Mjina Mrefu
JF-Expert Member
- Dec 6, 2016
- 3,045
- 3,389
Nipo forodhani napiga asali na mdalasini. Nitakujibu nikimalizaNianze na wewe mkuu UTACHUKUA UAMUZI GANI!!
Kwamba hiyo thread inahusiana vipi na hayo uliyoyasema?Kama wewe ni Wa kiume (maana mwanaume hawezi kopost ujinga huu) wazazi wako wamekula bonge la hasara.
Kama marinda bado yapo, soon yatatuliwa, keep my words
Aisee on behalf of myself niombe msamaha Kwa kutumia maneno makali but in real life awazolo mjinga ndo linalomtokea.Kwamba hiyo thread inahusiana vipi na hayo uliyoyasema?
Nilichoandika ni mambo yanayoweza kutokea in real life
Imagination, nitaacha kufikiriaMara paaap mmevamiwa home na majambazi wenye bunduki . Katika kutafuta cha kuiba, wakafanikiwa kupata elfu saba mia nane pamoja na redio ya mkulima.
Kwa hasira majambazi wanaona wametumia nguvu nyingi for nothing, wanakuambia baba mwenye family, chagua moja, mkeo abakwe wewe usalimike au wewe uingiliwe kinyume cha maumbile mbele ya watoto mkeo asalimike au mkatae yote muuwawe wote.
Kama wewe mwanamama au mwanababa ungechagua kipi hapo?
[emoji102]Bora mwanamke kubakwa kuliko mwanaume.
Ngoja niendelee kusoma
Mara paaap mmevamiwa home na majambazi wenye bunduki . Katika kutafuta cha kuiba, wakafanikiwa kupata elfu saba mia nane pamoja na redio ya mkulima.
Kwa hasira majambazi wanaona wametumia nguvu nyingi for nothing, wanakuambia baba mwenye family, chagua moja, mkeo abakwe wewe usalimike au wewe uingiliwe kinyume cha maumbile mbele ya watoto mkeo asalimike au mkatae yote muuwawe wote.
Kama wewe mwanamama au mwanababa ungechagua kipi hapo?
Mbele ya watoto
Wanyama unakuta wana vya moto tayari wamesha pull the triggerMAPANGA SHAAAAAAAAAAAAA
HIZI N AKILI ZA MAISHA ASEEEEEE HAPO NI KUPIGANA NAO TUUUU
Kauli moja wekeni pembeni tuuoneshane nani ana ngumi kali.Wanyama unakuta wana vya moto tayari wamesha pull the trigger
Nyuma ya watoto.Mbele ya watoto