CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,296
- 12,972
Kwani alianzaje kumkaribisha?
njia ndo ile ile
mmmmh, yaani mtu alete mabwaba nyumbani kwako bado uulize umfukuzeje????
Kuna tofauti kati ya nyumba na nyumbani.
Kama hapo kwake ni nyumba basi amwache, ila kama ni nyumbani, sijui hata alianzaje kuwapeleka.
ninaposema nyumbani namaanisha nyumbani kwa Eva na sio getto. make ni nyumba kubwa ya kîfamilia na kibaya zaidi sasa hivi mama yake Eva kaja kumtembelea mwanae nyumbani kwa Eva lakini Anna bila aibu anampeleka bwana na kumpikia as if ni nyumbani kwake!
Ajifanye anauza nyumba (afanye dili na rafiki zake) na aende likizo kwao kijijini huyo anna atashindwa kwenda kwa wazazi wa eva kwani wazazi hawamtambui.
hilo nalo linahitaji ushauri?
Simple dukani atafute mtu, akimpata amwambie shosti off......
Kwa kumsaidia shosti wake amlipie kodi ya miezi 6 amwambie aondoke......
ninaposema nyumbani namaanisha nyumbani kwa Eva na sio getto. make ni nyumba kubwa ya kîfamilia na kibaya zaidi sasa hivi mama yake Eva kaja kumtembelea mwanae nyumbani kwa Eva lakini Anna bila aibu anampeleka bwana na kumpikia as if ni nyumbani kwake!
asante kwa ushauri, ila isue ya kumpa kodi ya 6month ni ngumu. kumbuka kwa miezi 4 yote Anna ameishi kwa Eva bila kuchangia hta hela ya chumvi. it means ameshasave vya kutosha kuanza maisha!