A serious Woman to join in marriage!!!

A serious Woman to join in marriage!!!

Nyamayao vigezo ni muhimu, vipo ambavyo sio strict vingine ni strict, na mwanamke kuwa mtafutaji sio kigezo cha kuwa mke bora, masuala ya elimu ni kuhakikisha unakuwa na mtu mnaeongea lugha moja.

Humu ndani kuna confession ya watu waliofanikiwa kama ni kweli. Am just trying my lucky, who knows!!!

oohh plzzz, unataka kuniambia wote waliiooana wasomi wanaongea lugha moja? au sijakupata, usikute unamaanisha "kiingereza"?
 
oohh plzzz, unataka kuniambia wote waliiooana wasomi wanaongea lugha moja? au sijakupata, usikute unamaanisha "kiingereza"?
Hujanipata kweli, simaanishi kiingeraza dada Nyamayao lugha moja maana yake, uwezo unaofanana wa kuchambua mambo. Nadhani umenielewa
 
Last edited by a moderator:
Hujanipata kweli, simaanishi kiingeraza dada Nyamayao lugha moja maana yake, uwezo unaofanana wa kuchambua mambo. Nadhani umenielewa

uwezo wa kuchambua mambo hauwezi kufanana bali unaweza kuendana, na kuna wasomi wa darasani but kwenye maisha kiujumla ni mabogus hatari, uwezo wa kuchambua mambo hauendani hata kidunchu na kisomo.
 
uwezo wa kuchambua mambo hauwezi kufanana bali unaweza kuendana, na kuna wasomi wa darasani but kwenye maisha kiujumla ni mabogus hatari, uwezo wa kuchambua mambo hauendani hata kidunchu na kisomo.
So kwenda shule hakusaidii kuongeza uwezo wa kuchambua mambo, sijui kama ndio unachomaanisha, hivi kuendana na kufanana ni tofauti, labda.
 
Jamani nimeshakosa mme hapo mie jamani.
Nina leaving certificate ya std seven.Mme namtaka jamani mie kwishney.
Punguza hayoo mavigezo bana.na sie tukufaidi bana lol.
 
So kwenda shule hakusaidii kuongeza uwezo wa kuchambua mambo, sijui kama ndio unachomaanisha, hivi kuendana na kufanana ni tofauti, labda.
mhh, nahisi tutakehsa, nikutakie kila kheri inshallaah upate hitaji la moyo wako.
 
So kwenda shule hakusaidii kuongeza uwezo wa kuchambua mambo, sijui kama ndio unachomaanisha, hivi kuendana na kufanana ni tofauti, labda.
ungekuwa hujawai kuoa ningejitosa ,mambo ya ukewenza bwana magumu. nije kupigwa bure? mwanamke gani anakubali mume wake aoe tena?
 
ungekuwa hujawai kuoa ningejitosa ,mambo ya ukewenza bwana magumu. nije kupigwa bure? mwanamke gani anakubali mume wake aoe tena?
Hujaona wanawake wanaokubali waume zao waoe tena, ww waishi Jupiter Smile
 
Last edited by a moderator:
atanifanyia visa,sitoishi na wewe kwa amani bwana.mi sipendi fujo sina nguvu za kupigana kabisa
Si wote wanafanyiana visa, wengine wanakuwa wanne, wanaishi nyumba moja kwa amani raha mustarehe wakimuhudumia kwa zamu la-aziz wao, unaweza ukawa kati ya hao ambao wanaoishi vizuri
 
du, shule tu imeniponza, ningeuaga ukapera !!!
 
mpk nipate degree bado upo tu??
Ukiwa na vigezo vingine na ukaonyesha nia why not!!! inategemea lakini kama utaanza evening classes za form 2 hapo itakuwa ngumu kukusubiri
 
Mimi ni mwanaume, 37
years of age, ni baba wa watoto wawili, wote wa kike, nimezaa na
mwanamke mmoja, watoto wote, aliyekuwa mke wangu kabla ndoa yetu
haijavunjika (sababu baadae). Nina masters degree ya udaktari , nafanya
kazi katika hospitali moja ya mkoa. Natafuta mtu wa kumaliza nae maisha.


hildejuisi@hotmail.com
 
oohh plzzz, unataka kuniambia wote waliiooana wasomi wanaongea lugha moja? au sijakupata, usikute unamaanisha "kiingereza"?
Kunatofauti kati ya msomi na asiyenda shule huwa ni vigumu sana kuelewana kutokana na huwezo wake wa kufikiri maswala ya kifamilia hata ushauri pia
 
Back
Top Bottom