FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Kumbe ndio huyu?!SHYROSE BHANJI TUNAKUITA HUKU
Chek cv yake shy ss hv yuko wap shy rose bhanjiKumbe ndio huyu?!
Chek cv yake shy ss hv yuko wap shy rose bhanji
ASIFE. ACHA AISHI AENDELEE KUSHUHUDIA.Pascal mayalla ni mjanja ameshajua hatafaulu ameanza kutuandaa kisaikolojia...at your age umezidi kuwa na nuksi na mikosi. Kaa kwa kutulia,Lea wajukuu....nenda porini kafuge...upate maziwa unywe. Ufe!
unajua raha sana kupandisha mabega km unayo!!......Lool mie waniumize tuu ikifika zamu yao lkn nitapandisha kwa raha zangu!.....siku ukinikamata nashusha mabega!wala sijipendekezi kazi kwako sasa........vijana wanapenda sana kupandisha mabega!
Wanabodi
Hiki ni kisa cha kweli, mwenzenu leo yamenikuta ya kunikuta nimepata a shock of my life! Nilikuwa na furaha na matumaini tele, mara ghafla furaha yangu ikageuka shubiri.
Kisa chenyewe kilianzia miaka ya mid 1990s enzi hizo mimi ni mtangazaji nyota, naandamana na Rais Mkapa ziara za ng'ambo zikiwemo za UN, naendesha kipindi cha Kiti Moto, siogopi mtu!, sina heshima, sina adabu, sina nidhamu!, baadhi ya maswali yangu yalikuwa so provocative hadi baadhi ya viongozi wa serikali wakawa wananiogopa!, Hivyo nikavimba bichwa hilo nikajiona mimi ndiyo mimi, sioni, sisikii wala mtu haniambii kitu. Kila kinachokatiza mbele ya macho yangu halali yangu!.
Siku moja nikiwa nchi fulani, nikafuatwa na mtu mmoja raia wa nchi hiyo, baada ya kuelezwa kuna ujumbe wa watanzania. Basi huyo jamaa akatafuta mwanahabari akanimegea info tip ya issue fulani kumhusu mdada fulani mrembo wa Tanzania mwanasiasa kijana al maaruf enzi hizo akitaka iripotiwe kwenye vyombo vya habari.
Sisi waandishi sometimes tunakuwa vimbelembele sana, ukipata habari mbaya ya mtu maarufu ama unakimbilia kuilipua na sisi pia ni binadamu au unampenyezea mhusika na kumtishia kumlipua ili 'akuone', asipokuona una mlipua. Na kama mhusika ni mwanamke, na sisi watu wa Kanda ile na ule udhaifu wetu na wanawake weupe!, then unaitumia hiyo news tip kama fimbo ya kumchapia au gear ya kuingilia ili ...!
Mimi kurejea nchini, nikamtafuta mwanasiasa huyu mrembo ili nimbananishe ili angalau na mimi... si unajua tena mambo ya ujana!
Bi dada akakana taarifa hizo kuwa sii za kweli ni uzushi wa uongo, huyu mtu anamzushia tuu. Mimi sikumuamini bi dada na kwa hoja moja tuu, why her?
Nika amua kumtishia kumlipua kwenye media kama vipi 'tuzungumze' tuelewane nipotezee kwa kukauka na kukausha. Bi dada akagoma katakata kufanya 'mazungumzo yale' kwa hoja kuwa ni uongo na uzushi, na mimi naendelea kumuaminia source wangu alichoniambia ni ukweli mtupu!.
Mimi na bi dada tukashindwa kufikia any compromise, hivyo nikamlipua kwa kuiandika story na kuiripoti na ikatoka, watu wa magazeti nao waka i pick from TV nakuishikia kidedea, ika trend kama wildfire na usually bad news spread faster!.
Issue ilipojulikana, wenye kazi zao nao wakaingia kazini kuifuatilia na kilichofuata bi dada moto ulimuwakia akawekwa pending pembeni kupisha uchunguzi. Kwa muda huo mimi wala sikujali what happened to her. Kumbe baadae issue ikwisha she was cleared hivyo bi dada akaendelea na kazi kwa kupanda vyeo sasa ni bosi mkubwa!.
Na mimi kwa upande wangu umaarufu wangu wa kipindi cha Kiti Moto ulikuja kuisha, kipindi kilipigwa marufuku kutokana na kuwabananisha viongozi na kuwalipua. Nikaja kuacha kazi na kutimkia zangu ughaibuni.
Mwaka 2000 nikarejea Bongo nikajiunga TBC sikudumu nikakumbana na mabalaa chungu tele, mara kukimbiwa na mke, mara kupata ajali mbaya na ku paralyze, kumbe ni malipo ya accumulation ya karma za matendo yangu ya nyuma, tutendeni mema jameni, ukitenda ubaya wowote, malipo ni hapa hapa duniani!.
Sasa leo, niko mkoa fulani kwenye lile jambo letu lile, leo ndio interview!. nimelikamilisha vizuri kuhojiwa, nimejibu maswali yote vizuri kwa ufasaha bila kubabaika, nikiwa na furaha tele na matumaini chanya kwasababu niko vizuri kwenye kujieleza, uzoefu umesimama, shule imepanda, kwa sifa tuu, uwezo na vigezo kiukweli kabisa sijifagilii, ninavyo na niko vizuri, ila unaweza kukuta kwenye watu 186 wazuri wako 40 na wengine ni wazuri zaidi yako nafasi zenyewe ni 6, kati ya 6 hizo, nafasi 3 ni za wanawake!, hivyo mijiba 100 mnagombea nafasi 3!, kati ya tatu hizo moja ni ya Zanzibar!, mtu ukikosa utalalamika?.
Nimetoka chumba cha interview na furaha yangu, kabla sijafika nje ya ukumbi naitwa nimeambiwa subiri. Mara namuona mama mtu mzima kidogo, na mshepu ambaye ndiye katibu wa ile kamati ya interview, ananisalimia kwa majina yangu yote mawili huku ana smile, "unanikumbuka?"
Nikamwangalia trying to recall nimemuona wapi, sikukumbuki but the face looks bit familiar.
Nikamjibu sikumbuki naomba unikumbushe, akanitajia "mimi ni fulani bin fulani, umenikumbuka?"
Duh.m! Nilipigwa na a shock ya mwaka
of my life! Kumbe yule bidada niliyemlipua mwaka 1995, miaka 27 iliyopita, sasa ndiye boss wa interview yangu!.
"Interview umefanya vizuri nikaona nije kukusalimia tuu na kukumbusha ili unikumbuke ulichonifanyia!. Nenda salama mimi ngoja nirudi kwenye kikao"
Ghafla mwili uliingia baridi kama barafu nili freeze, nikataka kuishiwa nguvu na kuanguka, miguu imeingia ganzi ghafla haiwezi kuubeba mwili, nikaegemea ukuta nisianguke.
Mmama huyo kageuza kurudi ndani!, anatembea taratibu with confidence huku nikikodolea mshepu kwa nyuma nikibaki sina hili wala lile!. Kwa sekunde kadhaa nilibaki mdomo wazi na adrenalin rush sauti imenikauka, macho yamenitoka kama nakabwa nimeona jini!, huku mwanga ukififia naona giza. Napata kama kizunguzungu!.
Nikaambaa ambaa huku nimeshika ukuta hadi kwenye viti vya karibu nikakaa na kuvuta pumzi kwa nguvu kama umeachiwa baada ya kukabwa nataka kushindwa kupumua.
Just tell me, in such a situation, kuna kusubiria tena majibu positive ya lile jambo letu?!. Tena nikivuta picha kukumbuka when she was begging me, nisimlipue, tears dropped on her dimples cheeks, she almost cried!. She insisted if it was true, she would have done anything that I ask but it was not true!.
Lessons
Hii shock of my life niliyokutana nayo leo, na furaha yangu kugeuka shubiri, imenifunza lile somo la be good to people on your way up, you might meet them on your way down!. Usijisikie wewe ndio wewe wakati ukiwa juu na kuwatenda wengine kuwadharau, kuwaonea, kuwalipua, na kuwatesa, huijui kesho yako utakutana nao wapi wewe ukiwa nani na wao wakiwa nani!.
Yule mdada mrembo niliyemlipua kwenye media enzi hizo mimi ni mimi, leo yeye ndio boss anayetakiwa kutia tick jina langu lisonge mbele, na mimi leo ndio a beggar begging for her mercy!.
Mwenzenu leo yamenikuta, na ikitokea hata kama na mimi nimekidhi sifa na vigezo na niko among the top aspirants, msiponiona jina langu kusonga mbele, mjue sio upungufu wa sifa, bali nimezidiwa sifa na wengine na sio nimeenguliwa kwasababu ya hii issue!. Ila pia ikitokea nimekidhi sifa na vigezo ila poa nina mzigo mkubwa wa makando kando ambayo hayabebeki, nawaomba ndugu zangu, tukubaliane na matokeo yoyote, na ikiwa hivyo, I don't point fingers or shift the blame to anyone, the cause ni mimi mwenyewe, "ME, MYSELF & I" na karma reprisals hit back za matendo yangu ya nyuma on what goes around, comes around!.
Kwa vile mimi yamenikuta, naomba niwe darasa kwa wengine, always be humble na kuwatendea mema watu wote, heshima watu wote wakubwa na wadogo na usidharau watu. Wadogo wa leo ndio wakubwa wa kesho!.
Sasa hivi natafakari nilipata nini kwa kumuwasha yule dada kwenye media wakati huo nikiwa top, compared to sasa nakosa nini mimi nikiwa down and she is top!.
Karma is real na majuto ni mjukuu!.
We mama niliyo kukosea kwa kukutenda ulipokuwa msichana, nakuomba sana unisamehe kwa yote nilio kutendea.
Nimekosa mimi,
Nimekosa mimi,
Nimekosa sana!
Naomba huruma yako, maana nimeshakula bakora za karma za kutosha.
Ila pia ikitokea ukashindwa kusamehe mimi nikikatwa ni tayari nimejikubali nimekatwa kihalali kabisa kufidia matendo yangu enzi za ujana maji ya moto. Mungu unisamehe, unifundishe kunyamaza and being humble.
Naahidi kuwa mtu mwema zaidi sasa na yale mazuri yote ninayoitendea nchi yangu, hata bila uteuzi nitaendelea kuyatenda na kuwa raia mwema wa JMT, tena kwa taarifa, ile tabia ya ku lipua lipua watu kwenye media due to info tip sasa nimeisha achana nayo na mfano hai ni ile siku napata info tip hii Elections 2015 - Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli by this time, already I had a certain info tip fulani ya mtu huyu kutoka kwa Mkuu britanicca , hiyo info tip niliizungumza tuu humo
Just imagine kama ningekuwa ni yule Pasco wa Kiti Moto, nikaziweka hizo sababu, could you imagine ingekuwaje?!.
