Kuna vitu viwili vitatu vinahitaji kusahihishwa hapa iliyokuwa saloon ya Caro ni ofisi ya Rupia sasa na sio pharmacy,hamna sister wa Caro aliyeolewa na Rupia's,Anna alikuwa live-in girlfriend wa Peter kabla ya kumuoa Sir George Kahama's daughter,Deo sio part-owner wa Falcon ana lay-low pale,alitajirika kwenye deal ya mafuta ya transit kuuzwa hapa iliyomuhusu pia Mahita na mwanae General Marwa.Caro kaolewa tena anaishi nje ya London.Aliye wa-putdown watu wa nyanda za juu kusini guess what Abdi was from Mbeya.Ukiona mtu yeyote anayekamatwa na magendo,ujambazi au drugs ujue ni freelancer, hapa Bongo ukitaka kufanikiwa na chochote ilegal wahusishe wakubwa.