Abdalah Bares ni kocha mzuri kuliko Hemed Moroco

Abdalah Bares ni kocha mzuri kuliko Hemed Moroco

Its Pancho

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2018
Posts
15,966
Reaction score
26,404
I salute you kinsmen.
TFF wamekuwa wakituvunja moyo kila siku linapokuja swala la team yetu ya taifa.

Kwanza wanatuletea makocha wabovu na wa hovyo sana nadhani kuna maswala ya 10% mule ndani .

KAMA NI KIGEZO CHA UWEZO WAKE.

Kumpa team huyu moroco tangu mwanzo watu tulisema huyu ana uwezo mdogo sana sana
Hakuwahi hata kuchukua kombe la mbuzi mtaani,

Amefundisha mid table team kama namungo na geita na gaita wakashuka huku namungo wao walinusurikaga kushuka wakati alipokuwa kocha.

KAMA NI ISSUE YA UZAWA/UTAIFA.

Basi kocha wa mashujaa fc Abdalah Bares alifaa zaidi. Kwa mnaofuatilia mtaona namna alipoitoa mashujaa kutoka msimu uliopita aliposhika team iliyokuwa hovyo na sasa jinsi alivyoisuka.

Anachokosa zaidi ni vipe bajeti yao mashujaa ni ndogo basi lakini huyu alifaa zaidi kuliko yule mpemba na juma bonge wake.

Bares ni technician na game changer zaidi huyu apewe team aijenge.

KWA KIGEZO CHA WACHEZAJI/SELECTION..

Moroco amekuwa akionesha wazi udhaifu wake na uwezo wake mdogo wa kuusoma mchezo

Sub zake ni za hovyo na haeleweki anataka nini, nadhani anategemea zaidi bahati tu kuliko mbinu zake .

Mfano mzuri angalia wenzetu Congo wao kocha wao alituliza pressure dakika ya 1 to 75 hivi.

Then akawaingiza Mayele na Elia, dakika chache tu bang chuma mbili na game ikaishia hapo.

Wakati sisi huku anatolia mudathir anaingia Mao ,then mwaikenda anatoka anaingia Mwamnyeto kwaajili ya kutengeneza back 3..! Mfumo wa kipumbavu kabisa kwa kweli na bado unatafuta goli..


Bares asingeweza kufanya ujinga wa juzi kama ule ..

Its Pancho
 
Barres bonge wa kocha kweli lkn sisi wanamashujaa tunakuomba umkome Barres wetu
Muache akaitumikie nchi mkuu taifa kwanza .

Jamaa yuko vizuri sana nilimfutilia mashujaa mmepata kocha mzuri sio kama wale pamba wanahangaika tu huku na kule
 
bado sijashawishika!
Wakufanyie nini mpaka ushawishike kijana?
1729149946343.jpg
 
I salute you kinsmen.
TFF wamekuwa wakituvunja moyo kila siku linapokuja swala la team yetu ya taifa.

Kwanza wanatuletea makocha wabovu na wa hovyo sana nadhani kuna maswala ya 10% mule ndani .

KAMA NI KIGEZO CHA UWEZO WAKE.

Kumpa team huyu moroco tangu mwanzo watu tulisema huyu ana uwezo mdogo sana sana
Hakuwahi hata kuchukua kombe la mbuzi mtaani,

Amefundisha mid table team kama namungo na geita na gaita wakashuka huku namungo wao walinusurikaga kushuka wakati alipokuwa kocha.

KAMA NI ISSUE YA UZAWA/UTAIFA.

Basi kocha wa mashujaa fc Abdalah Bares alifaa zaidi. Kwa mnaofuatilia mtaona namna alipoitoa mashujaa kutoka msimu uliopita aliposhika team iliyokuwa hovyo na sasa jinsi alivyoisuka.

Anachokosa zaidi ni vipe bajeti yao mashujaa ni ndogo basi lakini huyu alifaa zaidi kuliko yule mpemba na juma bonge wake.

Bares ni technician na game changer zaidi huyu apewe team aijenge.

KWA KIGEZO CHA WACHEZAJI/SELECTION..

Moroco amekuwa akionesha wazi udhaifu wake na uwezo wake mdogo wa kuusoma mchezo

Sub zake ni za hovyo na haeleweki anataka nini, nadhani anategemea zaidi bahati tu kuliko mbinu zake .

Mfano mzuri angalia wenzetu Congo wao kocha wao alituliza pressure dakika ya 1 to 75 hivi.

Then akawaingiza Mayele na Elia, dakika chache tu bang chuma mbili na game ikaishia hapo.

Wakati sisi huku anatolia mudathir anaingia Mao ,then mwaikenda anatoka anaingia Mwamnyeto kwaajili ya kutengeneza back 3..! Mfumo wa kipumbavu kabisa kwa kweli na bado unatafuta goli..


Bares asingeweza kufanya ujinga wa juzi kama ule ..

Its Pancho
Timu ya CCM au timu yenu? utakuwa wewe ni kada
 
Timu ya CCM au timu yenu? utakuwa wewe ni kada
Team ya watanzania hebu tutolee siasa zako hapa.

Chadema mna matatizo kila kitu mnafananisha na CCM.

Haya tuambie mwigulu anacheza namba ngapi taifa stars?
 
I salute you kinsmen.
TFF wamekuwa wakituvunja moyo kila siku linapokuja swala la team yetu ya taifa.

Kwanza wanatuletea makocha wabovu na wa hovyo sana nadhani kuna maswala ya 10% mule ndani .

KAMA NI KIGEZO CHA UWEZO WAKE.