Huyu Pascal Mayalla wa sasa, japo bado ni mwandishi wa habari wa kujitegemea kwa kujitolea, kwanza ameachana na kuandika habari za kiuchunguzi, Investigative Journalism (IJ) na kujikita kwenye Developmental Journalism (DJ), pili akikutana na damaging info tip, anatumia objectivity zaidi kwa kutanguliza mbele maslahi ya taifa Swali la Morality: Je, ni lazima kuusema kila ukweli unaousikia au tutangulize mbele maslahi ya Taifa?
Hivyo sasa wajemeni mimi ni a completely changed person!, nisihukumiwe au kuadhibiwa kwa makosa yangu ya zamani bali nihukumiwe kwa mawazo, maneno na matendo yangu ya sasa, kama nilivyo shauri hapa Tum-judge Rais Samia kwa mawazo, maneno, na matendo yake ya sasa akiwa ni Rais wa JMT na siyo kwa alivyokuwa VP! tukianza kuhukumiana kwa mawazo, maneno, matendo na makosa ya nyuma..., nani atasimama?!.
Mungu nisaidie.
Amen.
Paskali.
Is not an end of the world Pasi. Relax. It happens sometimes in lifetimeWanabodi
Hiki ni kisa cha kweli, mwenzenu leo yamenikuta ya kunikuta nimepata a shock of my life! Nilikuwa na furaha na matumaini tele, mara ghafla furaha yangu ikageuka shubiri.
Kisa chenyewe kilianzia miaka ya mid 1990s enzi hizo mimi ni mtangazaji nyota, naandamana na Rais Mkapa ziara za ng'ambo zikiwemo za UN, naendesha kipindi cha Kiti Moto, siogopi mtu!, sina heshima, sina adabu, sina nidhamu!, baadhi ya maswali yangu yalikuwa so provocative hadi baadhi ya viongozi wa serikali wakawa wananiogopa!, Hivyo nikavimba bichwa hilo nikajiona mimi ndiyo mimi, sioni, sisikii wala mtu haniambii kitu. Kila kinachokatiza mbele ya macho yangu halali yangu!.
Siku moja nikiwa nchi fulani, nikafuatwa na mtu mmoja raia wa nchi hiyo, baada ya kuelezwa kuna ujumbe wa watanzania. Basi huyo jamaa akatafuta mwanahabari akanimegea info tip ya issue fulani kumhusu mdada fulani mrembo wa Tanzania mwanasiasa kijana al maaruf enzi hizo akitaka iripotiwe kwenye vyombo vya habari.
Sisi waandishi sometimes tunakuwa vimbelembele sana, ukipata habari mbaya ya mtu maarufu ama unakimbilia kuilipua na sisi pia ni binadamu au unampenyezea mhusika na kumtishia kumlipua ili 'akuone', asipokuona una mlipua. Na kama mhusika ni mwanamke, na sisi watu wa Kanda ile na ule udhaifu wetu na wanawake weupe!, then unaitumia hiyo news tip kama fimbo ya kumchapia au gear ya kuingilia ili ...!
Mimi kurejea nchini, nikamtafuta mwanasiasa huyu mrembo ili nimbananishe ili angalau na mimi... si unajua tena mambo ya ujana!
Bi dada akakana taarifa hizo kuwa sii za kweli ni uzushi wa uongo, huyu mtu anamzushia tuu. Mimi sikumuamini bi dada na kwa hoja moja tuu, why her?
Nika amua kumtishia kumlipua kwenye media kama vipi 'tuzungumze' tuelewane nipotezee kwa kukauka na kukausha. Bi dada akagoma katakata kufanya 'mazungumzo yale' kwa hoja kuwa ni uongo na uzushi, na mimi naendelea kumuaminia source wangu alichoniambia ni ukweli mtupu!.
Mimi na bi dada tukashindwa kufikia any compromise, hivyo nikamlipua kwa kuiandika story na kuiripoti na ikatoka, watu wa magazeti nao waka i pick from TV nakuishikia kidedea, ika trend kama wildfire na usually bad news spread faster!.
Issue ilipojulikana, wenye kazi zao nao wakaingia kazini kuifuatilia na kilichofuata bi dada moto ulimuwakia akawekwa pending pembeni kupisha uchunguzi. Kwa muda huo mimi wala sikujali what happened to her. Kumbe baadae issue ikwisha she was cleared hivyo bi dada akaendelea na kazi kwa kupanda vyeo sasa ni bosi mkubwa!.
Na mimi kwa upande wangu umaarufu wangu wa kipindi cha Kiti Moto ulikuja kuisha, kipindi kilipigwa marufuku kutokana na kuwabananisha viongozi na kuwalipua. Nikaja kuacha kazi na kutimkia zangu ughaibuni.
Mwaka 2000 nikarejea Bongo nikajiunga TBC sikudumu nikakumbana na mabalaa chungu tele, mara kukimbiwa na mke, mara kupata ajali mbaya na ku paralyze, kumbe ni malipo ya accumulation ya karma za matendo yangu ya nyuma, tutendeni mema jameni, ukitenda ubaya wowote, malipo ni hapa hapa duniani!.
Sasa leo, niko mkoa fulani kwenye lile jambo letu lile, leo ndio interview!. nimelikamilisha vizuri kuhojiwa, nimejibu maswali yote vizuri kwa ufasaha bila kubabaika, nikiwa na furaha tele na matumaini chanya kwasababu niko vizuri kwenye kujieleza, uzoefu umesimama, shule imepanda, kwa sifa tuu, uwezo na vigezo kiukweli kabisa sijifagilii, ninavyo na niko vizuri, ila unaweza kukuta kwenye watu 186 wazuri wako 40 na wengine ni wazuri zaidi yako nafasi zenyewe ni 6, kati ya 6 hizo, nafasi 3 ni za wanawake!, hivyo mijiba 100 mnagombea nafasi 3!, kati ya tatu hizo moja ni ya Zanzibar!, mtu ukikosa utalalamika?.
Nimetoka chumba cha interview na furaha yangu, kabla sijafika nje ya ukumbi naitwa nimeambiwa subiri. Mara namuona mama mtu mzima kidogo, na mshepu ambaye ndiye katibu wa ile kamati ya interview, ananisalimia kwa majina yangu yote mawili huku ana smile, "unanikumbuka?"
Nikamwangalia trying to recall nimemuona wapi, sikukumbuki but the face looks bit familiar.
Nikamjibu sikumbuki naomba unikumbushe, akanitajia "mimi ni fulani bin fulani, umenikumbuka?"
Duh.m! Nilipigwa na a shock ya mwaka
of my life! Kumbe yule bidada niliyemlipua mwaka 1995, miaka 27 iliyopita, sasa ndiye boss wa interview yangu!.
"Interview umefanya vizuri nikaona nije kukusalimia tuu na kukumbusha ili unikumbuke ulichonifanyia!. Nenda salama mimi ngoja nirudi kwenye kikao"
Ghafla mwili uliingia baridi kama barafu nili freeze, nikataka kuishiwa nguvu na kuanguka, miguu imeingia ganzi ghafla haiwezi kuubeba mwili, nikaegemea ukuta nisianguke.
Mmama huyo kageuza kurudi ndani!, anatembea taratibu with confidence huku nikikodolea mshepu kwa nyuma nikibaki sina hili wala lile!. Kwa sekunde kadhaa nilibaki mdomo wazi na adrenalin rush sauti imenikauka, macho yamenitoka kama nakabwa nimeona jini!, huku mwanga ukififia naona giza. Napata kama kizunguzungu!.
Nikaambaa ambaa huku nimeshika ukuta hadi kwenye viti vya karibu nikakaa na kuvuta pumzi kwa nguvu kama umeachiwa baada ya kukabwa nataka kushindwa kupumua.
Just tell me, in such a situation, kuna kusubiria tena majibu positive ya lile jambo letu?!. Tena nikivuta picha kukumbuka when she was begging me, nisimlipue, tears dropped on her dimples cheeks, she almost cried!. She insisted if it was true, she would have done anything that I ask but it was not true!.
Lessons
Hii shock of my life niliyokutana nayo leo, na furaha yangu kugeuka shubiri, imenifunza lile somo la be good to people on your way up, you might meet them on your way down!. Usijisikie wewe ndio wewe wakati ukiwa juu na kuwatenda wengine kuwadharau, kuwaonea, kuwalipua, na kuwatesa, huijui kesho yako utakutana nao wapi wewe ukiwa nani na wao wakiwa nani!.
Yule mdada mrembo niliyemlipua kwenye media enzi hizo mimi ni mimi, leo yeye ndio boss anayetakiwa kutia tick jina langu lisonge mbele, na mimi leo ndio a beggar begging for her mercy!.
Mwenzenu leo yamenikuta, na ikitokea hata kama na mimi nimekidhi sifa na vigezo na niko among the top aspirants, msiponiona jina langu kusonga mbele, mjue sio upungufu wa sifa, bali nimezidiwa sifa na wengine na sio nimeenguliwa kwasababu ya hii issue!. Ila pia ikitokea nimekidhi sifa na vigezo ila poa nina mzigo mkubwa wa makando kando ambayo hayabebeki, nawaomba ndugu zangu, tukubaliane na matokeo yoyote, na ikiwa hivyo, I don't point fingers or shift the blame to anyone, the cause ni mimi mwenyewe, "ME, MYSELF & I" na karma reprisals hit back za matendo yangu ya nyuma on what goes around, comes around!.
Kwa vile mimi yamenikuta, naomba niwe darasa kwa wengine, always be humble na kuwatendea mema watu wote, heshima watu wote wakubwa na wadogo na usidharau watu. Wadogo wa leo ndio wakubwa wa kesho!.
Sasa hivi natafakari nilipata nini kwa kumuwasha yule dada kwenye media wakati huo nikiwa top, compared to sasa nakosa nini mimi nikiwa down and she is top!.
Karma is real na majuto ni mjukuu!.
We mama niliyo kukosea kwa kukutenda ulipokuwa msichana, nakuomba sana unisamehe kwa yote nilio kutendea.
Nimekosa mimi,
Nimekosa mimi,
Nimekosa sana!
Naomba huruma yako, maana nimeshakula bakora za karma za kutosha.
Ila pia ikitokea ukashindwa kusamehe mimi nikikatwa ni tayari nimejikubali nimekatwa kihalali kabisa kufidia matendo yangu enzi za ujana maji ya moto. Mungu unisamehe, unifundishe kunyamaza and being humble.
Naahidi kuwa mtu mwema zaidi sasa na yale mazuri yote ninayoitendea nchi yangu, hata bila uteuzi nitaendelea kuyatenda na kuwa raia mwema wa JMT, tena kwa taarifa, ile tabia ya ku lipua lipua watu kwenye media due to info tip sasa nimeisha achana nayo na mfano hai ni ile siku napata info tip hii Elections 2015 - Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli by this time, already I had a certain info tip fulani ya mtu huyu kutoka kwa Mkuu britanicca , hiyo info tip niliizungumza tuu humo
Just imagine kama ningekuwa ni yule Pasco wa Kiti Moto, nikaziweka hizo sababu, could you imagine ingekuwaje?!.
