demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,292
- 15,250
Sioni Benchika akitoboa pale Simba SC.
Jamaa hana mpira mzuri wa kuvutia, Alipokuja Dar ma USM Alger alizidiwa possession na pia second leg tena wakiwa na home advantage wakazidiwa possession na kuchezewa mpira mkubwa sana dhidi ya UTO.
Ana philosophia tofauti sana ya mpira ambayo haito tufaa Simba. Ninaona wazi kabisa kuwa ni mwanya mwingine tena wa UTO kutawala soka la bongo kwa misimu miwili tena.
Sioni kabisa kama wakina Sadio wanaweza kupendelea zaidi kukabia nyuma, sioni kama ataendana na wachezaji wavivu kukaba kama wakina Chama.
Yes, anaweza ku-Click but inabidi kufanyike mfumuko mkubwa sana wa wachezaji na kusajiliwe wachezaji wapya.
Sioni kama Uongozi utakuwa tayari kumpa wachezaji wanao weza kumsaidia.
Ninaona mbele yangu iko sababu ya kukubali changamoto ya utawala wa Uto kwa misimu mingine 2 ili sisi tutumie muda huo kukaa sawa.
Ikumbukwe tunaongoza kwa kufukuza kazi idadi kubwa sana ya walimu.
Letus wait and see!
Jamaa hana mpira mzuri wa kuvutia, Alipokuja Dar ma USM Alger alizidiwa possession na pia second leg tena wakiwa na home advantage wakazidiwa possession na kuchezewa mpira mkubwa sana dhidi ya UTO.
Ana philosophia tofauti sana ya mpira ambayo haito tufaa Simba. Ninaona wazi kabisa kuwa ni mwanya mwingine tena wa UTO kutawala soka la bongo kwa misimu miwili tena.
Sioni kabisa kama wakina Sadio wanaweza kupendelea zaidi kukabia nyuma, sioni kama ataendana na wachezaji wavivu kukaba kama wakina Chama.
Yes, anaweza ku-Click but inabidi kufanyike mfumuko mkubwa sana wa wachezaji na kusajiliwe wachezaji wapya.
Sioni kama Uongozi utakuwa tayari kumpa wachezaji wanao weza kumsaidia.
Ninaona mbele yangu iko sababu ya kukubali changamoto ya utawala wa Uto kwa misimu mingine 2 ili sisi tutumie muda huo kukaa sawa.
Ikumbukwe tunaongoza kwa kufukuza kazi idadi kubwa sana ya walimu.
Letus wait and see!