Abdi Banda: Simba wanaweza kutumia pesa kuwachanganya marefa. Awatahadharisha Kaizer Chief

Abdi Banda: Simba wanaweza kutumia pesa kuwachanganya marefa. Awatahadharisha Kaizer Chief

Wanasimba wenzangu samahani kwa kuujibu huu uzi ni kweli nilitaka niupotezee lakin naomba nielezee sababu kidogo kabla uzi haujajifia wenyewe au kirndelezwa na utopolo....
Mzee tahadhari ni nzuri wakati huu..kumbuka kuwa now w soka limehamia africa kusini..pengine jitihada zote kubwa zinaweza kuchukukiwa Ili kufanikisha malengo yao.

Hao kick off ni blog kubwa ya mechezo africa kusini mzee...nikama unavyoona hapa sokalabongo.com ama salehjembe ama mwanasports so sio wakupuuzwa hata kidogo.
 
Mzee tahadhari ni nzuri wakati huu..kumbuka kuwa now w soka limehamia africa kusini..pengine jitihada zote kubwa zinaweza kuchukukiwa Ili kufanikisha malengo yao...
mpuuze huyo cha kwanza kaniambia mimi siyo mwana simba halafu ananiambia eti nitulize mshono....hii kwa sasa ni mojawapo ya habari inayodiscussiwa sana kwenye pages na blogs za soccer south africa wanaaita team yetu covid 19 team na wanasisitiza banda kachezea simba miaka 3 kwa hiyo anaijua vizuri yaani hata kumtumia barua ya mwanasheria wa simba huyo abdi banda inashindikana?
 
Hii issue siyo ya kujijibu Simba, inatakiwa serikali waijibu kitendo cha kusema serikali inashirikiana na simba kubambika wachezaji Corona ni cha kuichafua nchi hasa wakati huu nchi nyingine zikisitisha kuja ndege zao kwa ajili ya Corona pia kotaleta usumbufu kwa watanzania wanaoenda nje ya nchi kwani vipimo walivyopewa kutoka Tanzania havitaaminika tena.

Tuna balozi Afrika.kusini sijui kazi yake ni nini kwani anakaa kimya wakati nchi inachafuliwa. Huyu banda alipoenda kucheza Africa kusini alijiona.mchezaji mkubwa sana uzuri hata stars walimuacha maana hakuwa na jipya na sasa sidhani hata huko south Africa ana timu alifikiri baada ya Simba kuingia group stage wangemchukua kumbe walimwona boya tu.
 
Unapokuwa safarini kuelekea kwenye ubora wa kimataifa haya ni mambo ya kawaida kwa walimwengu.....kila mtu ana namna tofauti ya kuonesha chuki zake.

Daima mti wenye matunda ndio unaotupiwa mawe.
 
Kama simba watashindwa hata kumshtaki Abdi Banda basi kuna ukweli kwamba hiyo michezo michafu wanaifanya nakuhakikishia simba hat aampige mtu goli 20 robo fainali hayo maneno ya Banda yatakuwa reference tena watasema yamesemwa na mchezaji wao wa zamani aliekaa nao miaka 3...kumbuka El merreikh kutua tu airport kukaa kwenye foleni wakaanza malalamiko ina maanaa wanakuja na attitude hiyo.

Ila MO katuweza kweli yaani huyo mwenyekiti sijui mangungu NI MANGUNGU KWELIKWELI team inachafuliwa brand yamenyamaza kimya tu kama mazezeta..wkati mwingine bora harakati za uongozi wa utopolo fc kujitetea hata kama ni uoongouongo
Mkuu uongozi sio mihemuko isiyo na maana, kuna mambo mengi ya muhimu kuyashughulikia kuliko kuhangaika kujibishana na magazeti.
 
I wish simba ipangwe kati ya hawa wawili, BELOUIZDAD AU MC ALGER. Na ndio mwisho wa ke simba.. huyo kaizer hamna kitu mtajifungia magoli mingi
 
mpuuze huyo cha kwanza kaniambia mimi siyo mwana simba halafu ananiambia eti nitulize mshono....hii kwa sasa ni mojawapo ya habari inayodiscussiwa sana kwenye pages na blogs za soccer south africa wanaaita team yetu covid 19 team na wanasisitiza banda kachezea simba miaka 3 kwa hiyo anaijua vizuri yaani hata kumtumia barua ya mwanasheria wa simba huyo abdi banda inashindikana?
Wakimtumia barua itasaidia nn?!!kwanza uyo Banda amecheza Simbasc kipindi kipi?!kama sikosei hajawahi kuchezea Simbasc kwenye michuano yoyote ya champion!!

Michezo yote ya Simba kwenye groups stages tumeishuudia,timu imepata matokeo mechi zote kasoro mechi moja ya ugenini uko Misri!!
Kwaio hata uko ugenini DRC na Sudan ilishirikiana na serikali za nchi hizo kupata matokeo?!! Kuna vitu vya kujadili na sio huo upuuzi!!uyo Banda anajulikana ni mdigo limbukeni,sasa unataka MO hamjibu Banda!!kweli?!!tuwe serious basi samtime!! Unataka msemaji wa serikali hamjibu mtu kama Banda kweli?!!! Jaribu kuwa serious muda mwingine.
Simbasc umeshatoka uko!hao wanapagawa tu,na ukumbuke mdau mmoja wa mpira kutoka uko south aliwahi kusema kuwa timu za South zinaomba zisikutane na timu ya Simbasc kwenye michuano yeyote.hao wamepagawa tu hawana lolote wanatafuta mbinu za propaganda nje ya uwanja,wasubiri tukipangwa nao tuwagonge tu,ndio majibu tunayoweza kuwapa,ni kipigo tu ili wakawasimulie wazulu wenzao!!
 
We ndo wa kupuuzwa na uchawi wenu fala sana we mwamba unataka kutuvuruga kama nyie utopolo mmechoka kuvurugana sisi mtuache
mpuuze huyo cha kwanza kaniambia mimi siyo mwana simba halafu ananiambia eti nitulize mshono....hii kwa sasa ni mojawapo ya habari inayodiscussiwa sana kwenye pages na blogs za soccer south africa wanaaita team yetu covid 19 team na wanasisitiza banda kachezea simba miaka 3 kwa hiyo anaijua vizuri yaani hata kumtumia barua ya mwanasheria wa simba huyo abdi banda inashindikana?
 
Jifunze kutomjibu kila mtu, Banda si kama Chikumbalanga tu. Tunasubiri hao Viongozi wa Kaizer wazungumze ndo tule nao sahan moja, ndo watasema km reference yao ni Abdi na tutaruka nao juu juu.
Yeah, si kila kitu au kila mtu anatakiwa ajibiwe, wengine ni wa kuwapuuzia tu
 
Back
Top Bottom