Huyu Pascal Mayalla wa sasa, japo bado ni mwandishi wa habari wa kujitegemea kwa kujitolea, kwanza ameachana na kuandika habari za kiuchunguzi, Investigative Journalism (IJ) na kujikita kwenye Developmental Journalism (DJ), pili akikutana na damaging info tip, anatumia objectivity zaidi kwa kutanguliza mbele maslahi ya taifa Swali la Morality: Je, ni lazima kuusema kila ukweli unaousikia au tutangulize mbele maslahi ya Taifa?
Hivyo sasa wajemeni mimi ni a completely changed person!, nisihukumiwe au kuadhibiwa kwa makosa yangu ya zamani bali nihukumiwe kwa mawazo, maneno na matendo yangu ya sasa, kama nilivyo shauri hapa Tum-judge Rais Samia kwa mawazo, maneno, na matendo yake ya sasa akiwa ni Rais wa JMT na siyo kwa alivyokuwa VP! tukianza kuhukumiana kwa mawazo, maneno, matendo na makosa ya nyuma..., nani atasimama?!.
Mungu nisaidie.
Amen.
Paskali.
Mkuu Chris Hemsworth , kwanza asante, na hii ndio faida ya jf, unapata waalimu wa humility humu. Hapa umenifundisha somo moja kubwa sana na zuri sana!. Somo la wema vs empathy, kuna watu wanafanya wema wa kuonekanika na watu, hivyo machoni kuonekana kama watu, lakini mioyoni wana roho mbaya za ajabu!. Ni kweli katika tukio hilo nilifanya makosa, nilikosa kabisa empathy, tena enzi hizo, kijana shababi foleni toka Tegeta mpaka Feri!, sikupaswa kufanya nilio yafanya, acheni tuu karma i take its toll, tunahukumiwa kwa matendo yetu ndio maana sasa going to 60, nawasisitiza sana watu tutende wema, kumbe ni tunatakiwa tuwe na empathy.Sometimes unaweza usiwe mwema lakini kuna vitu vinakuwa havina faida wala umuhimu wa kuvifanya, especially linapokuja swala la utu wa wengine mbele ya maslahi yako binafsi. unaweza usiitwe wema lakini ni normal human empathy and instincts.
Tuseme sawa ungeenda kumuuliza kuhusu uhakika na credibility ya hizo taarifa na kumuomba favors za mambo ya kawaida ya kibinadamu lakini kama angekataa wala usingemlipua sababu bila shaka kulikuwa hakuna ulazima wa kufanya hivyo na leo angekumbuka siku ile basi bila shaka kusingekuwa na tension ya kisasi na labda angekuona mwema zaidi kwamba aliona taarifa fulani na akaniambia lakini akapuuza na hakunilipua.
Kiukweli kuna fani na fani, fani nyingine mtu ukikosa kabisa empathy ndio unaonekana shujaa. Mimi nikiwa JKT Makotupora kwenye somo la range, kila mtu anapewa risasi 10 to hit the bull. Dada mmoja ndio aliongoza kwa kuhit 10/10 mimi nikawa wa pilo nili hit 9/10 nadhani hadi 8/10 tulikuwa listed. Baada ya miezi 6 tukahamishiwa MMJKT pale Mlalakuwa kuja kumalizia. Baada tuu ya kumaliza JKT sisi tuliokuwa listed kwa kufanya vizuri range, tukapelekwa moja moja JWTZ, wenzetu wengine wakapelekwa CCP Moshi na wale jamaa zetu wa Mbweni, wakachukua watu wao.Tatizo sio kuwa mtu mwema bali ni kukosa empathy sababu kila mtu anaweza kuwa mwema, na mkuu bila shaka ulikosa empathy.
Ukiwa na empathy automatically unakuwa mwema hata kama hauonekani mbele ya watu na kiwa unafanya mambo ya ajabu ikiwemo blackmailing.
Namuomba sana Mungu, sio tuu anafundishe kunyamaza, bali pia anijalie empathy kwa hizi siku zangu zilizobakia!.Wema mtu atafanya ili kuonekana mbele za watu kwa maana hiyo yoyote anaweza kuwa mwema, lakini empathy sio kila mtu anaweza kuwa nayo, wema ni fake na empathy is real.
Siku moja nikiwa nchi fulani, nikafuatwa na mtu mmoja raia wa nchi hiyo, baada ya kuelezwa kuna ujumbe wa watanzania. Basi huyo jamaa akatafuta mwanahabari akanimegea info tip ya issue fulani kumhusu mdada fulani mrembo wa Tanzania mwanasiasa kijana al maaruf enzi hizo akitaka iripotiwe kwenye vyombo vya habari.
Sisi waandishi sometimes tunakuwa vimbelembele sana, ukipata habari mbaya ya mtu maarufu ama unakimbilia kuilipua na sisi pia ni binadamu au unampenyezea mhusika na kumtishia kumlipua ili 'akuone', asipokuona una mlipua. Na kama mhusika ni mwanamke, na sisi watu wa Kanda ile na ule udhaifu wetu na wanawake weupe!, then unaitumia hiyo news tip kama fimbo ya kumchapia au gear ya kuingilia ili ...!
Mimi kurejea nchini, nikamtafuta mwanasiasa huyu mrembo ili nimbananishe ili angalau na mimi... si unajua tena mambo ya ujana!
Bi dada akakana taarifa hizo kuwa sii za kweli ni uzushi wa uongo, huyu mtu anamzushia tuu. Mimi sikumuamini bi dada na kwa hoja moja tuu, why her?
Nika amua kumtishia kumlipua kwenye media kama vipi 'tuzungumze' tuelewane nipotezee kwa kukauka na kukausha. Bi dada akagoma katakata kufanya 'mazungumzo yale' kwa hoja kuwa ni uongo na uzushi, na mimi naendelea kumuaminia source wangu alichoniambia ni ukweli mtupu!.
Mimi na bi dada tukashindwa kufikia any compromise, hivyo nikamlipua kwa kuiandika story na kuiripoti na ikatoka, watu wa magazeti nao waka i pick from TV nakuishikia kidedea, ika trend kama wildfire na usually bad news spread faster!.
Issue ilipojulikana, wenye kazi zao nao wakaingia kazini kuifuatilia na kilichofuata bi dada moto ulimuwakia akawekwa pending pembeni kupisha uchunguzi. Kwa muda huo mimi wala sikujali what happened to her. Kumbe baadae issue ikwisha she was cleared hivyo bi dada akaendelea na kazi kwa kupanda vyeo sasa ni bosi mkubwa!.
Paskali.
Mkuu Chris Hemsworth , kwanza asante, na hii ndio faida ya jf, unapata waalimu wa humility humu. Hapa umenifundisha somo moja kubwa sana na zuri sana!. Somo la wema vs empathy, kuna watu wanafanya wema wa kuonekanika na watu, hivyo machoni kuonekana kama watu, lakini mioyoni wana roho mbaya za ajabu!. Ni kweli katika tukio hilo nilifanya makosa, nilikosa kabisa empathy, tena enzi hizo, kijana shababi foleni toka Tegeta mpaka Feri!, sikupaswa kufanya nilio yafanya, acheni tuu karma i take its toll, tunahukumiwa kwa matendo yetu ndio maana sasa going to 60, nawasisitiza sana watu tutende wema, kumbe ni tunatakiwa tuwe na empathy.Sometimes unaweza usiwe mwema lakini kuna vitu vinakuwa havina faida wala umuhimu wa kuvifanya, especially linapokuja swala la utu wa wengine mbele ya maslahi yako binafsi. unaweza usiitwe wema lakini ni normal human empathy and instincts.
Tuseme sawa ungeenda kumuuliza kuhusu uhakika na credibility ya hizo taarifa na kumuomba favors za mambo ya kawaida ya kibinadamu lakini kama angekataa wala usingemlipua sababu bila shaka kulikuwa hakuna ulazima wa kufanya hivyo na leo angekumbuka siku ile basi bila shaka kusingekuwa na tension ya kisasi na labda angekuona mwema zaidi kwamba aliona taarifa fulani na akaniambia lakini akapuuza na hakunilipua.
Kiukweli kuna fani na fani, fani nyingine mtu ukikosa kabisa empathy ndio unaonekana shujaa. Mimi nikiwa JKT Makotupora kwenye somo la range, kila mtu anapewa risasi 10 to hit the bull. Dada mmoja ndio aliongoza kwa kuhit 10/10 mimi nikawa wa pilo nili hit 9/10 nadhani hadi 8/10 tulikuwa listed. Baada ya miezi 6 tukahamishiwa MMJKT pale Mlalakuwa kuja kumalizia. Baada tuu ya kumaliza JKT sisi tuliokuwa listed kwa kufanya vizuri range, tukapelekwa moja moja JWTZ, wenzetu wengine wakapelekwa CCP Moshi na wale jamaa zetu wa Mbweni, wakachukua watu wao.Tatizo sio kuwa mtu mwema bali ni kukosa empathy sababu kila mtu anaweza kuwa mwema, na mkuu bila shaka ulikosa empathy.
Ukiwa na empathy automatically unakuwa mwema hata kama hauonekani mbele ya watu na kiwa unafanya mambo ya ajabu ikiwemo blackmailing.
Namuomba sana Mungu, sio tuu anafundishe kunyamaza, bali pia anijalie empathy kwa hizi siku zangu zilizobakia!.Wema mtu atafanya ili kuonekana mbele za watu kwa maana hiyo yoyote anaweza kuwa mwema, lakini empathy sio kila mtu anaweza kuwa nayo, wema ni fake na empathy is real.
Pasco for the first time nimesoma habari yote. Inahuzunisha, kuelimisha na kuelekeza. Pia nimeelewa kwanini umekuwa ukitumia sana neno 'karma'.Wanabodi
Hiki ni kisa cha kweli, mwenzenu leo yamenikuta ya kunikuta nimepata a shock of my life! Nilikuwa na furaha na matumaini tele, mara ghafla furaha yangu ikageuka shubiri.
Kisa chenyewe kilianzia miaka ya mid 1990s enzi hizo mimi ni mtangazaji nyota, naandamana na Rais Mkapa ziara za ng'ambo zikiwemo za UN, naendesha kipindi cha Kiti Moto, siogopi mtu!, sina heshima, sina adabu, sina nidhamu!, baadhi ya maswali yangu yalikuwa so provocative hadi baadhi ya viongozi wa serikali wakawa wananiogopa!, Hivyo nikavimba bichwa hilo nikajiona mimi ndiyo mimi, sioni, sisikii wala mtu haniambii kitu. Kila kinachokatiza mbele ya macho yangu halali yangu!.
Siku moja nikiwa nchi fulani, nikafuatwa na mtu mmoja raia wa nchi hiyo, baada ya kuelezwa kuna ujumbe wa watanzania. Basi huyo jamaa akatafuta mwanahabari akanimegea info tip ya issue fulani kumhusu mdada fulani mrembo wa Tanzania mwanasiasa kijana al maaruf enzi hizo akitaka iripotiwe kwenye vyombo vya habari.
