Abdul Nondo: Nilikatazwa nisizungumze lakini siwezi kuwatii Watekaji

Suley2019

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2019
Posts
2,203
Reaction score
5,610
Wakuu,

Leo kupitia Crown Media Abdul Nondo amefunguka kuhusu sakata lake la Utekaji.

Amesema hawezi kuwatii Watekaji ambao walimwambia akizungumza Watamuua. Amesema kuwa Hata kama watamteka tena basi Wacha maandiko yatimie lakini hawezi kuacha kuzungumza.

Msikilize mwenyewe hapo chini:

Your browser is not able to display this video.



Your browser is not able to display this video.

PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - ACT waongea baada ya Nondo kupatikana, wasema alipigwa sana na alikuwa kwenye kitisho cha kifo
 
Kuna vitu vipo damuni yaani,.....jamaa ni mpambanaji toka akiwa mtoto,hawezi acha asili yake
 
Bora nimsikilize hata Nondo ana point kuliko Ndugu Kabendera Gwiji wa uongo na propaganda za kindezi..Mofo!
 
muhimu zaidi ni kujiepusha na kumendea wake za watu. hilo ni la maana zaidi 🐒
 
Magu ndiye alianzisha vikisi hivyo na ukila nyama ya mtu Huwezi kuacha, Nyerere aliwahi kusema.

Nyani Ngabu hujali yaliyompata Bensaanane zaidi ya kulinda ukabila.
Magufuli ndo aliyemteka Steven Ulimboka?

Magufuli ndo aliyemuua Prof. Jwani Mwaikusa?
 
Nondo fuata nyayo za Kabendera ambaye ametuandikia za ndani kabisa za jiwe. Mfano ni ile ya jiwe kubanwa na upwiru mpk akaamua kuinyatia k ya makamu wake manane ya usiku akiwa kavaa pajama. Ahaa! Kabendera!! Shikamoo.

Tunyetishe yaliyojiri huko kwenye utekaji.
 
Maajabu ya Tanzania.

Rais Magufuli anateka watu toka kaburini!

Mkuu kutekwa kwa nondo kumekupa ahueni kuonyesha kuwa siyo Magufuli aliyefanya?.

It seems You care a lot about Magufuli's image, you don't care about the sufferings of the abduction/killings victims.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…