Abdullah Ally Hassan Mwinyi akila kiapo Bungeni Dodoma

Abdullah Ally Hassan Mwinyi akila kiapo Bungeni Dodoma

Hatari Kuna familia zimependelewa sana,
Hii inanikumbusha George bush baba,Raisi,akaja George bush mtoto akawa Raisi,baadae akaja Jeb bush kuutaka uraisi
 
Mtoto wa mchingaji liz yake ninuchungaji ila watoto wa Nyerere wamepewankz maalum ya kufuga Peacok
toka nijiunge jf hii ndio comment imenichekesha mno mno mno kuliko zote.
 
Safari ijayo mnaletwa Mwinyi huko bara awe rais wenu Tanzania.
Ngedere wa kijani wako serious kupeana vyeo kama njugu.
Hili huwa naliota Mara kwa Mara mwinyi prez zenji now atakuja huku maana naona yupo good pia
 
Back
Top Bottom