Sisi waandishi sometimes tunakuwa vimbelembele sana, ukipata habari mbaya ya mtu maarufu ama unakimbilia kuilipua na sisi pia ni binadamu au unampenyezea mhusika na kumtishia kumlipua ili 'akuone', asipokuona una mlipua. Na kama mhusika ni mwanamke, na sisi watu wa Kanda ile na ule udhaifu wetu na wanawake weupe!, then unaitumia hiyo news tip kama fimbo ya kumchapia au gear ya kuingilia ili ...!
Mimi kurejea nchini, nikamtafuta mwanasiasa huyu mrembo ili nimbananishe ili angalau na mimi... si unajua tena mambo ya ujana!
Bi dada akakana taarifa hizo kuwa sii za kweli ni uzushi wa uongo, huyu mtu anamzushia tuu. Mimi sikumuamini bi dada na kwa hoja moja tuu, why her?
Nika amua kumtishia kumlipua kwenye media kama vipi 'tuzungumze' tuelewane nipotezee kwa kukauka na kukausha. Bi dada akagoma katakata kufanya 'mazungumzo yale' kwa hoja kuwa ni uongo na uzushi, na mimi naendelea kumuaminia source wangu alichoniambia ni ukweli mtupu!.
Mimi na bi dada tukashindwa kufikia any compromise, hivyo nikamlipua kwa kuiandika story na kuiripoti na ikatoka, watu wa magazeti nao waka i pick from TV nakuishikia kidedea, ika trend kama wildfire na usually bad news spread faster!.
Issue ilipojulikana, wenye kazi zao nao wakaingia kazini kuifuatilia na kilichofuata bi dada moto ulimuwakia akawekwa pending pembeni kupisha uchunguzi. Kwa muda huo mimi wala sikujali what happened to her. Kumbe baadae issue ikwisha she was cleared hivyo bi dada akaendelea na kazi kwa kupanda vyeo sasa ni bosi mkubwa!.
Na mimi kwa upande wangu umaarufu wangu wa kipindi cha Kiti Moto ulikuja kuisha, kipindi kilipigwa marufuku kutokana na kuwabananisha viongozi na kuwalipua. Nikaja kuacha kazi na kutimkia zangu ughaibuni.
Mwaka 2000 nikarejea Bongo nikajiunga TBC sikudumu nikakumbana na mabalaa chungu tele, mara kukimbiwa na mke, mara kupata ajali mbaya na ku paralyze, kumbe ni malipo ya accumulation ya karma za matendo yangu ya nyuma, tutendeni mema jameni, ukitenda ubaya wowote, malipo ni hapa hapa duniani!.
Sasa leo, niko mkoa fulani kwenye lile jambo letu lile, leo ndio interview!. nimelikamilisha vizuri kuhojiwa, nimejibu maswali yote vizuri kwa ufasaha bila kubabaika, nikiwa na furaha tele na matumaini chanya kwasababu niko vizuri kwenye kujieleza, uzoefu umesimama, shule imepanda, kwa sifa tuu, uwezo na vigezo kiukweli kabisa sijifagilii, ninavyo na niko vizuri, ila unaweza kukuta kwenye watu 186 wazuri wako 40 na wengine ni wazuri zaidi yako nafasi zenyewe ni 6, kati ya 6 hizo, nafasi 3 ni za wanawake!, hivyo mijiba 100 mnagombea nafasi 3!, kati ya tatu hizo moja ni ya Zanzibar!, mtu ukikosa utalalamika?.
Nimetoka chumba cha interview na furaha yangu, kabla sijafika nje ya ukumbi naitwa nimeambiwa subiri. Mara namuona mama mtu mzima kidogo, na mshepu ambaye ndiye katibu wa ile kamati ya interview, ananisalimia kwa majina yangu yote mawili huku ana smile, "unanikumbuka?"
Nikamwangalia trying to recall nimemuona wapi, sikukumbuki but the face looks bit familiar.
Nikamjibu sikumbuki naomba unikumbushe, akanitajia "mimi ni fulani bin fulani, umenikumbuka?"
Duh.m! Nilipigwa na a shock ya mwaka
of my life! Kumbe yule bidada niliyemlipua mwaka 1995, miaka 27 iliyopita, sasa ndiye boss wa interview yangu!.
"Interview umefanya vizuri nikaona nije kukusalimia tuu na kukumbusha ili unikumbuke ulichonifanyia!. Nenda salama mimi ngoja nirudi kwenye kikao"
Ghafla mwili uliingia baridi kama barafu nili freeze, nikataka kuishiwa nguvu na kuanguka, miguu imeingia ganzi ghafla haiwezi kuubeba mwili, nikaegemea ukuta nisianguke.
Mmama huyo kageuza kurudi ndani!, anatembea taratibu with confidence huku nikikodolea mshepu kwa nyuma nikibaki sina hili wala lile!. Kwa sekunde kadhaa nilibaki mdomo wazi na adrenalin rush sauti imenikauka, macho yamenitoka kama nakabwa nimeona jini!, huku mwanga ukififia naona giza. Napata kama kizunguzungu!.
Nikaambaa ambaa huku nimeshika ukuta hadi kwenye viti vya karibu nikakaa na kuvuta pumzi kwa nguvu kama umeachiwa baada ya kukabwa nataka kushindwa kupumua.
Just tell me, in such a situation, kuna kusubiria tena majibu positive ya lile jambo letu?!. Tena nikivuta picha kukumbuka when she was begging me, nisimlipue, tears dropped on her dimples cheeks, she almost cried!. She insisted if it was true, she would have done anything that I ask but it was not true!.
Lessons
Hii shock of my life niliyokutana nayo leo, na furaha yangu kugeuka shubiri, imenifunza lile somo la be good to people on your way up, you might meet them on your way down!. Usijisikie wewe ndio wewe wakati ukiwa juu na kuwatenda wengine kuwadharau, kuwaonea, kuwalipua, na kuwatesa, huijui kesho yako utakutana nao wapi wewe ukiwa nani na wao wakiwa nani!.
Yule mdada mrembo niliyemlipua kwenye media enzi hizo mimi ni mimi, leo yeye ndio boss anayetakiwa kutia tick jina langu lisonge mbele, na mimi leo ndio a beggar begging for her mercy!.
Mwenzenu leo yamenikuta, na ikitokea hata kama na mimi nimekidhi sifa na vigezo na niko among the top aspirants, msiponiona jina langu kusonga mbele, mjue sio upungufu wa sifa, bali nimezidiwa sifa na wengine na sio nimeenguliwa kwasababu ya hii issue!. Ila pia ikitokea nimekidhi sifa na vigezo ila poa nina mzigo mkubwa wa makando kando ambayo hayabebeki, nawaomba ndugu zangu, tukubaliane na matokeo yoyote, na ikiwa hivyo, I don't point fingers or shift the blame to anyone, the cause ni mimi mwenyewe, "ME, MYSELF & I" na karma reprisals hit back za matendo yangu ya nyuma on what goes around, comes around!.
Kwa vile mimi yamenikuta, naomba niwe darasa kwa wengine, always be humble na kuwatendea mema watu wote, heshima watu wote wakubwa na wadogo na usidharau watu. Wadogo wa leo ndio wakubwa wa kesho!.
Sasa hivi natafakari nilipata nini kwa kumuwasha yule dada kwenye media wakati huo nikiwa top, compared to sasa nakosa nini mimi nikiwa down and she is top!.
Karma is real na majuto ni mjukuu!.
We mama niliyo kukosea kwa kukutenda ulipokuwa msichana, nakuomba sana unisamehe kwa yote nilio kutendea.
Nimekosa mimi,
Nimekosa mimi,
Nimekosa sana!
Naomba huruma yako, maana nimeshakula bakora za karma za kutosha.
Ila pia ikitokea ukashindwa kusamehe mimi nikikatwa ni tayari nimejikubali nimekatwa kihalali kabisa kufidia matendo yangu enzi za ujana maji ya moto. Mungu unisamehe, unifundishe kunyamaza and being humble.
Naahidi kuwa mtu mwema zaidi sasa na yale mazuri yote ninayoitendea nchi yangu, hata bila uteuzi nitaendelea kuyatenda na kuwa raia mwema wa JMT, tena kwa taarifa, ile tabia ya ku lipua lipua watu kwenye media due to info tip sasa nimeisha achana nayo na mfano hai ni ile siku napata info tip hii Elections 2015 - Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli by this time, already I had a certain info tip fulani ya mtu huyu kutoka kwa Mkuu britanicca , hiyo info tip niliizungumza tuu humo
Just imagine kama ningekuwa ni yule Pasco wa Kiti Moto, nikaziweka hizo sababu, could you imagine ingekuwaje?!.
Huyu Pascal Mayalla wa sasa, japo bado ni mwandishi wa habari wa kujitegemea kwa kujitolea, kwanza ameachana na kuandika habari za kiuchunguzi, Investigative Journalism (IJ) na kujikita kwenye Developmental Journalism (DJ), pili akikutana na damaging info tip, anatumia objectivity zaidi kwa kutanguliza mbele maslahi ya taifa Swali la Morality: Je, ni lazima kuusema kila ukweli unaousikia au tutangulize mbele maslahi ya Taifa?
Hivyo sasa wajemeni mimi ni a completely changed person!, nisihukumiwe au kuadhibiwa kwa makosa yangu ya zamani bali nihukumiwe kwa mawazo, maneno na matendo yangu ya sasa, kama nilivyo shauri hapa Tum-judge Rais Samia kwa mawazo, maneno, na matendo yake ya sasa akiwa ni Rais wa JMT na siyo kwa alivyokuwa VP! tukianza kuhukumiana kwa mawazo, maneno, matendo na makosa ya nyuma..., nani atasimama?!.
Mungu nisaidie.
Amen.
Paskali.
Mkuu Mtoto wa Shule, karma is real, nenda shule ya karma hapa "The Power of 'Karma'- Ndio Hukumu Pekee ya Haki Kamili Hapa Duniani!, Unahukumiwa kwa Matendo Yako!Pasco for the first time nimesoma habari yote. Inahuzunisha, kuelimisha na kuelekeza. Pia nimeelewa kwanini umekuwa ukitumia sana neno 'karma'.
Kwanza nikupe pol Kwa yaliyokukuta,lakini pia unapaswa kutambua kwamba malipo ni hapahapa duniani, pili huyo mtu kwa sisi tunaomjua hanaga shida na mtu wala visasi ,kama utapata basi Mungu atakuwa kakupa na kama utakosa basi siyo ridhiki yako ila huyo mtu uliyemwelezea ni mtu safi sana,hana shida na mtu,binafsi kanilea, ulitumia kalamu yako vibaya sana kumhukumu pasipo makosa, sasa nafikiri utakuwa umejifunza kitu.Wanabodi
Hiki ni kisa cha kweli, mwenzenu leo yamenikuta ya kunikuta nimepata a shock of my life! Nilikuwa na furaha na matumaini tele, mara ghafla furaha yangu ikageuka shubiri.
