Abdoulquarim Malisa: Sijui nilitaka Kusema Nini (Kama Umesoma Cuba)

Abdoulquarim Malisa: Sijui nilitaka Kusema Nini (Kama Umesoma Cuba)

Kurunzi

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2009
Posts
9,753
Reaction score
10,747
Nakumbuka;

Nikiwa mdogo mdogo hivi kuna "BIBI" mmoja alifariki pale kijijini, yule bibi alikuwa anasadikika ni mshirikina "mchawi".

Wakati ulipowadia wa kukaribia kufariki, yaani anakaribia kukata roho, alikuwa akiweweseka sana, wale ndugu zake waliokuwa wakimuuguza walimsikia akiongea maneno kwa lugha ambayo hawakuijua. Siku tatu alikuwa akiongea lugha ya ajabu ajabu, baada ya hapo akaanza kuwataja watu mbalimbali ambao walishafariki.

Huku akitokwa jasho jingi sana, alilia kwa maumivu makali sana akidai watu hao ambao walishafariki wanamuandama, wanamchoma moto. Alikuwa akilia kwa uchungu sana, aliomba asamehewe na kwa madai kwamba hakufanya yeye, hakuwaua yeye.

Kilio na malalamiko yale yale yaliwatokea na wazee wengine ambao walikuwa ni wachawi, kabla ya kukata roho walilia sana na kulalamika sana na muda mwingine kukana kuwaua watu.

Nimekulia unyaturuni, hii hali kwa kinyaturu sijajua huwa inaitwaje lakini naamini wapo wanayoijua vizuri, lakini kuwataja watu wanasema "ODONA" .

Sijui nilitaka kusema nini asubuhi yote hii.

Abdoulquarim Malisa
 
Nakumbuka;

Nikiwa mdogo mdogo hivi kuna "BIBI" mmoja alifariki pale kijijini, yule bibi alikuwa anasadikika ni mshirikina "mchawi"...
Kilio na malalamiko yale yale yaliwatokea na wazee wengine ambao walikuwa ni wachawi, kabla ya kukata roho walilia sana na kulalamika sana na muda mwingine kuka...📌🔨
 
Nakumbuka;

Nikiwa mdogo mdogo hivi kuna "BIBI" mmoja alifariki pale kijijini, yule bibi alikuwa anasadikika ni mshirikina "mchawi".

Wakati ulipowadia wa kukaribia kufariki, yaani anakaribia kukata roho, alikuwa akiweweseka sana, wale ndugu zake waliokuwa wakimuuguza walimsikia akiongea maneno kwa lugha ambayo hawakuijua. Siku tatu alikuwa akiongea lugha ya ajabu ajabu, baada ya hapo akaanza kuwataja watu mbalimbali ambao walishafariki.

Huku akitokwa jasho jingi sana, alilia kwa maumivu makali sana akidai watu hao ambao walishafariki wanamuandama, wanamchoma moto. Alikuwa akilia kwa uchungu sana, aliomba asamehewe na kwa madai kwamba hakufanya yeye, hakuwaua yeye.

Kilio na malalamiko yale yale yaliwatokea na wazee wengine ambao walikuwa ni wachawi, kabla ya kukata roho walilia sana na kulalamika sana na muda mwingine kukana kuwaua watu.

Nimekulia unyaturuni, hii hali kwa kinyaturu sijajua huwa inaitwaje lakini naamini wapo wanayoijua vizuri, lakini kuwataja watu wanasema "ODONA" .

Sijui nilitaka kusema nini asubuhi yote hii................

Abdoulquarim Malisa
According to Quran, hiyo ndio Huwa,
Allah (s.w) amesema watu waovu roho zao zina tolewa kwa nguvu na uchungu mno, ilhali watu wema roho zao zina tolewa kwa upole na unyenyekevu, pia wakati wa kukata roho unaoneshwa (Amar) matendo yako, na ndio maana wengine wakifa Huwa wana tabasamu, pia kuhusu MOTO hii ni shuguli nyingine maanau Allah (s.w) ka uandaa kwa ajili ya waovu ma elfu ya miaka una rangi spesho sii hii nyekundu, mithili ya gesi ila si gesi, na ndio maana Allah (s.w) ka kataza badhii ya adhabu binaadamu kumpa binaadamu mwenzie nayo ni moto (kumchoma mtu moto), kwani adhabu hiyo yeye ndiye mwenye haki ya kuitoa, kwa hyo bibi kama aliuona moto wakati wa kufa basi huo ni mtihani
 
Back
Top Bottom