
Unasema kweli wewe bado bikra ebu tuonee kidogo baby.......Sisi mabikra huo moto hautuhusu😊
Babe namtunzia mume 😊Unasema kweli wewe bado bikra ebu tuonee kidogo baby.......
Daaa!! Yaaani Kabisaaaa!!....kwani yupo tayari au wamsubiria??? watu wana bahati sana...hongera zako baby!! Have a nice day!Babe namtunzia mume 😊