Kisa chenyewe kilianzia miaka ya mid 1990s enzi hizo mimi ni mtangazaji nyota, naandamana na Rais Mkapa ziara za ng'ambo zikiwemo za UN, naendesha kipindi cha Kiti Moto, siogopi mtu!, sina heshima, sina adabu, sina nidhamu!, baadhi ya maswali yangu yalikuwa so provocative hadi baadhi ya viongozi wa serikali wakawa wananiogopa!, Hivyo nikavimba bichwa hilo nikajiona mimi ndiyo mimi, sioni, sisikii wala mtu haniambii kitu. Kila kinachokatiza mbele ya macho yangu halali yangu!.
Siku moja nikiwa nchi fulani, nikafuatwa na mtu mmoja raia wa nchi hiyo, baada ya kuelezwa kuna ujumbe wa watanzania. Basi huyo jamaa akatafuta mwanahabari akanimegea info tip ya issue fulani kumhusu mdada fulani mrembo wa Tanzania mwanasiasa kijana al maaruf enzi hizo akitaka iripotiwe kwenye vyombo vya habari.
Sisi waandishi sometimes tunakuwa vimbelembele sana, ukipata habari mbaya ya mtu maarufu ama unakimbilia kuilipua na sisi pia ni binadamu au unampenyezea mhusika na kumtishia kumlipua ili 'akuone', asipokuona una mlipua. Na kama mhusika ni mwanamke, na sisi watu wa Kanda ile na ule udhaifu wetu na wanawake weupe!, then unaitumia hiyo news tip kama fimbo ya kumchapia au gear ya kuingilia ili ...!
Mimi kurejea nchini, nikamtafuta mwanasiasa huyu mrembo ili nimbananishe ili angalau na mimi... si unajua tena mambo ya ujana!
Bi dada akakana taarifa hizo kuwa sii za kweli ni uzushi wa uongo, huyu mtu anamzushia tuu. Mimi sikumuamini bi dada na kwa hoja moja tuu, why her?
Nika amua kumtishia kumlipua kwenye media kama vipi 'tuzungumze' tuelewane nipotezee kwa kukauka na kukausha. Bi dada akagoma katakata kufanya 'mazungumzo yale' kwa hoja kuwa ni uongo na uzushi, na mimi naendelea kumuaminia source wangu alichoniambia ni ukweli mtupu!.
Mimi na bi dada tukashindwa kufikia any compromise, hivyo nikamlipua kwa kuiandika story na kuiripoti na ikatoka, watu wa magazeti nao waka i pick from TV nakuishikia kidedea, ika trend kama wildfire na usually bad news spread faster!.
Issue ilipojulikana, wenye kazi zao nao wakaingia kazini kuifuatilia na kilichofuata bi dada moto ulimuwakia akawekwa pending pembeni kupisha uchunguzi. Kwa muda huo mimi wala sikujali what happened to her. Kumbe baadae issue ikwisha she was cleared hivyo bi dada akaendelea na kazi kwa kupanda vyeo sasa ni bosi mkubwa!.
Na mimi kwa upande wangu umaarufu wangu wa kipindi cha Kiti Moto ulikuja kuisha, kipindi kilipigwa marufuku kutokana na kuwabananisha viongozi na kuwalipua. Nikaja kuacha kazi na kutimkia zangu ughaibuni.
Mwaka 2000 nikarejea Bongo nikajiunga TBC sikudumu nikakumbana na mabalaa chungu tele, mara kukimbiwa na mke, mara kupata ajali mbaya na ku paralyze, kumbe ni malipo ya accumulation ya karma za matendo yangu ya nyuma, tutendeni mema jameni, ukitenda ubaya wowote, malipo ni hapa hapa duniani!.
Sasa leo, niko mkoa fulani kwenye lile jambo letu lile, leo ndio interview!. nimelikamilisha vizuri kuhojiwa, nimejibu maswali yote vizuri kwa ufasaha bila kubabaika, nikiwa na furaha tele na matumaini chanya kwasababu niko vizuri kwenye kujieleza, uzoefu umesimama, shule imepanda, kwa sifa tuu, uwezo na vigezo kiukweli kabisa sijifagilii, ninavyo na niko vizuri, ila unaweza kukuta kwenye watu 186 wazuri wako 40 na wengine ni wazuri zaidi yako nafasi zenyewe ni 6, kati ya 6 hizo, nafasi 3 ni za wanawake!, hivyo mijiba 100 mnagombea nafasi 3!, kati ya tatu hizo moja ni ya Zanzibar!, mtu ukikosa utalalamika?.
Nimetoka chumba cha interview na furaha yangu, kabla sijafika nje ya ukumbi naitwa nimeambiwa subiri. Mara namuona mama mtu mzima kidogo, na mshepu ambaye ndiye katibu wa ile kamati ya interview, ananisalimia kwa majina yangu yote mawili huku ana smile, "unanikumbuka?"
Nikamwangalia trying to recall nimemuona wapi, sikukumbuki but the face looks bit familiar.
Nikamjibu sikumbuki naomba unikumbushe, akanitajia "mimi ni fulani bin fulani, umenikumbuka?"
Duh.m! Nilipigwa na a shock ya mwaka
of my life! Kumbe yule bidada niliyemlipua mwaka 1995, miaka 27 iliyopita, sasa ndiye boss wa interview yangu!.
"Interview umefanya vizuri nikaona nije kukusalimia tuu na kukumbusha ili unikumbuke ulichonifanyia!. Nenda salama mimi ngoja nirudi kwenye kikao"
Ghafla mwili uliingia baridi kama barafu nili freeze, nikataka kuishiwa nguvu na kuanguka, miguu imeingia ganzi ghafla haiwezi kuubeba mwili, nikaegemea ukuta nisianguke.
Mmama huyo kageuza kurudi ndani!, anatembea taratibu with confidence huku nikikodolea mshepu kwa nyuma nikibaki sina hili wala lile!. Kwa sekunde kadhaa nilibaki mdomo wazi na adrenalin rush sauti imenikauka, macho yamenitoka kama nakabwa nimeona jini!, huku mwanga ukififia naona giza. Napata kama kizunguzungu!.
Nikaambaa ambaa huku nimeshika ukuta hadi kwenye viti vya karibu nikakaa na kuvuta pumzi kwa nguvu kama umeachiwa baada ya kukabwa nataka kushindwa kupumua.
Just tell me, in such a situation, kuna kusubiria tena majibu positive ya lile jambo letu?!. Tena nikivuta picha kukumbuka when she was begging me, nisimlipue, tears dropped on her dimples cheeks, she almost cried!. She insisted if it was true, she would have done anything that I ask but it was not true!.
Lessons
Hii shock of my life niliyokutana nayo leo, na furaha yangu kugeuka shubiri, imenifunza lile somo la be good to people on your way up, you might meet them on your way down!. Usijisikie wewe ndio wewe wakati ukiwa juu na kuwatenda wengine kuwadharau, kuwaonea, kuwalipua, na kuwatesa, huijui kesho yako utakutana nao wapi wewe ukiwa nani na wao wakiwa nani!.
Yule mdada mrembo niliyemlipua kwenye media enzi hizo mimi ni mimi, leo yeye ndio boss anayetakiwa kutia tick jina langu lisonge mbele, na mimi leo ndio a beggar begging for her mercy!.
Mwenzenu leo yamenikuta, na ikitokea hata kama na mimi nimekidhi sifa na vigezo na niko among the top aspirants, msiponiona jina langu kusonga mbele, mjue sio upungufu wa sifa, bali nimezidiwa sifa na wengine na sio nimeenguliwa kwasababu ya hii issue!. Ila pia ikitokea nimekidhi sifa na vigezo ila poa nina mzigo mkubwa wa makando kando ambayo hayabebeki, nawaomba ndugu zangu, tukubaliane na matokeo yoyote, na ikiwa hivyo, I don't point fingers or shift the blame to anyone, the cause ni mimi mwenyewe, "ME, MYSELF & I" na karma reprisals hit back za matendo yangu ya nyuma on what goes around, comes around!.
Kwa vile mimi yamenikuta, naomba niwe darasa kwa wengine, always be humble na kuwatendea mema watu wote, heshima watu wote wakubwa na wadogo na usidharau watu. Wadogo wa leo ndio wakubwa wa kesho!.
Sasa hivi natafakari nilipata nini kwa kumuwasha yule dada kwenye media wakati huo nikiwa top, compared to sasa nakosa nini mimi nikiwa down and she is top!.
Karma is real na majuto ni mjukuu!.
We mama niliyo kukosea kwa kukutenda ulipokuwa msichana, nakuomba sana unisamehe kwa yote nilio kutendea.
Nimekosa mimi,
Nimekosa mimi,
Nimekosa sana!
Naomba huruma yako, maana nimeshakula bakora za karma za kutosha.
Ila pia ikitokea ukashindwa kusamehe mimi nikikatwa ni tayari nimejikubali nimekatwa kihalali kabisa kufidia matendo yangu enzi za ujana maji ya moto. Mungu unisamehe, unifundishe kunyamaza and being humble.
Naahidi kuwa mtu mwema zaidi sasa na yale mazuri yote ninayoitendea nchi yangu, hata bila uteuzi nitaendelea kuyatenda na kuwa raia mwema wa JMT, tena kwa taarifa, ile tabia ya ku lipua lipua watu kwenye media due to info tip sasa nimeisha achana nayo na mfano hai ni ile siku napata info tip hii Elections 2015 - Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli by this time, already I had a certain info tip fulani ya mtu huyu kutoka kwa Mkuu britanicca , hiyo info tip niliizungumza tuu humo
Just imagine kama ningekuwa ni yule Pasco wa Kiti Moto, nikaziweka hizo sababu, could you imagine ingekuwaje?!.
Huyu Pascal Mayalla wa sasa, japo bado ni mwandishi wa habari wa kujitegemea kwa kujitolea, kwanza ameachana na kuandika habari za kiuchunguzi, Investigative Journalism (IJ) na kujikita kwenye Developmental Journalism (DJ), pili akikutana na damaging info tip, anatumia objectivity zaidi kwa kutanguliza mbele maslahi ya taifa Swali la Morality: Je, ni lazima kuusema kila ukweli unaousikia au tutangulize mbele maslahi ya Taifa?
Hivyo sasa wajemeni mimi ni a completely changed person!, nisihukumiwe au kuadhibiwa kwa makosa yangu ya zamani bali nihukumiwe kwa mawazo, maneno na matendo yangu ya sasa, kama nilivyo shauri hapa Tum-judge Rais Samia kwa mawazo, maneno, na matendo yake ya sasa akiwa ni Rais wa JMT na siyo kwa alivyokuwa VP! tukianza kuhukumiana kwa mawazo, maneno, matendo na makosa ya nyuma..., nani atasimama?!.
Mungu nisaidie.
Amen.
Paskali.
Uliyataka mwenyewe Poti.Wanabodi
Hiki ni kisa cha kweli, mwenzenu leo yamenikuta ya kunikuta nimepata a shock of my life! Nilikuwa na furaha na matumaini tele, mara ghafla furaha yangu ikageuka shubiri.
