Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana ACT Wazalendo, Abdul Nondo akiongea na wanahabari leo, amesema kuwa baada ya kutekwa na kuteswa na baadaye kutelekezwa Coco beach wilaya ya Kinondoni, alipewa masharti kadhaa ambayo aliambiwa kama hatayatimiza basi atauawa.
Walioniteka awalikuwa wakiniambia mimi nina mdomo, na waliponiacha Coco beach walinipa masharti ya kwamba
1. Tukikuacha usieleze chochote kuhusu kutekwa kwako, nikitoka pale niende nikae kimya.
2. Nisiongee na vyombo vya habari
3. Nisiendelee na mdomo wangu wa kuongea ongea na kuandika andika mtandaoni
4. Nikitoka pale wanaponiacha, basi moja kwa moja niende nyumbani kabisa nikapumzike ili nikiamka asubuhi taarifa zivume kuwa Nondo kapatikana akiwa kwake amelala ili vyombo vya mamlaka vipate kusema tukio hili limetengenezwa ni uongo kwamba mtu unawezaje kutekwa halafu ukaenda nyumbani kulala.
Masharti yote hayo waliyonipa nimeyavunja, sijatii hata sharti moja.
Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana ACT Wazalendo, Abdul Nondo akiongea na wanahabari leo, amesema kuwa baada ya kutekwa na kuteswa na baadaye kutelekezwa Coco beach wilaya ya Kinondoni, alipewa masharti kadhaa ambayo aliambiwa kama hatayatimiza basi atauawa.
Walioniteka awalikuwa wakiniambia mimi nina mdomo, na waliponiacha Coco beach walinipa masharti ya kwamba tukikuacha usieleze chochote kuhusu kutekwa kwako, nikitoka pale niende nikae kimya. Nisiongee na vyombo vya habari, nisiendelee na mdomo wangu wa kuongea ongea na kuandika andika mtandaoni, na nikitoka pale wanaponiacha, basi moja kwa moja niende nyumbani kabisa nikapumzike ili nikiamka asubuhi taarifa zivume kuwa Nondo kapatikana akiwa kwake amelala ili vyombo vya mamlaka vipate kusema tukio hili limetengenezwa ni uongo kwamba mtu unawezaje kutekwa halafu ukaenda nyumbani kulala.
Masharti yote hayo waliyonipa nimeyavunja, sijatii hata sharti moja.
Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana ACT Wazalendo, Abdul Nondo akiongea na wanahabari leo, amesema kuwa baada ya kutekwa na kuteswa na baadaye kutelekezwa Coco beach wilaya ya Kinondoni, alipewa masharti kadhaa ambayo aliambiwa kama hatayatimiza basi atauawa.
Walioniteka awalikuwa wakiniambia mimi nina mdomo, na waliponiacha Coco beach walinipa masharti ya kwamba
1. Tukikuacha usieleze chochote kuhusu kutekwa kwako, nikitoka pale niende nikae kimya.
2. Nisiongee na vyombo vya habari
3. Nisiendelee na mdomo wangu wa kuongea ongea na kuandika andika mtandaoni
4. Nikitoka pale wanaponiacha, basi moja kwa moja niende nyumbani kabisa nikapumzike ili nikiamka asubuhi taarifa zivume kuwa Nondo kapatikana akiwa kwake amelala ili vyombo vya mamlaka vipate kusema tukio hili limetengenezwa ni uongo kwamba mtu unawezaje kutekwa halafu ukaenda nyumbani kulala.
Masharti yote hayo waliyonipa nimeyavunja, sijatii hata sharti moja.
Huu utawala wa mama umekuwa wa kijinga na kishamba sana.Yaani mtu akiongea ukweli wanawatuma askari wao wawaue watanzania wanaoyasema maovu Yao.Halafu Kuna wajinga na wapumbavu wanasema eti 2025 agombee Tena!Hatutakubali huu ujinga
Hii ni clue muhimu sana kwa wenzetu wanaotekwa na kisha kupatikana kwa sangoma, michepuko, hotelini na hata wanaokaa kimya kana kwamba hakuna lililotokea (kwa mfano Mo) kumbe wanatii maagizo bila shuruti.
Big up kwa ujasiri wako Mr. Nondo, hakuna kuogopa.
Afadhali yeye Nondo karudi kuja kuhadithia, akina Deusdith Soka na wenzake na yule dogo aliyechoma picha ya Malikia wale imeonekana wauawe.☹️
Ninachokiona hapa ni kwamba hukumu ya kifo nje ya mahakama inawalenga zaidi wana CHADEMA kuliko vyama vingine halafu Mbowe anataka siasa za kistaarabu.