AAR Healthcare (T) Ltd imetangaza kuuza vifaa vyote vilivyopo kwenye kliniki zake saba Nchini kutokana na kufilisiwa

AAR Healthcare (T) Ltd imetangaza kuuza vifaa vyote vilivyopo kwenye kliniki zake saba Nchini kutokana na kufilisiwa

MLETA mada umechanganya AAR ni kampuni tofautI na AAR HEALTHCARE (T) LTD naona una uelewa mdogo.

AAR ni kampuni ya bima ya afya wakati AAR HEALTHCARE (T) LTD inamiliki hospitali na clinic ni vitu viwili tofauti hiyo inayomiliki hospitali ndio imefilisika na ni kitu kizuri kwa hospitali kufilisika kwa kukosa wagonjwa ina maana watanzania tumekuwa na afya nzuri hadi corona imetupita mbali ni kitu kizuri lazima hospitali itakosa wagonjwa na kufilisika.

Ni sawa na kampuni ukisikia kampuni kubwa sana iliyoajiri watu wengi sana ya kutengeneza majeneza imefilisika kwa kukosa wateja ni kitu cha kumshukuru Mungu.

NIMEFURAHI SANA KUSIKIA HOSPITALI IMEFILISIKA TUWEKEENI NA ZINGINE ZILIZOFILISIKA NI TAARIFA NZURI SANA.
Inaonekana una maisha magumu umeathirika hadi akili,wewe huoni kuwa kutakuwa na lundo la watu wasiokuwa na ajira ??
Wewe hauna akili
 
MLETA mada umechanganya AAR ni kampuni tofautI na AAR HEALTHCARE (T) LTD naona una uelewa mdogo.

AAR ni kampuni ya bima ya afya wakati AAR HEALTHCARE (T) LTD inamiliki hospitali na clinic ni vitu viwili tofauti hiyo inayomiliki hospitali ndio imefilisika na ni kitu kizuri kwa hospitali kufilisika kwa kukosa wagonjwa ina maana watanzania tumekuwa na afya nzuri hadi corona imetupita mbali ni kitu kizuri lazima hospitali itakosa wagonjwa na kufilisika.

Ni sawa na kampuni ukisikia kampuni kubwa sana iliyoajiri watu wengi sana ya kutengeneza majeneza imefilisika kwa kukosa wateja ni kitu cha kumshukuru Mungu.

NIMEFURAHI SANA KUSIKIA HOSPITALI IMEFILISIKA TUWEKEENI NA ZINGINE ZILIZOFILISIKA NI TAARIFA NZURI SANA.
Muoneni na huyu[emoji28][emoji28][emoji28].

Mbona unakosoa kitu ambacho hakipo? Mleta mada kawa clear anaongelea nini, ila ww umetaka kutuonesha kuwa unajua zaidi, matokeo yake umeongelea ambacho hajaongelea.
 
Na mimi nimemjibu kwa mlengo huo kuwa kufilisika hospitali ni kitu kizuri imekosa wateja sababu sasa hivi watanzania afya zetu nzuri tutegee hospitali nyingi zaidi kufilisika kwa kukosa wateja.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] aisee. Kazi kweli kweli.
 
MLETA mada umechanganya AAR ni kampuni tofautI na AAR HEALTHCARE (T) LTD naona una uelewa mdogo.

AAR ni kampuni ya bima ya afya wakati AAR HEALTHCARE (T) LTD inamiliki hospitali na clinic ni vitu viwili tofauti hiyo inayomiliki hospitali ndio imefilisika na ni kitu kizuri kwa hospitali kufilisika kwa kukosa wagonjwa ina maana watanzania tumekuwa na afya nzuri hadi corona imetupita mbali ni kitu kizuri lazima hospitali itakosa wagonjwa na kufilisika.

Ni sawa na kampuni ukisikia kampuni kubwa sana iliyoajiri watu wengi sana ya kutengeneza majeneza imefilisika kwa kukosa wateja ni kitu cha kumshukuru Mungu.

NIMEFURAHI SANA KUSIKIA HOSPITALI IMEFILISIKA TUWEKEENI NA ZINGINE ZILIZOFILISIKA NI TAARIFA NZURI SANA.

Hata kampuni ya bima imebadilika kutoka AAR kuwa Assemble insurance
 
Back
Top Bottom