sweetapple
JF-Expert Member
- Dec 31, 2015
- 533
- 461
- Thread starter
- #21
hata mimi sikioni.......au sijaelewa nilidhani ni mimi tuhivi kweli hukioni au unatania
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hata mimi sikioni.......au sijaelewa nilidhani ni mimi tuhivi kweli hukioni au unatania
labda ningesemaje?umescroww mpaka mwishoo...,mana ipo ukiendeleaa kusomaa..we mfupi niniiTeheeee, Nat tha simple, if you wanna be Queen ♕, make your husband a King
click kwenye id ya mhusika then kwenye profile lake utaona "start converration" chonga naye hapohata mimi sikioni.......au sijaelewa nilidhani ni mimi tu
Kwahiyo mpenzi, unaamini kabisa elimu ni kigezo cha mme bora??WEE acha tu kwanza wakati nachapa imekuja kimakosa ..na pia inaendelea kwa chini ukiendeleaa kuscrow...I MEANT MASTER'DEGREE au Bachelor Degree..sorry
In short there not a perfect match as you describe! Love! It jus happens, it doesn't matter he is blue/black/yellow, short, tall, fat.. Jus sit back and relax your prince charming is gonna come!!labda ningesemaje?umescroww mpaka mwishoo...,mana ipo ukiendeleaa kusomaa..we mfupi ninii
Don't worry.......good day.In short there not a perfect match as you describe! Love! It jus happens, it doesn't matter he is blue/black/yellow, short, tall, fat.. Jus sit back and relax your prince charming is gonna come!!
.....pia yoote uliyosema nayajuaa..ila sasa it must be a starting point....hata ninyii wanaumee huwa mnawekaga vigezo...na sio lazimaa awe exactly the same way...walau ajue napenda ninii...thanxs.In short there not a perfect match as you describe! Love! It jus happens, it doesn't matter he is blue/black/yellow, short, tall, fat.. Jus sit back and relax your prince charming is gonna come!!
Aspirin...I know sio lazima..ila kwa ulimwengu Wa Leo kuna hata kujiendeleza kama hana Elimu hope atapenda ajiendeleze..Elimu ni muhimu kupanuka mawazo.Kwahiyo mpenzi, unaamini kabisa elimu ni kigezo cha mme bora??
Basi angalau ungepunguza masharti mama. Badala ya kusema lazima awe na digrii au masters ungesema tu awe tayari kujiendeleza kielimu. Kuna wanaume bora mtaani huku wameenda shule ya kawaida lakini bongo zao zinafanya kazi balaa.... tena wamewaajiri hao wasomi wenzio....Aspirin...I know sio lazima..ila kwa ulimwengu Wa Leo kuna hata kujiendeleza kama hana Elimu hope atapenda ajiendeleze..Elimu ni muhimu kupanuka mawazo.
Haaa haaa ntamuulizaa!!!Basi angalau ungepunguza masharti mama. Badala ya kusema lazima awe na digrii au masters ungesema tu awe tayari kujiendeleza kielimu. Kuna wanaume bora mtaani huku wameenda shule ya kawaida lakini bongo zao zinafanya kazi balaa.... tena wamewaajiri hao wasomi wenzio....
Kupata mume bora, mshirikishe sana Mungu. Afu usimwekee sana masharti.... muulize Jackline Ntuyabaliwe....
Episode-Tamthilia au seriesHIV episode ndio nin?
Sorry I mean H.I.VHIV ndo nini
You can't be serious....nimekupata...Sina Mastaz, bachela wala kid, nina bajaji 2 bodaboda 4 na ni mfugaji wa kuku wa kienyeji. Vipi nina qualification za kuomba mawasiliano??
SijaelewaYou can't be serious....nimekupata...
Swali la kizushi la kibinafsi... kama vipi nijibu private ili nikufanyie maombi. Baba wa mtoto wako ako wapi???Haaa haaa ntamuulizaa!!!