Kisa chenyewe kilianzia miaka ya mid 1990s enzi hizo mimi ni mtangazaji nyota, naandamana na Rais Mkapa ziara za ng'ambo zikiwemo za UN, naendesha kipindi cha Kiti Moto, siogopi mtu!, sina heshima, sina adabu, sina nidhamu!, baadhi ya maswali yangu yalikuwa so provocative hadi baadhi ya viongozi wa serikali wakawa wananiogopa!, Hivyo nikavimba bichwa hilo nikajiona mimi ndiyo mimi, sioni, sisikii wala mtu haniambii kitu. Kila kinachokatiza mbele ya macho yangu halali yangu!.
Siku moja nikiwa nchi fulani, nikafuatwa na mtu mmoja raia wa nchi hiyo, baada ya kuelezwa kuna ujumbe wa watanzania. Basi huyo jamaa akatafuta mwanahabari akanimegea info tip ya issue fulani kumhusu mdada fulani mrembo wa Tanzania mwanasiasa kijana al maaruf enzi hizo akitaka iripotiwe kwenye vyombo vya habari.
Sisi waandishi sometimes tunakuwa vimbelembele sana, ukipata habari mbaya ya mtu maarufu ama unakimbilia kuilipua na sisi pia ni binadamu au unampenyezea mhusika na kumtishia kumlipua ili 'akuone', asipokuona una mlipua. Na kama mhusika ni mwanamke, na sisi watu wa Kanda ile na ule udhaifu wetu na wanawake weupe!, then unaitumia hiyo news tip kama fimbo ya kumchapia au gear ya kuingilia ili ...!
Mimi kurejea nchini, nikamtafuta mwanasiasa huyu mrembo ili nimbananishe ili angalau na mimi... si unajua tena mambo ya ujana!
Bi dada akakana taarifa hizo kuwa sii za kweli ni uzushi wa uongo, huyu mtu anamzushia tuu. Mimi sikumuamini bi dada na kwa hoja moja tuu, why her?
Nika amua kumtishia kumlipua kwenye media kama vipi 'tuzungumze' tuelewane nipotezee kwa kukauka na kukausha. Bi dada akagoma katakata kufanya 'mazungumzo yale' kwa hoja kuwa ni uongo na uzushi, na mimi naendelea kumuaminia source wangu alichoniambia ni ukweli mtupu!.
Mimi na bi dada tukashindwa kufikia any compromise, hivyo nikamlipua kwa kuiandika story na kuiripoti na ikatoka, watu wa magazeti nao waka i pick from TV nakuishikia kidedea, ika trend kama wildfire na usually bad news spread faster!.
Issue ilipojulikana, wenye kazi zao nao wakaingia kazini kuifuatilia na kilichofuata bi dada moto ulimuwakia akawekwa pending pembeni kupisha uchunguzi. Kwa muda huo mimi wala sikujali what happened to her. Kumbe baadae issue ikwisha she was cleared hivyo bi dada akaendelea na kazi kwa kupanda vyeo sasa ni bosi mkubwa!.
Na mimi kwa upande wangu umaarufu wangu wa kipindi cha Kiti Moto ulikuja kuisha, kipindi kilipigwa marufuku kutokana na kuwabananisha viongozi na kuwalipua. Nikaja kuacha kazi na kutimkia zangu ughaibuni.
Mwaka 2000 nikarejea Bongo nikajiunga TBC sikudumu nikakumbana na mabalaa chungu tele, mara kukimbiwa na mke, mara kupata ajali mbaya na ku paralyze, kumbe ni malipo ya accumulation ya karma za matendo yangu ya nyuma, tutendeni mema jameni, ukitenda ubaya wowote, malipo ni hapa hapa duniani!.
Sasa leo, niko mkoa fulani kwenye lile jambo letu lile, leo ndio interview!. nimelikamilisha vizuri kuhojiwa, nimejibu maswali yote vizuri kwa ufasaha bila kubabaika, nikiwa na furaha tele na matumaini chanya kwasababu niko vizuri kwenye kujieleza, uzoefu umesimama, shule imepanda, kwa sifa tuu, uwezo na vigezo kiukweli kabisa sijifagilii, ninavyo na niko vizuri, ila unaweza kukuta kwenye watu 186 wazuri wako 40 na wengine ni wazuri zaidi yako nafasi zenyewe ni 6, kati ya 6 hizo, nafasi 3 ni za wanawake!, hivyo mijiba 100 mnagombea nafasi 3!, kati ya tatu hizo moja ni ya Zanzibar!, mtu ukikosa utalalamika?.
Nimetoka chumba cha interview na furaha yangu, kabla sijafika nje ya ukumbi naitwa nimeambiwa subiri. Mara namuona mama mtu mzima kidogo, na mshepu ambaye ndiye katibu wa ile kamati ya interview, ananisalimia kwa majina yangu yote mawili huku ana smile, "unanikumbuka?"
Nikamwangalia trying to recall nimemuona wapi, sikukumbuki but the face looks bit familiar.
Nikamjibu sikumbuki naomba unikumbushe, akanitajia "mimi ni fulani bin fulani, umenikumbuka?"
Duh.m! Nilipigwa na a shock ya mwaka
of my life! Kumbe yule bidada niliyemlipua mwaka 1995, miaka 27 iliyopita, sasa ndiye boss wa interview yangu!.
"Interview umefanya vizuri nikaona nije kukusalimia tuu na kukumbusha ili unikumbuke ulichonifanyia!. Nenda salama mimi ngoja nirudi kwenye kikao"
Ghafla mwili uliingia baridi kama barafu nili freeze, nikataka kuishiwa nguvu na kuanguka, miguu imeingia ganzi ghafla haiwezi kuubeba mwili, nikaegemea ukuta nisianguke.
Mmama huyo kageuza kurudi ndani!, anatembea taratibu with confidence huku nikikodolea mshepu kwa nyuma nikibaki sina hili wala lile!. Kwa sekunde kadhaa nilibaki mdomo wazi na adrenalin rush sauti imenikauka, macho yamenitoka kama nakabwa nimeona jini!, huku mwanga ukififia naona giza. Napata kama kizunguzungu!.
Nikaambaa ambaa huku nimeshika ukuta hadi kwenye viti vya karibu nikakaa na kuvuta pumzi kwa nguvu kama umeachiwa baada ya kukabwa nataka kushindwa kupumua.
Just tell me, in such a situation, kuna kusubiria tena majibu positive ya lile jambo letu?!. Tena nikivuta picha kukumbuka when she was begging me, nisimlipue, tears dropped on her dimples cheeks, she almost cried!. She insisted if it was true, she would have done anything that I ask but it was not true!.
Lessons
Hii shock of my life niliyokutana nayo leo, na furaha yangu kugeuka shubiri, imenifunza lile somo la be good to people on your way up, you might meet them on your way down!. Usijisikie wewe ndio wewe wakati ukiwa juu na kuwatenda wengine kuwadharau, kuwaonea, kuwalipua, na kuwatesa, huijui kesho yako utakutana nao wapi wewe ukiwa nani na wao wakiwa nani!.
Yule mdada mrembo niliyemlipua kwenye media enzi hizo mimi ni mimi, leo yeye ndio boss anayetakiwa kutia tick jina langu lisonge mbele, na mimi leo ndio a beggar begging for her mercy!.
Mwenzenu leo yamenikuta, na ikitokea hata kama na mimi nimekidhi sifa na vigezo na niko among the top aspirants, msiponiona jina langu kusonga mbele, mjue sio upungufu wa sifa, bali nimezidiwa sifa na wengine na sio nimeenguliwa kwasababu ya hii issue!. Ila pia ikitokea nimekidhi sifa na vigezo ila poa nina mzigo mkubwa wa makando kando ambayo hayabebeki, nawaomba ndugu zangu, tukubaliane na matokeo yoyote, na ikiwa hivyo, I don't point fingers or shift the blame to anyone, the cause ni mimi mwenyewe, "ME, MYSELF & I" na karma reprisals hit back za matendo yangu ya nyuma on what goes around, comes around!.
Kwa vile mimi yamenikuta, naomba niwe darasa kwa wengine, always be humble na kuwatendea mema watu wote, heshima watu wote wakubwa na wadogo na usidharau watu. Wadogo wa leo ndio wakubwa wa kesho!.
Sasa hivi natafakari nilipata nini kwa kumuwasha yule dada kwenye media wakati huo nikiwa top, compared to sasa nakosa nini mimi nikiwa down and she is top!.
Karma is real na majuto ni mjukuu!.
We mama niliyo kukosea kwa kukutenda ulipokuwa msichana, nakuomba sana unisamehe kwa yote nilio kutendea.
Nimekosa mimi,
Nimekosa mimi,
Nimekosa sana!
Naomba huruma yako, maana nimeshakula bakora za karma za kutosha.
Ila pia ikitokea ukashindwa kusamehe mimi nikikatwa ni tayari nimejikubali nimekatwa kihalali kabisa kufidia matendo yangu enzi za ujana maji ya moto. Mungu unisamehe, unifundishe kunyamaza and being humble.
Naahidi kuwa mtu mwema zaidi sasa na yale mazuri yote ninayoitendea nchi yangu, hata bila uteuzi nitaendelea kuyatenda na kuwa raia mwema wa JMT, tena kwa taarifa, ile tabia ya ku lipua lipua watu kwenye media due to info tip sasa nimeisha achana nayo na mfano hai ni ile siku napata info tip hii Elections 2015 - Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli by this time, already I had a certain info tip fulani ya mtu huyu kutoka kwa Mkuu britanicca , hiyo info tip niliizungumza tuu humo
Just imagine kama ningekuwa ni yule Pasco wa Kiti Moto, nikaziweka hizo sababu, could you imagine ingekuwaje?!.
Huyu Pascal Mayalla wa sasa, japo bado ni mwandishi wa habari wa kujitegemea kwa kujitolea, kwanza ameachana na kuandika habari za kiuchunguzi, Investigative Journalism (IJ) na kujikita kwenye Developmental Journalism (DJ), pili akikutana na damaging info tip, anatumia objectivity zaidi kwa kutanguliza mbele maslahi ya taifa Swali la Morality: Je, ni lazima kuusema kila ukweli unaousikia au tutangulize mbele maslahi ya Taifa?
Hivyo sasa wajemeni mimi ni a completely changed person!, nisihukumiwe au kuadhibiwa kwa makosa yangu ya zamani bali nihukumiwe kwa mawazo, maneno na matendo yangu ya sasa, kama nilivyo shauri hapa Tum-judge Rais Samia kwa mawazo, maneno, na matendo yake ya sasa akiwa ni Rais wa JMT na siyo kwa alivyokuwa VP! tukianza kuhukumiana kwa mawazo, maneno, matendo na makosa ya nyuma..., nani atasimama?!.
Mungu nisaidie.
Amen.
Paskali.
