Fabian Vitus
JF-Expert Member
- Jul 18, 2022
- 5,828
- 7,532
Sini bora uzame kwa mubongo mwenzako mie 🤣🤣🤣Hata mimi vi hingirishi sivijui, yaani hata nikipewa dikishenari sijui pa kuanzia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sini bora uzame kwa mubongo mwenzako mie 🤣🤣🤣Hata mimi vi hingirishi sivijui, yaani hata nikipewa dikishenari sijui pa kuanzia
movie iendelee staring bado yupo fiti 😀Hivi hii mada suruhu yake imeishaje🤣🤣🤣ama ndio tuendelee kusoma comment tukiwa chini ya mti pale
sasa sauti si utanitisha?Hapo kwenye sauti😀😀 ni kama umeamua kunisema, ila si wanyaki wote wana sauti ya zege bana.😀
kipi?Jaman.. Kidogo tu ningepata mume.. Apo nimekosa kigezo😔
Staring huwa hafi et😂😂movie iendelee staring bado yupo fiti 😀
Sasa mtu umepewa bure ya nini kubana bana, unataka iliwe na mchwa na sisimizi kaburini? 😀😀🤣🤣🤣🤣 Wanyaru wanakatabia kakusema walipewa bure hivyo na wao hutoa bureee
Sasa anakufa ili movie iishe ama iboe?Staring huwa hafi et😂😂
Kwakwer sasa itabidi nikamate staring ili move inoge picha linaanza nani yupo single kwa wadada sio mshangazi🌝Sasa anakufa ili movie iishe ama iboe?
Wewe watunuku mchwa na sisimizi tu maana ishakua kero kila Kona wanataka pesa kwani wanazitengenezaSasa mtu umepewa bure ya nini kubana bana, unataka iliwe na mchwa na sisimizi kaburini? 😀😀