Sodoku
JF-Expert Member
- Feb 3, 2016
- 1,271
- 2,903
Nina wasi wasi hata wale mateka wa Kiisrael walitekwa kimtego ili Israel ipate sababu ya kufanya haya. Hezbollah kwa sasa wanataka amani. Wayahudi wabishi. Why jamani? Msifanye hivyo. Acheni amani itawale.
Viongozi wa Hezzbollha,Hamas and the likes hawataki kupandishwa vyeo kwa sasa. Hawataki kuchukua nafasi zile kubwa kubwa. Wanasema nafasi walizo nazo zinatosha.
Viongozi wa Hezzbollha,Hamas and the likes hawataki kupandishwa vyeo kwa sasa. Hawataki kuchukua nafasi zile kubwa kubwa. Wanasema nafasi walizo nazo zinatosha.