Nimesoma Uzi wako huu, nimegundua una akili na maarifa mengi sana. Mwenyezi Mungu aubariki uzao wako paschaWanabodi
Hiki ni kisa cha kweli, mwenzenu leo yamenikuta ya kunikuta nimepata a shock of my life! Nilikuwa na furaha na matumaini tele, mara ghafla furaha yangu ikageuka shubiri.
Kisa chenyewe kilianzia miaka ya mid 1990s enzi hizo mimi ni mtangazaji nyota, naandamana na Rais Mkapa ziara za ng'ambo zikiwemo za UN, naendesha kipindi cha Kiti Moto, siogopi mtu!, sina heshima, sina adabu, sina nidhamu! Baadhi ya maswali yangu yalikuwa so provocative hadi baadhi ya viongozi wa serikali wakawa wananiogopa! Hivyo nikavimba bichwa hilo nikajiona mimi ndiyo mimi, sioni, sisikii wala mtu haniambii kitu. Kila kinachokatiza mbele ya macho yangu halali yangu!
Siku moja nikiwa nchi fulani, nikafuatwa na mtu mmoja raia wa nchi hiyo, baada ya kuelezwa kuna ujumbe wa Watanzania. Basi huyo jamaa akatafuta mwanahabari akanimegea info tip ya issue fulani kumhusu mdada fulani mrembo wa Tanzania mwanasiasa kijana al maaruf enzi hizo akitaka iripotiwe kwenye vyombo vya habari.
Sisi waandishi sometimes tunakuwa vimbelembele sana, ukipata habari mbaya ya mtu maarufu ama unakimbilia kuilipua na sisi pia ni binadamu au unampenyezea mhusika na kumtishia kumlipua ili 'akuone', asipokuona una mlipua. Na kama mhusika ni mwanamke, na sisi watu wa Kanda ile na ule udhaifu wetu na wanawake weupe!, then unaitumia hiyo news tip kama fimbo ya kumchapia au gear ya kuingilia ili.
Mimi kurejea nchini, nikamtafuta mwanasiasa huyu mrembo ili nimbananishe ili angalau na mimi, si unajua tena mambo ya ujana!
Bi dada akakana taarifa hizo kuwa sii za kweli ni uzushi wa uongo, huyu mtu anamzushia tuu. Mimi sikumuamini bi dada na kwa hoja moja tu, why her?
Nika amua kumtishia kumlipua kwenye media kama vipi 'tuzungumze' tuelewane nipotezee kwa kukauka na kukausha. Bi dada akagoma katakata kufanya 'mazungumzo yale' kwa hoja kuwa ni uongo na uzushi, na mimi naendelea kumuaminia source wangu alichoniambia ni ukweli mtupu.
Mimi na bi dada tukashindwa kufikia any compromise, hivyo nikamlipua kwa kuiandika story na kuiripoti na ikatoka, watu wa magazeti nao waka i pick from TV nakuishikia kidedea, ika trend kama wildfire na usually bad news spread faster!
Issue ilipojulikana, wenye kazi zao nao wakaingia kazini kuifuatilia na kilichofuata bi dada moto ulimuwakia akawekwa pending pembeni kupisha uchunguzi. Kwa muda huo mimi wala sikujali what happened to her. Kumbe baadae issue ikwisha she was cleared hivyo bi dada akaendelea na kazi kwa kupanda vyeo sasa ni bosi mkubwa!
Na mimi kwa upande wangu umaarufu wangu wa kipindi cha Kiti Moto ulikuja kuisha, kipindi kilipigwa marufuku kutokana na kuwabananisha viongozi na kuwalipua. Nikaja kuacha kazi na kutimkia zangu ughaibuni.
Mwaka 2000 nikarejea Bongo nikajiunga TBC sikudumu nikakumbana na mabalaa chungu tele, mara kukimbiwa na mke, mara kupata ajali mbaya na ku paralyze, kumbe ni malipo ya accumulation ya karma za matendo yangu ya nyuma, tutendeni mema jameni, ukitenda ubaya wowote, malipo ni hapa hapa duniani!
Sasa leo, niko mkoa fulani kwenye lile jambo letu lile, leo ndio interview! nimelikamilisha vizuri kuhojiwa, nimejibu maswali yote vizuri kwa ufasaha bila kubabaika, nikiwa na furaha tele na matumaini chanya kwasababu niko vizuri kwenye kujieleza, uzoefu umesimama, shule imepanda, kwa sifa tuu, uwezo na vigezo kiukweli kabisa sijifagilii, ninavyo na niko vizuri, ila unaweza kukuta kwenye watu 186 wazuri wako 40 na wengine ni wazuri zaidi yako nafasi zenyewe ni 6, kati ya 6 hizo, nafasi 3 ni za wanawake!, hivyo mijiba 100 mnagombea nafasi 3!, kati ya tatu hizo moja ni ya Zanzibar!, mtu ukikosa utalalamika?.
Nimetoka chumba cha interview na furaha yangu, kabla sijafika nje ya ukumbi naitwa nimeambiwa subiri. Mara namuona mama mtu mzima kidogo, na mshepu ambaye ndiye katibu wa ile kamati ya interview, ananisalimia kwa majina yangu yote mawili huku ana smile, "unanikumbuka?"
Nikamwangalia trying to recall nimemuona wapi, sikukumbuki but the face looks bit familiar.
Nikamjibu sikumbuki naomba unikumbushe, akanitajia "mimi ni fulani bin fulani, umenikumbuka?"
Duh.m! Nilipigwa na a shock ya mwaka of my life! Kumbe yule bidada niliyemlipua mwaka 1995, miaka 27 iliyopita, sasa ndiye boss wa interview yangu!
"Interview umefanya vizuri nikaona nije kukusalimia tuu na kukumbusha ili unikumbuke ulichonifanyia!. Nenda salama mimi ngoja nirudi kwenye kikao"
Ghafla mwili uliingia baridi kama barafu nili freeze, nikataka kuishiwa nguvu na kuanguka, miguu imeingia ganzi ghafla haiwezi kuubeba mwili, nikaegemea ukuta nisianguke.
Mmama huyo kageuza kurudi ndani!, anatembea taratibu with confidence huku nikikodolea mshepu kwa nyuma nikibaki sina hili wala lile! Kwa sekunde kadhaa nilibaki mdomo wazi na adrenalin rush sauti imenikauka, macho yamenitoka kama nakabwa nimeona jini!, huku mwanga ukififia naona giza. Napata kama kizunguzungu!
Nikaambaa ambaa huku nimeshika ukuta hadi kwenye viti vya karibu nikakaa na kuvuta pumzi kwa nguvu kama umeachiwa baada ya kukabwa nataka kushindwa kupumua.
Just tell me, in such a situation, kuna kusubiria tena majibu positive ya lile jambo letu?!. Tena nikivuta picha kukumbuka when she was begging me, nisimlipue, tears dropped on her dimples cheeks, she almost cried!. She insisted if it was true, she would have done anything that I ask but it was not true!.
Lessons
Hii shock of my life niliyokutana nayo leo, na furaha yangu kugeuka shubiri, imenifunza lile somo la be good to people on your way up, you might meet them on your way down!. Usijisikie wewe ndio wewe wakati ukiwa juu na kuwatenda wengine kuwadharau, kuwaonea, kuwalipua, na kuwatesa, huijui kesho yako utakutana nao wapi wewe ukiwa nani na wao wakiwa nani!
Yule mdada mrembo niliyemlipua kwenye media enzi hizo mimi ni mimi, leo yeye ndio boss anayetakiwa kutia tick jina langu lisonge mbele, na mimi leo ndio a beggar begging for her mercy!.
Mwenzenu leo yamenikuta, na ikitokea hata kama na mimi nimekidhi sifa na vigezo na niko among the top aspirants, msiponiona jina langu kusonga mbele, mjue sio upungufu wa sifa, bali nimezidiwa sifa na wengine na sio nimeenguliwa kwasababu ya hii issue! Ila pia ikitokea nimekidhi sifa na vigezo ila poa nina mzigo mkubwa wa makando kando ambayo hayabebeki, nawaomba ndugu zangu, tukubaliane na matokeo yoyote, na ikiwa hivyo, I don't point fingers or shift the blame to anyone, the cause ni mimi mwenyewe, "ME, MYSELF & I" na karma reprisals hit back za matendo yangu ya nyuma on what goes around, comes around!
Kwa vile mimi yamenikuta, naomba niwe darasa kwa wengine, always be humble na kuwatendea mema watu wote, heshima watu wote wakubwa na wadogo na usidharau watu. Wadogo wa leo ndio wakubwa wa kesho!
Sasa hivi natafakari nilipata nini kwa kumuwasha yule dada kwenye media wakati huo nikiwa top, compared to sasa nakosa nini mimi nikiwa down and she is top!
Karma is real na majuto ni mjukuu!
We mama niliyo kukosea kwa kukutenda ulipokuwa msichana, nakuomba sana unisamehe kwa yote nilio kutendea.
Nimekosa mimi,
Nimekosa mimi,
Nimekosa sana!
Naomba huruma yako, maana nimeshakula bakora za karma za kutosha.
Ila pia ikitokea ukashindwa kusamehe mimi nikikatwa ni tayari nimejikubali nimekatwa kihalali kabisa kufidia matendo yangu enzi za ujana maji ya moto. Mungu unisamehe, unifundishe kunyamaza and being humble.
Naahidi kuwa mtu mwema zaidi sasa na yale mazuri yote ninayoitendea nchi yangu, hata bila uteuzi nitaendelea kuyatenda na kuwa raia mwema wa JMT, tena kwa taarifa, ile tabia ya ku lipua lipua watu kwenye media due to info tip sasa nimeisha achana nayo na mfano hai ni ile siku napata info tip hii Elections 2015 - Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli by this time, already I had a certain info tip fulani ya mtu huyu kutoka kwa Mkuu britanicca , hiyo info tip niliizungumza tuu humo
Just imagine kama ningekuwa ni yule Pasco wa Kiti Moto, nikaziweka hizo sababu, could you imagine ingekuwaje?!.
Huyu Pascal Mayalla wa sasa, japo bado ni mwandishi wa habari wa kujitegemea kwa kujitolea, kwanza ameachana na kuandika habari za kiuchunguzi, Investigative Journalism (IJ) na kujikita kwenye Developmental Journalism (DJ), pili akikutana na damaging info tip, anatumia objectivity zaidi kwa kutanguliza mbele maslahi ya taifa Swali la Morality: Je, ni lazima kuusema kila ukweli unaousikia au tutangulize mbele maslahi ya Taifa?
Hivyo sasa wajemeni mimi ni a completely changed person!, nisihukumiwe au kuadhibiwa kwa makosa yangu ya zamani bali nihukumiwe kwa mawazo, maneno na matendo yangu ya sasa, kama nilivyo shauri hapa Tum-judge Rais Samia kwa mawazo, maneno, na matendo yake ya sasa akiwa ni Rais wa JMT na siyo kwa alivyokuwa VP! tukianza kuhukumiana kwa mawazo, maneno, matendo na makosa ya nyuma, nani atasimama?
Mungu nisaidie.
Amen.
Paskali.
