Abakwa baada ya kutoka kanisani kusali misa ya Jumatano ya Majivu

Hadi leo hii hakuna hata mtu mmoja aliyekamatwa baada ya kumfanyia kama hivi marehemu Betty Ndejembi.

Na kwa uwazi, Betty alikuwa akiandika Twitter kuandamwa na watu fulani. Na baadhi yao walikuwa wakimjibu.

Kama unazo taarifa za kukamatwa wahusika wa tukio lile, naomba unijuze.

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…