Kumpa team huyu moroco tangu mwanzo watu tulisema huyu ana uwezo mdogo sana sana
Hakuwahi hata kuchukua kombe la mbuzi mtaani,

Amefundisha mid table team kama namungo na geita na gaita wakashuka huku namungo wao walinusurikaga kushuka wakati alipokuwa kocha.

KAMA NI ISSUE YA UZAWA/UTAIFA.

Basi kocha wa mashujaa fc Abdalah Bares alifaa zaidi. Kwa mnaofuatilia mtaona namna alipoitoa mashujaa kutoka msimu uliopita aliposhika team iliyokuwa hovyo na sasa jinsi alivyoisuka.

Anachokosa zaidi ni vipe bajeti yao mashujaa ni ndogo basi lakini huyu alifaa zaidi kuliko yule mpemba na juma bonge wake.

Bares ni technician na game changer zaidi huyu apewe team aijenge.

KWA KIGEZO CHA WACHEZAJI/SELECTION..

Moroco amekuwa akionesha wazi udhaifu wake na uwezo wake mdogo wa kuusoma mchezo

Sub zake ni za hovyo na haeleweki anataka nini, nadhani anategemea zaidi bahati tu kuliko mbinu zake .

Mfano mzuri angalia wenzetu Congo wao kocha wao alituliza pressure dakika ya 1 to 75 hivi.

Then akawaingiza Mayele na Elia, dakika chache tu bang chuma mbili na game ikaishia hapo.

Wakati sisi huku anatolia mudathir anaingia Mao ,then mwaikenda anatoka anaingia Mwamnyeto kwaajili ya kutengeneza back 3..! Mfumo wa kipumbavu kabisa kwa kweli na bado unatafuta goli..


Bares asingeweza kufanya ujinga wa juzi kama ule ..

Its Pancho
sijawahi kumkubali morocco, aache uzanzibar na ubaguzi. hapakuwa na sababu ya kumtosa msuva ambaye ni mzuri kuliko wengi sana. fukuzia mbali.
 
wanipe mwanamke mzuriii kama lulu halafu wanipe kitita cha million 100 ,hapo ndo nitajua wapo serious na nitakuwa nimekula keki ya taifa nakuona utamu wake!
Wewe pumbafu🤣🤣
 
sijawahi kumkubali morocco, aache uzanzibar na ubaguzi. hapakuwa na sababu ya kumtosa msuva ambaye ni mzuri kuliko wengi sana. fukuzia mbali.
Mayele alipohojiwa alisema wao walikuwa wanamuhofia sana msuva hata kocha wao alikuwa anaulizia kama msuva yupo? Walipoona hayupo ikawa easy kwao tu kule nyuma waking mbemba kurelax

Msuva angeongeza kitu yule mbele kwa kweli japo kinachomcost hana team kwa sasa
 
I salute you kinsmen.
TFF wamekuwa wakituvunja moyo kila siku linapokuja swala la team yetu ya taifa.

Kwanza wanatuletea makocha wabovu na wa hovyo sana nadhani kuna maswala ya 10% mule ndani .

KAMA NI KIGEZO CHA UWEZO WAKE.

Kumpa team huyu moroco tangu mwanzo watu tulisema huyu ana uwezo mdogo sana sana
Hakuwahi hata kuchukua kombe la mbuzi mtaani,

Amefundisha mid table team kama namungo na geita na gaita wakashuka huku namungo wao walinusurikaga kushuka wakati alipokuwa kocha.

KAMA NI ISSUE YA UZAWA/UTAIFA.

Basi kocha wa mashujaa fc Abdalah Bares alifaa zaidi. Kwa mnaofuatilia mtaona namna alipoitoa mashujaa kutoka msimu uliopita aliposhika team iliyokuwa hovyo na sasa jinsi alivyoisuka.

Anachokosa zaidi ni vipe bajeti yao mashujaa ni ndogo basi lakini huyu alifaa zaidi kuliko yule mpemba na juma bonge wake.

Bares ni technician na game changer zaidi huyu apewe team aijenge.

KWA KIGEZO CHA WACHEZAJI/SELECTION..

Moroco amekuwa akionesha wazi udhaifu wake na uwezo wake mdogo wa kuusoma mchezo

Sub zake ni za hovyo na haeleweki anataka nini, nadhani anategemea zaidi bahati tu kuliko mbinu zake .

Mfano mzuri angalia wenzetu Congo wao kocha wao alituliza pressure dakika ya 1 to 75 hivi.

Then akawaingiza Mayele na Elia, dakika chache tu bang chuma mbili na game ikaishia hapo.

Wakati sisi huku anatolia mudathir anaingia Mao ,then mwaikenda anatoka anaingia Mwamnyeto kwaajili ya kutengeneza back 3..! Mfumo wa kipumbavu kabisa kwa kweli na bado unatafuta goli..


Bares asingeweza kufanya ujinga wa juzi kama ule ..

Its Pancho
Unamuacha Msuva Mpambanaji unamuita Bishoo Samatta,
 
Unamuacha Msuva Mpambanaji unamuita Bishoo Samatta,
Ujue nadhani kwenye range ya wachezaji wenzetu wako mbali sana

Imagine max na kina bocca, baleke huju kwetu wanacheza simba na yanga ni regular starters

Halafu congo kule hawana hata muda nao yaani hawana nafasi kabisa licha ya kukiwasha .

Hao wangekuwa ni watanzania panga pangua wangekuwa wanaaanza national team.

Huku selemani mwalimu violin vyake vitano tu tayari kaitwa national team yaani inashangaza .

Team ya taifa inatakiwa iwe imejiwekea criteria flani kwamba mchezaji mpaka azifikie ndiyo ataitwa .

Binafsi naona ni bora waziri Jr kuliko Yule mwalimu
 
Back
Top Bottom