YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,902
- 52,001
Upinzani unataka tume huru itakayoshirikisha wajumbe wa vyama vyote hapa ni kutafuta tu vyeo ' posho na maruprupu ili viongozi wa vyama wapate vyeo na marupurupu tu kwa nini hawasemi tume huru viongozi wake wasiwe na vyama ?Kwani katiba ni ya vyama vya siasa au Ya Wananchi?
Kwa nini wapiganie viongozi wa vyama vyote washirikishwe ikiwemo tume ya uchaguzi wakati asilimia kubwa ya wapiga kura hawana vyama? Kinana yuko sahihi