Bila shaka utakuwa ni mmoja wa viongozi wa vyama vya michezo wanaosakamwa kila week na kina Kipenga na wenzake.
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Hawa wapuuzi muwe mnaulizana huko kwenye inbox zenu.
Sio mnakuja kujaza thread tu humu.
Mkuu ukimuondoa mzee Lwambo na Aziz waliobakia kwenye kipindi kile ni wasanii kupitiliza.. Kipenga ndo ovyo kabisa.. ukimkuta katulizwa na hao anaowasema hutoamini...
Wadau, nampenda sana huyu jamaa Abdul Kipenga ambaye huwa anashiriki kwenye Sports kizaazaa ya ITV. Anaongea kwa kujiamini na anatoa points za maana sana kuhusu michezo. Mwenye taarifa zake anijuze,inaonekana anajua vitu vingi sana kuhusu michezo. Ni kiongozi wa chama chochote cha michezo au ndo wale wanaoshinda kwenye vibaraza vya kahawa mjini?
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Hata kama imechuja, jamaa ni old player flan ambae hakuwa na mafanikio yale ya kisupastaa enzi hizo, ila kwa timu kubwa kacheza pan africa then sigara, kiukweli jamaa alikua alikua kwny zile TFF za wilaya am not sure kama ni kinondoni au temeke, jingine ana bifu la wazi na sunday kayuni, nakanusha jamaa hana hoja nzito kama ulivyompamba ila ye sio mnafiki kwenye kutoboa uozo wa TFF ya Tenga, kuna tetesi alinyimwa kajicheo flani ingawa sio rasmi,
sasa nije kwako mdau sumu wakati mwingne uwe unapima threads za kutupia humu jukwaani na jaribu kuepuka za kimbea kama hii uliyotupia, pia kwa mtu hopeles kama yule ambae sio national figa wala famous kivyovyote sio ishu.
ni mtazamo tu na "kamwe siwezi kua adui kwa kusema ukweli".
kun faya kun = acha moto uwake.
Stevelwa vs Sumu
Kama kawa. Sumu itakuwa imeshamwingia na sidhani kama aliweza kuwahi maziwa kwasababu kwa takwimu zilizofanywa zimeonyesha waTanzania wengi hatuna uwezo wa kunywa maziwa.
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
SIFA ZA KIJINGA MKUU SUMU, jaribu kukumbuka mwaka 1991 mzee bush alimpotezea Saddam, watu wa dizaini yako walifikiri Bush kashindwa au kaogopa ila tyming na pia vile wasukuma walivyosema "dont argue with a fool coz pple......"
nami humu ndani si wa leo, ila this tym nimekuja kivingne, ntaku P.M afu nikuoneshe kuwa ni kitambo sana nipo jukwaan.
ila napenda amani, na siku zote elewa kuwa ni ngumu kumuuua au kumtegea SIMBA SUMU acha uzoefu wa kuwinda panya mkuu, utachekwa. afu jukwaani utatengwa!
"KAMWE NAAMINI SIWEZI KUWA ADUI KWA KUSEMA UKWELI, ILA LILILO KUBWA NENO LANGU SIO SHERIA"