TANZIA Abdulkarim Shah, umekuja Saigon Sports Club umechelewa na umeondoka kwa haraka

JK,
Alhamdulilah.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mashaallah
Haya ni maneno yenye busara kwa mtu mwenye akili.
Mzee wangu Mohamed Said Allah akuzidishie kheri na barka wewe pamoja na familia yako.
Hakika nnavutiwa sana na majibu yako ya upole yaliyojaa busara na hekima,
Watu waliojaa chuki ndani ya mioyo yao wanakuuliza kwa kebehi, dhihaka na dharau, ila mashaallah majibu yako ya upole yalijaa hekima na busara yanazilainisha kidogo nyoyo zao zilizo kakamaa kwa chuki na husda zilizo jificha ndani ya vifua vyao.
Allah azidi kukuweka mzee wetu Ili na sisi wajukuu zako tupate kustafidi kwa ilmu tuipatayo kupitia kwenye makala zako.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…