A young woman threatened a demo and the tough boys overreacted to a non-event

Unasifia ujinga. Kila mkenya anajua kwamba polisi ndio adui nambari wani. Sasa unampongeza Magufuli ndio umridhishe nani? Wewe jamaa ukitupwa korokoroni hata wiki moja tu walai lazima Onyii atakuoa. [emoji23]
Jeshi La Tanzania lipo imara. Hata ingewezekana JPM agelipua mabomu kadhaa kama mzito kim jon un awaonyeshe wakoloni kwamba Tanzania ni nchi huru😀
 

Sijakuelewa unacho lalamika kuhusu maana ni wazi kweli majanga yamewahi kutokea, hiyo ni gharama ya kupigania haki. Mimi mwenyewe nimechezea kwenye hayo mabomu sana enzi zile. Wakenya hujitokeza, sio mchezo aisei hadi mapolisi yanakimbia.....yanaua lakini wanazidi kuja, tena kwa mamia ya maelfu, wanatiririka mbio......
 
country is it's people not the police. We are not easily intimidated like you people for we know our rights and Kenya is our Home sio kama nyinyi mnaoishi kama its a priveledge and not a right to be in Tz.
It is a privilege indeed my friend, that can't be taken for granted. And the majority quiet tz people are contented with their government. Watu wasingeweza kuacha shughuli zao wakaandamane kisa yule mwanamke aliekua famous kwa beefs na kuwatukana ma socialites. Nyie hamjui tu
 
Angalia nyomi ya kikenya, yaani mtiti ambao hauwezi ukauzima kisa mapolisi yanafanya mazoezi barabarani, hawa hukuambia kwamba tear gas ni dawa ya mafua.

Hao wana hali mbaya, tofauti na Tz. Watz have a lot, they can't just go and risk everything. People are aware.
 

Nikuoneshe video/picha za majuzi AMBAZO watu walikimbia huku maiti zimelala chini?
 
Hao wana hali mbaya, tofauti na Tz. Watz have a lot, they can't just go and risk everything. People are aware.
Kwahivyo wenzenu U.S.A wenye hali nzuri kama yenu, wakiandamana huwa wamewasaliti sana eeh? Hahaha 🙂
 
Angalia nyomi ya kikenya, yaani mtiti ambao hauwezi ukauzima kisa mapolisi yanafanya mazoezi barabarani, hawa hukuambia kwamba tear gas ni dawa ya mafua.


Sijui unadhani hatuyajui yanayotokea mkiandamana ama bado una hangover ya chang'aa.




 
Umenoa wakenya sio maandas kama nyie. Ikifika ni mambo ya maandamano hata polisi huwa wanajua mambo ni [emoji91]. 🙂 Sasa hawa wenzao wanaua nzi kwa kutumia nyundo? 😀 Nimemuheshimu sana huyo Mange.




 
Nikuoneshe video/picha za majuzi AMBAZO watu walikimbia huku maiti zimelala chini?

Nimekuambia hiyo ni gharama ambayo huwa tunalipa ili kuhakikisha haki ya msingi inalindwa, rais angeachiwa abwatuke na sisi tungekua tunachezea chini ya dikteta. Video na picha zipo za Wakenya wakiumia na wengine kuuawa, ila hatukutegemea polisi wajitokeze kucheka cheka na sisi, lazima hiyo gharama ingelipwa.

Ni kama ilivyo hapo Tanzania, leo hii mnaishia kuwabeep mapolisi, yaani mpo kama Kenya ilivyokua miaka ya themanini, kabla mje kufikia kwenye level yetu lazima mtauawa sana na kutupwa kwenye mifuko ya masandarusi. Serikali ambayo haijazoea maandamano, hutumia nguvu nyingi sana kujilinda, unaona kama juzi mdada wa kwenye Instagram katishia maandamano, yaani mlitokwa mipovu hadi hata rais wa nchi, mapolisi yenu yakakimbia kimbia barabarani yenyewe bila upinzani wowote, kubabaika kwa namna hiyo ni kwa serikali ambayo bado haijatikiswa na nyomi.

Hata kwetu mapolisi yalikua hivyo miaka ya themanini, lakini ilifikia hatua watu wakaamua, aisei asikuambie mtu. Wakenya waliuawa sana siku za kwanza kwanza, walitolewa kafara hadi balaa. Huwa sio rahisi, ni shguhuli ambayo lazima mjihakikishie kweli mna ubavu huo?
 
kilam hizo ndio video ambazo ulikuwa unazitizama ukiwa umejificha mvunguni? Muoga kabisa. Mwanaume mzima hujui tofati kati ya ladha ya teargas za Uzbekistan na zile zingine za China? Nonsense!
 
Ndio maana KENYA ikaitwa KENYA na TANZANIA ikaitwa TANZANIA. Tanzaniansa we are very cool and we don't like violence after all hatuna mambo ya ukabila kama KENYANS ndo maana mna JEALOUS sana. Mjifunze kutoka kwetu
 
Huyu Muandishi kilaza yaani ameweza kujua yote hayo laini mwaka wa Muungano wa Tanzania anasema 1965? sikuweza kuendelea kusoma baada ya kuona ameandika hivyo kwani ni useless..
Ww ndio kilaza. Yeye emesema sherehe za muungano zilianza kusherehekewa mwaka 1965, sasa hapo kuna shida? Birthday huanza kusherehekewa lini?
 

Umeongea maelezo mengi SANA. Na unaongea kana KWAMBA mauaji hayo yalifanyika miaka 20 iliyopita. KUMBE HATA makaburi ya wahanga hayajaota nyasi.

Bado you are in a wanting democracy period.
 
It's called intimidation, Kenyan security is weak, itakuwa hakuna hilo somo kwa curriculum yenu ya usalama

Far from it! Kenyan security deals with people who know their rights and hardened enough to defend those rights with or without intimidation!

Nowhere in the world are hard won rights defended by fearing intimidation!
 
Pale bongo polisi walijua wanaume wote watakuwa Chini ya vitanda ilhali wananawake watakuwa nje kuendeleza biashara kama kawaida.
Pwahahaha, Unafkiri Tz ni Kenya?? TZ watu wengi wanajitambua akilini.. Hata polisi wasingeenda Barabarani idadi ya watu ambao wangejitokeza ingekua kidogo sana probably Watanzania ambao Asili yao ni Kenya.. Ziko njia nyingi tu za kusuluhisha mambo sio lazima Ku break down other people's properties
 
Hao wana hali mbaya, tofauti na Tz. Watz have a lot, they can't just go and risk everything. People are aware.

Huo ni uwoga! No matter what you own if you can't defend your rights as a citizen all is in vain! If your govt can wake up and just impose a ban with no legal grounding, what will stop the same if it decides to come for individuals plus what they own!?

People are ignorant! Fungueni macho!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…