Abdul Juma/Baba Diamond: "naumia baada ya familia kunikataa"'

Abdul Juma/Baba Diamond: "naumia baada ya familia kunikataa"'

Aibu kwa mama Dangote. Ina maana mzee alikuwa anapiga mbususu yenye akiwa na mimba changa ya mtu mwingine? Hii ni laana kubwa kwake.

Hata mfumo wake wa kimaisha nahisi ni wa kustruggle sana na huenda hafurahii maisha mazuri tunayohisi aliyonayo.

Makabila mengine ukichanganya mimba na umalaya hakika hautozaa mpaka uombe msamaha na ukili kuwa ulichepuka ndiyo unajifungua sasa la sivyo unakufa na mimba yako
 
Kwa hizo sentence mbili humo kwenye bold naweza kukuelewa umri wako na ufahamu wako ulipoishia.

Huwezi kufananisha binadamu (diamond) na sisimizi,even hao sisimizi wanasaidiana ni vile tu hatuielewi lugha yao sembuse huyo diamond binadamu aliyepewa utashi wa kujua nani mwenye shida nani aliyeshiba?anatoa zawadi za magari kwa watu wasio damu yake wanaomsifia wakati mwengine sifa ambazo hana ila anashindwa kumfanya baba yake kuwa mtu wa mwisho kwa anaowasaidia?wewe kwa uelewa wako unadhani kukosa kwake kupewa pensel,kitunguu tembele sijui unga ndo kutamfanya huyo mzee asiwe baba yake?

Kama siyo mzee Abdul kuuloweka kavu uume wake kwa mama yake leo angekuwa ananunua ndege?leo angekuwa anachukua wanawake wazuri?(japo wanamwibia),starehe anazofanya leo angezipata?kama anaamini Mungu yupo na adhabu zipo basi hata afanye msaada wa aina gani kwa jamii kama kweli huyo mzee amemtoa kwenye kiuno chake huyo bwana mdogo hatakuwa na mwisho mzuri kama hakufanya yaliyoamrishwa na Mungu.
Na wewe unatetea nadhani ndo zako hizii tabia.jiandae uzeeni.maana unatoka na povu na unasahau kuwa ukichimba njia wenzio wanaifata
 
Back
Top Bottom