Reginald12
JF-Expert Member
- Aug 9, 2012
- 264
- 145
I heard from a friend here in Dar that one day they travelled to Nai.Reached at a mgahawa,the friend who had accompanied him requested for food using "Nataka 'mchele'".
Kenyans don't eat at a
'Mgahawa'....they eat at a 'Mkahawa, where they can order 'mchele na
maharagwe'! The common belief is that 'wali' must have coconut in it
since it is synonymous with the coast.
If mchele is cooked rice, what about the uncooked one? And if wali is supposed to have coconut in it, what about ubwabwa?
That is why it is called Kenyan Kiswahili. Rice is not staple so there is only one reference to it...mchele. Even the Eskimos have multiple words for snow. How many do we have?
unastay buru baze gani?that's right buddy,it used to be my hood too.i stayed there in 2012.i love the way buru ma3 are pimped.i'll be there in july this year.
unastay buru baze gani?
Ha mumias south road iko sides za buruburu phase 1.I also frequent the buru library.Ya hornbill iko juu.i'm a former resident of buruburu.,my common stage where i used to board and alight from matatus was near kenya nationanal library along mumias south road.and the place that i loved to hang out at weekends was hornbill.i was told hornbill is owned by sonko.
Ha mumias south road iko sides za buruburu phase 1.I also frequent the buru library.Ya hornbill iko juu.
mos def....nikija nai nita ku-pm.napenda kupata marafiki toka kila kona ya EA.pass my regards to NairobiWalker waltham lawmaina78 et al. waambie kwa sasa watanzania tupo ktk mjadala mkali wa bunge la katiba.
mos def....nikija nai nita ku-pm.napenda kupata marafiki toka kila kona ya EA.pass my regards to NairobiWalker waltham lawmaina78 et al. waambie kwa sasa watanzania tupo ktk mjadala mkali wa bunge la katiba.
Karibu...ila watse wa Buru ni watiaji sana, we used fight with them back in the days of inter-Gheto fights in F2... CC Buru58
Karibu...ila watse wa Buru ni watiaji sana, we used fight with them back in the days of inter-Gheto fights in F2... CC Buru58
Hapa sina uhakika, kwa kweli nakubali ustaraabu mnatuweza tena wa asilimia kubwa. Lakini inafaa ifahamike kuwa kenya ilitawaliwa na mkoloni aliyekua mkorofi na aliwapiga sana babu zetu huku akiwaamrisha wa kila kitu.
Ndo maanake kiswahili chetu huwa kimejaa amri na vitisho. Mateso hayo yalichangia sana. Fanya utafiti sana Waafrika waliocharazwa na mzungu jinsi walivyo hata Marekani wale weusi huko.
Ila Wabongo pamoja na ustarabu huo wenyu wapo walio na roho mbovu na wamejificha humo ndani ya ustaraabu huo. Kiasi kwamba huwezi jua mtu hisia zake kamili ndio zipi.
Nikiwa Bongo muda fulani niliwaona wanachimbana kikazi na kibiashara na unyangau hata kuliko wa kikenya lakini walifanyiana hayo yote huku wakitabasamiana na kuongea kwa ustaarabu. Halafu matapeli wapo unakuta jamaa Mtz anakutapeli akitumia ustaraabu yaani unaposhtuka huamini kwamba mtu aliyekua anaongea kwa heshima na ustaraabu hivyo anaweza kuwa tapeli.
Kuna mmoja kanitapeli na hadi sasa huwa naomba sana nikutane naye sio kwa ajili anirejeshee alichonitapeli lakini nimuangalie kwa macho na kuamini kweli jamaa kanitapeli na jinsi alvyokua anaongea kwa heshima na tena sana.
i got confused when i heard someone calling water supplied by a
tap as "maji ya mfereji instead of "maji ya bomba".kenya swahili is funny.
Ukiwa nje ya Afrika bwana hakuna cha mkenya ama mtz, both become unison in speaking swahili! Ila kuna maneno nalearn toka kwa kenyans loh sijui ni kiswahili ama no; kunyora=kukojoa, kudosika=kuwa na pesa, kuwa mnono=kunenepa hee the list goes down