Abdulkarim Hajj, Mwinyi Mcheni Omari na Julius Nyerere

Abdulkarim Hajj, Mwinyi Mcheni Omari na Julius Nyerere

Mohamed Said

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2008
Posts
21,967
Reaction score
32,074
ABDULKARIM HAJJ MUSSA, MWINYI MCHENI OMARI NA JULIUS NYERERE KATIKA KUIJENGA TANU KILWA

Abdulkarim Hajj Mussa Jamadar akifahamiana vyema na Julius Nyerere.

Abdulkarim Hajj Mussa Jamadar na Mwinyi Mcheni Omar ni kati ya ya watu waliomuunga mkono Nyerere na kasaidia sana katika kuiingiza TANU Kilwa Mtoni.

Abdulkarim akimpakiza Mwalimu kwenye pikipiki yake BSA 500 wakienda kote sehemu za Kilwa kuhamasisha watu kujiunga na TANU kudai uhuru wa Tanganyika.

Katika harakati hizi Nyerere alikuwa akifikia na kulala nyumbani kwa Mwinyi Mcheni Omari na mikutano yote ya ndani ya TANU ikifanyika katika nyumba hiyo.

Taifa lina deni kubwa sana kwa wazalendo hawa.

Hapo chini ni picha ya pikipiki aliyokuwa akipada Baba wa Taifa na nyumba almbayo alikuwa akifikia na kulala pamoja na kufanya mikutano ya ndani.

(Picha zote kwa hisani ya marehemu Abdulkarim Shah maarufu kwa jina la Bulji mjukuu wa Abdulkarim Hajj Mussa).

Screenshot_20211116-121955_Facebook.jpg
 
ABDULKARIM HAJJ MUSSA, MWINYI MCHENI OMARI NA JULIUS NYERERE KATIKA KUIJENGA TANU KILWA

Abdulkarim Hajj Mussa Jamadar akifahamiana vyema na Julius Nyerere.

Abdulkarim Hajj Mussa Jamadar na Mwinyi Mcheni Omar ni kati ya ya watu waliomuunga mkono Nyerere na kasaidia sana katika kuiingiza TANU Kilwa Mtoni.

Abdulkarim akimpakiza Mwalimu kwenye pikipiki yake BSA 500 wakienda kote sehemu za Kilwa kuhamasisha watu kujiunga na TANU kudai uhuru wa Tanganyika.

Katika harakati hizi Nyerere alikuwa akifikia na kulala nyumbani kwa Mwinyi Mcheni Omari na mikutano yote ya ndani ya TANU ikifanyika katika nyumba hiyo.

Taifa lina deni kubwa sana kwa wazalendo hawa.

Hapo chini ni picha ya pikipiki aliyokuwa akipada Baba wa Taifa na nyumba almbayo alikuwa akifikia na kulala pamoja na kufanya mikutano ya ndani.

(Picha zote kwa hisani ya marehemu Abdulkarim Shah maarufu kwa jina la Bulji mjukuu wa Abdulkarim Hajj Mussa).

View attachment 2012671
Da! Mzee mohamed! Mungu akupe umri mrefu ili uendele kushusha nondo. Nina swali dogo kuhusu kitabu cha maisha na nyakati za abdul saiks. Je, huwezi ukafanya taratibu kikachapwa kwa maandishi ya wasioona? Maana kinasisimua na ingependeza kama wasioona tungekipata na kukisoma wenyewe kuliko kusimuliwa tuu na watu. Asant
 
Da! Mzee mohamed! Mungu akupe umri mrefu ili uendele kushusha nondo. Nina swali dogo kuhusu kitabu cha maisha na nyakati za abdul saiks. Je, huwezi ukafanya taratibu kikachapwa kwa maandishi ya wasioona? Maana kinasisimua na ingependeza kama wasioona tungekipata na kukisoma wenyewe kuliko kusimuliwa tuu na watu. Asant
Mbawa...
Amin ndugu yangu.

Unaweza kunifahamisha vipi naweza kumpata mchapaji wa kazi hii?
 
Da! Mzee mohamed! Mungu akupe umri mrefu ili uendele kushusha nondo. Nina swali dogo kuhusu kitabu cha maisha na nyakati za abdul saiks. Je, huwezi ukafanya taratibu kikachapwa kwa maandishi ya wasioona? Maana kinasisimua na ingependeza kama wasioona tungekipata na kukisoma wenyewe kuliko kusimuliwa tuu na watu. Asant
Wachapaji wazuri wapo tie kuna kuwanda cha kuchapia vitabu vya wasioona.
 
Back
Top Bottom