Abbas Mtemvu awa Mwenyekiti mpya wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam

Abbas Mtemvu awa Mwenyekiti mpya wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam

figganigga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
25,724
Reaction score
55,906
Mwenyekiti wa CCM Dar ni Mtemvu, wale jamaa wataficha wapi sura zao?
Nasikia kapata kura 444

Abbas Mtemvu ndo mwenyekiti Mpya wa CCM wa Dar Es Salaam

IMG_20221121_180205_891.jpg
IMG_20221121_180341_373.jpg
 
uyu mzee namkumbuka kama ni babake na bibi bomba (yule miss alijifanya hajazalia home kumbe....), na mzee huyu alifanya sana uwakala wa kubeba housegirls toka tz kupeleka uarabuni. ile ilikuwa human trafficking kabisa.
 
Juma Simba a.k.a Ghadaffi Katibu Mwenezi wa CCM mkoa wa Dar es Salaam akizungumza kwenye semina.

1669046144136.png



SEMINA YA MAKATIBU WAENEZI 90 WA CCM MKOA DAR ES SALAAM
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Dar es Salaam, Ramadhani Madabida (katikati), akizungumza na makatibu waenezi 90 wa CCM wakati akifungua semina elekezi ya siku moja kwa makatibu hao kutoka Kata mbalimbali za mkoa wa Dar es Salaam leo. Kushoto ni Katibu Muenezi wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam, Juma Simba na Katibu Muenezi Msaidizi wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam, Athuman Salum



22 August 2015

JUMA SIMBA KAMPENI ZA 2015 - VIWANJA VYA JANGWANI NI NYUMBANI

Katibu Mwenezi wa mkoa wa Dar Ndg.Juma Simba akiwakaribisha rasmi wanachama kwenye mkutano utakaofanyika katika viwanja vya Jangwani hapo kesho. Mgombea wa CCM nafasi ya urais, Ndg. John Pombe Joseph Magufuli kukabidhiwa rasmi ilani ya uchaguzi mkuu 2015
 
uyu mzee namkumbuka kama ni babake na bibi bomba (yule miss alijifanya hajazalia home kumbe....), na mzee huyu alifanya sana uwakala wa kubeba housegirls toka tz kupeleka uarabuni. ile ilikuwa human trafficking kabisa.
Mmeanza.....!!
 
Back
Top Bottom