Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 19,976
- 32,195
Kitendo cha kuinuka na mabilion ya pesa kumpelekea mtu kwa Dunia hii leo iliyojaa uchu, tamaa, ufisadi, ujambazi, laana plus njaa ya kila namna na shida na mahangaiko ya kila namna na akazikataa lazima uogope sana.
Watu wanauza mpaka bandari za nchi ili wapate pesa, lakini kwa Tundu Lissu haikuwa hivyo, alizikataa pesa za rushwa na ufisadi kutoka kwa Abdul
Watu wanaua mpaka ndugu zao lakini kwa Tundu Lissu haikuwa hivyo , alizikataa pesa za rushwa kutoka kwa Abdul
Watu wanauza mpaka vinyeo lakini kwa Tundu Lissu haikuwa hivyo alizikataa pesa za rushwa kutoka kwa Abdul
Watu wanauza mpaka mbuga za wanyama lakini kwa Tundu Lissu haikuwa hivyo alizikataa pesa za rushwa kutoka kwa Abdul
Watu wanaua mpaka watoto wao lakin Kwa Tundu Lissu haikuwa hivyo alizikataa pesa za rushwa kutoka kwa Abdul
Watu wanawanafanya watoto wao wa kike kwa wa kiume mandondocha lakini kwa Tundu Lissu haikuwa hivyo alizikataa pesa za rushwa kutoka kwa Abdul
Mtu kama huyu lazima umuogope sana tena ukisikia tu jina lake lazima upandishe kisukari
Ndo maana chama cha kijani kinatumia nguvu kubwa sana kuhakikisha Tundu Lissu hawi mwenyekiti CHADEMA
Aman kwenu
Watu wanauza mpaka bandari za nchi ili wapate pesa, lakini kwa Tundu Lissu haikuwa hivyo, alizikataa pesa za rushwa na ufisadi kutoka kwa Abdul
Watu wanaua mpaka ndugu zao lakini kwa Tundu Lissu haikuwa hivyo , alizikataa pesa za rushwa kutoka kwa Abdul
Watu wanauza mpaka vinyeo lakini kwa Tundu Lissu haikuwa hivyo alizikataa pesa za rushwa kutoka kwa Abdul
Watu wanauza mpaka mbuga za wanyama lakini kwa Tundu Lissu haikuwa hivyo alizikataa pesa za rushwa kutoka kwa Abdul
Watu wanaua mpaka watoto wao lakin Kwa Tundu Lissu haikuwa hivyo alizikataa pesa za rushwa kutoka kwa Abdul
Watu wanawanafanya watoto wao wa kike kwa wa kiume mandondocha lakini kwa Tundu Lissu haikuwa hivyo alizikataa pesa za rushwa kutoka kwa Abdul
Mtu kama huyu lazima umuogope sana tena ukisikia tu jina lake lazima upandishe kisukari
Ndo maana chama cha kijani kinatumia nguvu kubwa sana kuhakikisha Tundu Lissu hawi mwenyekiti CHADEMA
Aman kwenu