Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi jamenii kumuhudumia mke au mpenz wako ni jukumu lake au wewe mwanaume mbona mnajitahidi kupingana na asili?Ombaomba wamecharuka!
Aende huko naona na uzi ameukimbia super mariooBahili mno[emoji23][emoji23][emoji23]
Aisee!Futa hiyo Namba 3 katika vigezo vya mwanamke umtakae
Mwanaume kamili hatafuti financial independent girl. Unakinzana na nature. Mwanaume anatafuta mdada mrembo, mzuri anayejiheshimu na mwenye heshima fullstop. Hata kama mdada ana pesa vipi jitahidi awe financial dependent kwako. Utakaa Kwa amani
Ukilazimisha huyo financial independent usije kulalamika hapa next time.
Lakini huyu yeye sii anataka kutomber tuu na sio kuoa. So ndio maana anataka awe financialy independentFuta hiyo Namba 3 katika vigezo vya mwanamke umtakae
Mwanaume kamili hatafuti financial independent girl. Unakinzana na nature. Mwanaume anatafuta mdada mrembo, mzuri anayejiheshimu na mwenye heshima fullstop. Hata kama mdada ana pesa vipi jitahidi awe financial dependent kwako. Utakaa Kwa amani
Ukilazimisha huyo financial independent usije kulalamika hapa next time.
[emoji23][emoji23]Kazi ipo ccyUmeona eeehhh!!!!
Soda zile za sh mia 300[emoji23][emoji23][emoji23]Aende huko naona na uzi ameukimbia super marioo
Atakuwa amelielewa lile somo lenu mnalolipigania kila siku la 50/50.Hivi jamenii kumuhudumia mke au mpenz wako ni jukumu lake au wewe mwanaume mbona mnajitahidi kupingana na asili?