figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
Chama kimerudi nyumbaniMwenyekiti wa CCM Dar ni Mtemvu, wale jamaa wataficha wapi sura zao?
Nasikia kapata kura 444
Abbas Mtemvu ndo mwenyekiti Mpya wa CCM wa Dar Es Salaam
View attachment 2423305View attachment 2423309
[emoji38][emoji38][emoji38]Duh! CCM bana!
Duh! CCM bana!
Ukiwaona hao ujue ndio waleee [emoji3][emoji3][emoji3]Chama kimerudi nyumbani
Mmeanza.....!!uyu mzee namkumbuka kama ni babake na bibi bomba (yule miss alijifanya hajazalia home kumbe....), na mzee huyu alifanya sana uwakala wa kubeba housegirls toka tz kupeleka uarabuni. ile ilikuwa human trafficking kabisa.
Miaka mitatu hii upinzani wakiifanyia kazi kwa juhudi na maarifa utabiri wa sheikh yahya unakwenda kutimia 2025.
duh!!...hili zee na makandokando yote yale bado linapambana kwenye siasa mpaka leo?....ila sisiemu sina hamu nao.Mwenyekiti wa CCM Dar ni Mtemvu, wale jamaa wataficha wapi sura zao?
Nasikia kapata kura 444
Abbas Mtemvu ndo mwenyekiti Mpya wa CCM wa Dar Es Salaam
View attachment 2423305View attachment 2423309