Upinzani unataka tume huru itakayoshirikisha wajumbe wa vyama vyote hapa ni kutafuta tu vyeo ' posho na maruprupu ili viongozi wa vyama wapate vyeo na marupurupu tu kwa nini hawasemi tume huru viongozi wake wasiwe na vyama ?Kwani katiba ni ya vyama vya siasa au Ya Wananchi?
Wananchi walio wengi Tanzania sio wanachama wa chama chochoteKuwe na kura ya referendum wananchi wachague maslahi ya chama wanacho kiunga mkono.
TutaonaMuda ukifika itawahusu tu.
Hivi wewe peke yako wajipaje wingi? Uwananchi?bado haituhusu sisi wananchi- na msituingize kwenye mambo yenu hayo
Kuchagua sera bora za chama hakuhusiani na kuwa mwanachama wa chama chochote.Wananchi walio wengi Tanzania sio wanachama wa chama chochote
tupo- nyie na vyama vyenu hivi m wachache mnazidiwa na wanachama wa yanga na simba- wananchi tupoHivi wewe peke yako wajipaje wingi? Uwananchi?
CHADEMA haiwezi kushinda uchaguzi hata ukiwa huru kwa sasa.Kuwe na kura ya referendum wananchi wachague maslahi ya chama wanacho kiunga mkono.
Uko sahihi vyama vya upinzani sera hawanaKuchagua sera bora za chama hakuhusiani na kuwa mwanachama wa chama chochote.
Nikikumbuka uchafuzi wa mwaka jana, Bora tu hiyo katiba iendelee mpk hapo tutakapokuwa huru kuchagua kuliko kupiga kura afu watu wafanye Yao alafu kuja kupata tena katiba nyingine ni miaka 40 ijayo coz lazma uhuni utafanyika tuKuwe na kura ya referendum wananchi wachague maslahi ya chama wanacho kiunga mkono.
Mapendekezo ya tume ya Warioba, yalikuwa ni maoni ya wanamchi na yalikuwa na baraka za vyama na wadau wote except sisiem. Tuache kupindisha mambo, mchakato wa katiba mpya ulikwamishwa na sisiem, period.Lakini moja ambalo lazima tukiri lilisaidia kukwamisha jambo hili (mchakato wa katiba), ni kwa kila chama kung'ang'ania maslahi yake. Nadhani huo ndiyo ukweli lazima tuseme - Makamu Mwenyekiti CCM Bara, Abdulrahman Kinana.
Watu wanakuja na mapendekezo, chama kimoja kinasema ndiyo, kimoja hapana. Wakati mwingine unaangalia zaidi mambo yanayohusiana na namna gani utakuwa madarakani kuliko namna gani wananchi wanafaiduka. Matokeo yake mnabaki kubishana- Makamu Mwenyekiti CCM Bara, Abdulrahman Kinana.
View attachment 2176762
Duuh...! Ccm hawawezi kukubali hilo. Ksbb wanajijua wapo hapo kwa nguvu ya dolaKuwe na kura ya referendum wananchi wachague maslahi ya chama wanacho kiunga mkono.
wananchi wapi- yaani Kigoma na Pemba kuna wanaNchi wengi kuliko jiji la Dar es Salaam? Au Kigoma na Pemba kuna watu wenye uelewa mkubwa kuliko watu walioko Dar? Mapendekezo ya tume ya Jaji Warioba yalikuwa RUBBISH kama ripoti ya Tume ya madini, makenikia , mto mara na MV Bukoba-Mapendekezo ya tume ya Warioba, yalikuwa ni maoni ya wanamchi na yalikuwa na baraka za vyama na wadau wote except sisiem. Tuache kupindisha mambo, mchakato wa katiba mpya ulikwamishwa na sisiem, period.
Good point kwa kweliLakini moja ambalo lazima tukiri lilisaidia kukwamisha jambo hili (mchakato wa katiba), ni kwa kila chama kung'ang'ania maslahi yake. Nadhani huo ndiyo ukweli lazima tuseme - Makamu Mwenyekiti CCM Bara, Abdulrahman Kinana.
Watu wanakuja na mapendekezo, chama kimoja kinasema ndiyo, kimoja hapana. Wakati mwingine unaangalia zaidi mambo yanayohusiana na namna gani utakuwa madarakani kuliko namna gani wananchi wanafaiduka. Matokeo yake mnabaki kubishana- Makamu Mwenyekiti CCM Bara, Abdulrahman Kinana.
View attachment 2176762
Wewe utakuwa na minyoo mkuuwananchi wapi- yaani Kigoma na Pemba kuna wanaNchi wengi kuliko jiji la Dar es Salaam? Au Kigoma na Pemba kuna watu wenye uelewa mkubwa kuliko watu walioko Dar? Mapendekezo ya tume ya Jaji Warioba yalikuwa RUBBISH kama ripoti ya Tume ya madini, makenikia , mto mara na MV Bukoba-
UmemalizaWewe utakuwa na minyoo mkuu