Nyamwage
JF-Expert Member
- Oct 16, 2020
- 712
- 1,748
Habari za muda huu, kuna jamaa yangu ni masonry yaani fundi uashi. Amejikusanya kwa muda mrefu amefanikiwa kukusanya kiasi cha pesa shilingi 5m, amepanga kufungua biashara ya duka la rejareja ili aachane na hii kazi ya masonry uashi ili aweze kuisimamia biashara yake mwenyewe.
Je, hii biashara ya duka kwa makisio kwa siku inaweza ikamuingizia faida ya Tsh. 30k au zaidi kama anavyosema? Ambayo ndicho kiasi anachokiingiza kwa siku kwenye hii kazi yake ya uashi au zaidi kutokana na mapatano ya kazi sababu ya yeye kuachana na hii kazi anasema ni kazi ngumu yaani mpaka utoke jasho na kuchafuka na cement ndio uingize kipato.
Anasema ni kazi ngumu
Je, hii biashara ya duka kwa makisio kwa siku inaweza ikamuingizia faida ya Tsh. 30k au zaidi kama anavyosema? Ambayo ndicho kiasi anachokiingiza kwa siku kwenye hii kazi yake ya uashi au zaidi kutokana na mapatano ya kazi sababu ya yeye kuachana na hii kazi anasema ni kazi ngumu yaani mpaka utoke jasho na kuchafuka na cement ndio uingize kipato.
Anasema ni kazi ngumu