figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
Lakini moja ambalo lazima tukiri lilisaidia kukwamisha jambo hili (mchakato wa katiba), ni kwa kila chama kung'ang'ania maslahi yake. Nadhani huo ndiyo ukweli lazima tuseme - Makamu Mwenyekiti CCM Bara, Abdulrahman Kinana.
Watu wanakuja na mapendekezo, chama kimoja kinasema ndiyo, kimoja hapana. Wakati mwingine unaangalia zaidi mambo yanayohusiana na namna gani utakuwa madarakani kuliko namna gani wananchi wanafaiduka. Matokeo yake mnabaki kubishana- Makamu Mwenyekiti CCM Bara, Abdulrahman Kinana.
Watu wanakuja na mapendekezo, chama kimoja kinasema ndiyo, kimoja hapana. Wakati mwingine unaangalia zaidi mambo yanayohusiana na namna gani utakuwa madarakani kuliko namna gani wananchi wanafaiduka. Matokeo yake mnabaki kubishana- Makamu Mwenyekiti CCM Bara, Abdulrahman Kinana.