A smart and matured lady

A smart and matured lady

fleet admiral

Member
Joined
Sep 24, 2021
Posts
7
Reaction score
11
If you are a lady with these attributes:

1. Smart (Intelligent)
2. Matured
3. Financially independent
3. Ambitious
5. Caring

And you need someone to spend quality time with, a man who is:

1. Smart (Intelligent)
2. Matured
3. Financially independent
4. Ambitious
5. Caring..

Hit my inbox 😊
 

Attachments

  • images.jpeg
    images.jpeg
    20.3 KB · Views: 26
Futa hiyo Namba 3 katika vigezo vya mwanamke umtakae

Mwanaume kamili hatafuti financial independent girl. Unakinzana na nature. Mwanaume anatafuta mdada mrembo, mzuri anayejiheshimu na mwenye heshima fullstop. Hata kama mdada ana pesa vipi jitahidi awe financial dependent kwako. Utakaa Kwa amani

Ukilazimisha huyo financial independent usije kulalamika hapa next time.
 
Futa hiyo Namba 3 katika vigezo vya mwanamke umtakae

Mwanaume kamili hatafuti financial independent girl. Unakinzana na nature. Mwanaume anatafuta mdada mrembo, mzuri anayejiheshimu na mwenye heshima fullstop. Hata kama mdada ana pesa vipi jitahidi awe financial dependent kwako. Utakaa Kwa amani

Ukilazimisha huyo financial independent usije kulalamika hapa next time.
Kwakweli
 
Futa hiyo Namba 3 katika vigezo vya mwanamke umtakae

Mwanaume kamili hatafuti financial independent girl. Unakinzana na nature. Mwanaume anatafuta mdada mrembo, mzuri anayejiheshimu na mwenye heshima fullstop. Hata kama mdada ana pesa vipi jitahidi awe financial dependent kwako. Utakaa Kwa amani

Ukilazimisha huyo financial independent usije kulalamika hapa next time.
Am confident and I know what qualities am looking for in a lady.... So financial dependent lady unaweza ukam control kwa fedha yako, ila mm sina interest hiyo. Relationships hazihitaji manipulation, just mutual understanding and enjoying 😊
 
Futa hiyo Namba 3 katika vigezo vya mwanamke umtakae

Mwanaume kamili hatafuti financial independent girl. Unakinzana na nature. Mwanaume anatafuta mdada mrembo, mzuri anayejiheshimu na mwenye heshima fullstop. Hata kama mdada ana pesa vipi jitahidi awe financial dependent kwako. Utakaa Kwa amani

Ukilazimisha huyo financial independent usije kulalamika hapa next time.
Huyo anatafuta jimama la kumlea liwe linampa hela ya pombe,sigara na kubetia.
 
Jamaa anataka ku implement 50/50 kwa vitendo[emoji3][emoji3].
Akasome upya katiba ya mapenzi ndo arudi tena hapa[emoji38].Mwanaume ni kuhudumia bana hata kama bibi anafanya kazi.Tena raha sana kupewa pesa na bwana.Nadhani sauti ipo Sawa. Hahahaaa
 
Huyo anatafuta jimama la kumlea liwe linampa hela ya pombe,sigara na kubetia.
....ya kubetia😂😂😂😂

Ila demu hata awe na hela kiasi gani she suppose to depend on you in term if financial aspects
 
Back
Top Bottom