fyddell
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 12,026
- 22,549
Finally.... hongera ushindwe wewe mwenyewe sasa dadaake.Nashukuru mkuu, na ntakucheki pm tuyajenge tusiwacheleweshe watoto shule😛
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Finally.... hongera ushindwe wewe mwenyewe sasa dadaake.Nashukuru mkuu, na ntakucheki pm tuyajenge tusiwacheleweshe watoto shule😛
Shida hizi id zenu za kificho hatuwajui vizuri tabia zenu za humu jamviniKwani tatizo liko wapi?
Anha sawa binafsi nina id moja tu humu ndani. Kabla ya hapo id yangu iligoma baada ya log in details kuzisahau.Shida hizi id zenu za kificho hatuwajui vizuri tabia zenu za humu jamvini
Post no.3 imeandikwa kwa kiswahili. Pia, mimi natumia lughA ZOTEKuna mtu humu anasema hawezi kuja PM maana hadi nimuandike kwa lugha hii ya meli. Naomba niwe mkalimani wenu kwa maisha yenu ya mahusiano hta mkiwa na ndoa.
Nawasilisha
Yuko humu ameiona hii comment, alihofu kithungu. Anajua kuitikia tu Yeah yeah ok okPost no.3 imeandikwa kwa kiswahili. Pia, mimi natumia lughA ZOTE
Mix by Ass?Mix by YAS
Nimecheka broo ujue.Yuko humu ameiona hii comment, alihofu kithungu. Anajua kuitikia tu Yeah yeah ok ok
Mix by Ass? Kizungu kingi kumbe kiswazi unakijua kufanya Mix by Ass au sio?Nimecheka broo ujue.
Shida iko wapi?Mix by Ass? Kizungu kingi kumbe kiswazi unakijua kufanya Mix by Ass au sio?
Mambo vipi mkuuGood morning
Ila we jamaa unanivunjaga mbavu sanaHapo watoto m afaytua magenius tuu na hivi mama nawe akili zimejaa mpaka zinamwagika ni balaaaa
👍Ila we jamaa unanivunjaga mbavu sana
Mwenzangu kumbe na wewe ngeli inapanda😂😂Some people think disabilities are a liability
mimi sio mshamba kiviiile😅Mwenzangu kumbe na wewe ngeli inapanda😂😂
Watu wasiri sana humu ndani
Hepinyuiya😍mimi sio mshamba kiviiile😅
Huwa nasoma michAngo yako. Mkuu najifunza mengi toka kwako.mimi sio mshamba kiviiile[emoji28]