Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
=======
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado na IDD Azan. Mtulia akauze vitumbua..
Lijua....Watu kama hawa ndo uwa nawataka. Kama ni pesa anayo. Sio wale wanaoingia kwenye siasa za Ubunge kama ajira!
Lijua....
Alitakalo yesu Wa ccm, hakuna mwanadamu atakayelipinga..Mtulia atakula jeuri yake, labda ahurumiwe tu na Mwenyekiti.
Usaliti ni laanaBado na IDD Azan. Mtulia akauze vitumbua..
ITABIDI UMFUATILIE UKO UKO AKIWA BUNGENIDa! Sasa jamani tutashikana na nani! Mikono tukiwa tumeshinda mamilioni Sportpesa owiiii😱
Haki ya nani umenichekesha sana aiseee 😆😁 kwamba akiwa yupo anatoa hoja naletwa mbele pale nashikiria bango nae tunashikana mikono ya hongera harafu huyoo naondoka zangu yeye anaendelea alipoishia 🤦😂🤣ITABIDI UMFUATILIE UKO UKO AKIWA BUNGENI
Vipande vya sarafu vitamtokea puani mtuliaBado na IDD Azan. Mtulia akauze vitumbua..
Wakome hao wapuuziAbbas Tarimba ambaye alikuwa Diwani wa Kata ya Ananasif, amechukua fomu za kuomba kuteuliwa na Chama cha Mapinduzi (CCM) kugombea Ubunge katika Jimbo la Kinondoni.