Good boy...kujitambua Raha sana....Wanabodi
Hiki ni kisa cha kweli, mwenzenu leo yamenikuta ya kunikuta nimepata a shock of my life! Nilikuwa na furaha na matumaini tele, mara ghafla furaha yangu ikageuka shubiri.
Kisa chenyewe kilianzia miaka ya mid 1990s enzi hizo mimi ni mtangazaji nyota, naandamana na Rais Mkapa ziara za ng'ambo zikiwemo za UN, naendesha kipindi cha Kiti Moto, siogopi mtu!, sina heshima, sina adabu, sina nidhamu! Baadhi ya maswali yangu yalikuwa so provocative hadi baadhi ya viongozi wa serikali wakawa wananiogopa! Hivyo nikavimba bichwa hilo nikajiona mimi ndiyo mimi, sioni, sisikii wala mtu haniambii kitu. Kila kinachokatiza mbele ya macho yangu halali yangu!
Siku moja nikiwa nchi fulani, nikafuatwa na mtu mmoja raia wa nchi hiyo, baada ya kuelezwa kuna ujumbe wa Watanzania. Basi huyo jamaa akatafuta mwanahabari akanimegea info tip ya issue fulani kumhusu mdada fulani mrembo wa Tanzania mwanasiasa kijana al maaruf enzi hizo akitaka iripotiwe kwenye vyombo vya habari.
Sisi waandishi sometimes tunakuwa vimbelembele sana, ukipata habari mbaya ya mtu maarufu ama unakimbilia kuilipua na sisi pia ni binadamu au unampenyezea mhusika na kumtishia kumlipua ili 'akuone', asipokuona una mlipua. Na kama mhusika ni mwanamke, na sisi watu wa Kanda ile na ule udhaifu wetu na wanawake weupe!, then unaitumia hiyo news tip kama fimbo ya kumchapia au gear ya kuingilia ili.
Mimi kurejea nchini, nikamtafuta mwanasiasa huyu mrembo ili nimbananishe ili angalau na mimi, si unajua tena mambo ya ujana!
Bi dada akakana taarifa hizo kuwa sii za kweli ni uzushi wa uongo, huyu mtu anamzushia tuu. Mimi sikumuamini bi dada na kwa hoja moja tu, why her?
Nika amua kumtishia kumlipua kwenye media kama vipi 'tuzungumze' tuelewane nipotezee kwa kukauka na kukausha. Bi dada akagoma katakata kufanya 'mazungumzo yale' kwa hoja kuwa ni uongo na uzushi, na mimi naendelea kumuaminia source wangu alichoniambia ni ukweli mtupu.
Mimi na bi dada tukashindwa kufikia any compromise, hivyo nikamlipua kwa kuiandika story na kuiripoti na ikatoka, watu wa magazeti nao waka i pick from TV nakuishikia kidedea, ika trend kama wildfire na usually bad news spread faster!
Issue ilipojulikana, wenye kazi zao nao wakaingia kazini kuifuatilia na kilichofuata bi dada moto ulimuwakia akawekwa pending pembeni kupisha uchunguzi. Kwa muda huo mimi wala sikujali what happened to her. Kumbe baadae issue ikwisha she was cleared hivyo bi dada akaendelea na kazi kwa kupanda vyeo sasa ni bosi mkubwa!
Na mimi kwa upande wangu umaarufu wangu wa kipindi cha Kiti Moto ulikuja kuisha, kipindi kilipigwa marufuku kutokana na kuwabananisha viongozi na kuwalipua. Nikaja kuacha kazi na kutimkia zangu ughaibuni.
Mwaka 2000 nikarejea Bongo nikajiunga TBC sikudumu nikakumbana na mabalaa chungu tele, mara kukimbiwa na mke, mara kupata ajali mbaya na ku paralyze, kumbe ni malipo ya accumulation ya karma za matendo yangu ya nyuma, tutendeni mema jameni, ukitenda ubaya wowote, malipo ni hapa hapa duniani!
Sasa leo, niko mkoa fulani kwenye lile jambo letu lile, leo ndio interview! nimelikamilisha vizuri kuhojiwa, nimejibu maswali yote vizuri kwa ufasaha bila kubabaika, nikiwa na furaha tele na matumaini chanya kwasababu niko vizuri kwenye kujieleza, uzoefu umesimama, shule imepanda, kwa sifa tuu, uwezo na vigezo kiukweli kabisa sijifagilii, ninavyo na niko vizuri, ila unaweza kukuta kwenye watu 186 wazuri wako 40 na wengine ni wazuri zaidi yako nafasi zenyewe ni 6, kati ya 6 hizo, nafasi 3 ni za wanawake!, hivyo mijiba 100 mnagombea nafasi 3!, kati ya tatu hizo moja ni ya Zanzibar!, mtu ukikosa utalalamika?.
Nimetoka chumba cha interview na furaha yangu, kabla sijafika nje ya ukumbi naitwa nimeambiwa subiri. Mara namuona mama mtu mzima kidogo, na mshepu ambaye ndiye katibu wa ile kamati ya interview, ananisalimia kwa majina yangu yote mawili huku ana smile, "unanikumbuka?"
Nikamwangalia trying to recall nimemuona wapi, sikukumbuki but the face looks bit familiar.
Nikamjibu sikumbuki naomba unikumbushe, akanitajia "mimi ni fulani bin fulani, umenikumbuka?"
Duh.m! Nilipigwa na a shock ya mwaka of my life! Kumbe yule bidada niliyemlipua mwaka 1995, miaka 27 iliyopita, sasa ndiye boss wa interview yangu!
"Interview umefanya vizuri nikaona nije kukusalimia tuu na kukumbusha ili unikumbuke ulichonifanyia!. Nenda salama mimi ngoja nirudi kwenye kikao"
Ghafla mwili uliingia baridi kama barafu nili freeze, nikataka kuishiwa nguvu na kuanguka, miguu imeingia ganzi ghafla haiwezi kuubeba mwili, nikaegemea ukuta nisianguke.
Mmama huyo kageuza kurudi ndani!, anatembea taratibu with confidence huku nikikodolea mshepu kwa nyuma nikibaki sina hili wala lile! Kwa sekunde kadhaa nilibaki mdomo wazi na adrenalin rush sauti imenikauka, macho yamenitoka kama nakabwa nimeona jini!, huku mwanga ukififia naona giza. Napata kama kizunguzungu!
Nikaambaa ambaa huku nimeshika ukuta hadi kwenye viti vya karibu nikakaa na kuvuta pumzi kwa nguvu kama umeachiwa baada ya kukabwa nataka kushindwa kupumua.
Just tell me, in such a situation, kuna kusubiria tena majibu positive ya lile jambo letu?!. Tena nikivuta picha kukumbuka when she was begging me, nisimlipue, tears dropped on her dimples cheeks, she almost cried!. She insisted if it was true, she would have done anything that I ask but it was not true!.
Lessons
Hii shock of my life niliyokutana nayo leo, na furaha yangu kugeuka shubiri, imenifunza lile somo la be good to people on your way up, you might meet them on your way down!. Usijisikie wewe ndio wewe wakati ukiwa juu na kuwatenda wengine kuwadharau, kuwaonea, kuwalipua, na kuwatesa, huijui kesho yako utakutana nao wapi wewe ukiwa nani na wao wakiwa nani!
Yule mdada mrembo niliyemlipua kwenye media enzi hizo mimi ni mimi, leo yeye ndio boss anayetakiwa kutia tick jina langu lisonge mbele, na mimi leo ndio a beggar begging for her mercy!.
Mwenzenu leo yamenikuta, na ikitokea hata kama na mimi nimekidhi sifa na vigezo na niko among the top aspirants, msiponiona jina langu kusonga mbele, mjue sio upungufu wa sifa, bali nimezidiwa sifa na wengine na sio nimeenguliwa kwasababu ya hii issue! Ila pia ikitokea nimekidhi sifa na vigezo ila poa nina mzigo mkubwa wa makando kando ambayo hayabebeki, nawaomba ndugu zangu, tukubaliane na matokeo yoyote, na ikiwa hivyo, I don't point fingers or shift the blame to anyone, the cause ni mimi mwenyewe, "ME, MYSELF & I" na karma reprisals hit back za matendo yangu ya nyuma on what goes around, comes around!
Kwa vile mimi yamenikuta, naomba niwe darasa kwa wengine, always be humble na kuwatendea mema watu wote, heshima watu wote wakubwa na wadogo na usidharau watu. Wadogo wa leo ndio wakubwa wa kesho!
Sasa hivi natafakari nilipata nini kwa kumuwasha yule dada kwenye media wakati huo nikiwa top, compared to sasa nakosa nini mimi nikiwa down and she is top!
Karma is real na majuto ni mjukuu!
We mama niliyo kukosea kwa kukutenda ulipokuwa msichana, nakuomba sana unisamehe kwa yote nilio kutendea.
Nimekosa mimi,
Nimekosa mimi,
Nimekosa sana!
Naomba huruma yako, maana nimeshakula bakora za karma za kutosha.
Ila pia ikitokea ukashindwa kusamehe mimi nikikatwa ni tayari nimejikubali nimekatwa kihalali kabisa kufidia matendo yangu enzi za ujana maji ya moto. Mungu unisamehe, unifundishe kunyamaza and being humble.
Naahidi kuwa mtu mwema zaidi sasa na yale mazuri yote ninayoitendea nchi yangu, hata bila uteuzi nitaendelea kuyatenda na kuwa raia mwema wa JMT, tena kwa taarifa, ile tabia ya ku lipua lipua watu kwenye media due to info tip sasa nimeisha achana nayo na mfano hai ni ile siku napata info tip hii Elections 2015 - Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli by this time, already I had a certain info tip fulani ya mtu huyu kutoka kwa Mkuu britanicca , hiyo info tip niliizungumza tuu humo
Just imagine kama ningekuwa ni yule Pasco wa Kiti Moto, nikaziweka hizo sababu, could you imagine ingekuwaje?!.
Huyu Pascal Mayalla wa sasa, japo bado ni mwandishi wa habari wa kujitegemea kwa kujitolea, kwanza ameachana na kuandika habari za kiuchunguzi, Investigative Journalism (IJ) na kujikita kwenye Developmental Journalism (DJ), pili akikutana na damaging info tip, anatumia objectivity zaidi kwa kutanguliza mbele maslahi ya taifa Swali la Morality: Je, ni lazima kuusema kila ukweli unaousikia au tutangulize mbele maslahi ya Taifa?
Hivyo sasa wajemeni mimi ni a completely changed person!, nisihukumiwe au kuadhibiwa kwa makosa yangu ya zamani bali nihukumiwe kwa mawazo, maneno na matendo yangu ya sasa, kama nilivyo shauri hapa Tum-judge Rais Samia kwa mawazo, maneno, na matendo yake ya sasa akiwa ni Rais wa JMT na siyo kwa alivyokuwa VP! tukianza kuhukumiana kwa mawazo, maneno, matendo na makosa ya nyuma, nani atasimama?
Mungu nisaidie.
Amen.
Paskali.