sosoliso
JF-Expert Member
- May 6, 2009
- 8,540
- 9,473
Bila shaka utakuwa ni mmoja wa viongozi wa vyama vya michezo wanaosakamwa kila week na kina Kipenga na wenzake.
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Mkuu ukimuondoa mzee Lwambo na Aziz waliobakia kwenye kipindi kile ni wasanii kupitiliza.. Kipenga ndo ovyo kabisa.. ukimkuta katulizwa na hao anaowasema hutoamini...