Bossprota
JF-Expert Member
- Jul 16, 2015
- 336
- 373
Samahani Wakubwa Nahitaji Kujua Maeneo Unayoweza Kwenda Kuomba Kazi Au Kuaply Maombi Kwa Mtu Aliesomea Masuala Ya Cyber Forensic Kwa hapa.
Tanzania Maana Nimejaribu Kuuliza Wengi Walioko Kwenye Hii Fani Hawanipi Maelezo Ya Kutosha Mfano Nimeuliza Baadhi Ya Wapelelezi.
Inaonyesha Hawajui Chochote Nimeuliza Baadhi ya Watu Ndani ya Jeshi La Polisi Nao Hakuna Nilipopata Majibu Nahitaji Msaada Wenu Watu Wa IT
Tanzania Maana Nimejaribu Kuuliza Wengi Walioko Kwenye Hii Fani Hawanipi Maelezo Ya Kutosha Mfano Nimeuliza Baadhi Ya Wapelelezi.
Inaonyesha Hawajui Chochote Nimeuliza Baadhi ya Watu Ndani ya Jeshi La Polisi Nao Hakuna Nilipopata Majibu Nahitaji Msaada Wenu Watu Wa IT