Abdulrahman Musa mfungaji bora wa VPL asema Mayanga ni muongo

Abdulrahman Musa mfungaji bora wa VPL asema Mayanga ni muongo

Simba Stars na Akili mbovu za Mashabiki wa Yanga.....
1:Kakolanya....Huyu aliitwa ila amekuwa majeruhi na pia asingeweza kuchukua namba mbele ya Manula.
2:Juma Abduli....ni mzuri ila uwezo wake kwa sasa umeshuka sana huwezi kumlinganisha na kapombe....
3:Hajji mwinyi....Yanga wenyewe hawamwamini ndio maana wanataka kumsajili Gadiely michael sasa kama nyie Yanga hamumuamini kijana wenu mnataka mayanja amwamini...?
4:Yondani....Jamaa ameshuka kiwango huwezi kumuacha Nurdin chona....Salum Mbonde na Erasto nyoni kwa ajili ya Yondani
5:Canavaro....Amestafu timu ya Taifa angekuepo nadhani hata mimi ningegundua matatzo ya mayanja.
6:Makapu....Kama ameachwa mkude Ndemla kaitwa juzi na hajatumiwa mnataka Makapu aitwe wakati kiungo bora wa chini ambaye ni mkude kaachwa....akili zenu mbovu
7:Mwashiuya....Unaanzaje kumuita mchezaji anayesugua benchi ukamuacha mtu kama Kichuya...?
8:Emmanuely martini....Yanga anasugua Benchi timu ya nani ya Taifa inayowaita wasugua Benchi..?
9:Kaseke....huyu kijana ni mchezaji mzuru sana lkn amemuharibu Lwandamila kwa kumsugilisha Benchi
10:Matheo Antony....Yanga wenyewe mnajua kuwa huyu ni Garasa
11😛ato Ngonyani.....Yanga wenyewe mnamtema je mnataka Mayanga amuite timu ya Taifa amuache mzamiru Yassin
12:Ibrahimu Ajibu....Ameachwa akiwa bado yupo Simba
.....Hv nyie vyura Mkude....Ndemla na Mo Ibrahimu wangekuwa wachezaji wenu alafu waachwe c Mungemuua Kocha nyie.....
Mnataka tuwaite Chirwa...Ngoma...Bosou...Tambwe na Twite..?
Acheni fikra mgando nyie Gongowazi.
Kwa hiyo ni sawa foward tunamtegemea Bocco na Stamil Mbonde

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tangu aanze kuitumia Simba kama taifa stars tumepoteza mechi ngapi?? Na kipindi kandambili wanatumiwa kama taifa stars tuliwahi kufungwa 7 nungeeee!

Pogba wa tz nchi imekushinda!
 
Simba Stars na Akili mbovu za Mashabiki wa Yanga.....
1:Kakolanya....Huyu aliitwa ila amekuwa majeruhi na pia asingeweza kuchukua namba mbele ya Manula.
2:Juma Abduli....ni mzuri ila uwezo wake kwa sasa umeshuka sana huwezi kumlinganisha na kapombe....
3:Hajji mwinyi....Yanga wenyewe hawamwamini ndio maana wanataka kumsajili Gadiely michael sasa kama nyie Yanga hamumuamini kijana wenu mnataka mayanja amwamini...?
4:Yondani....Jamaa ameshuka kiwango huwezi kumuacha Nurdin chona....Salum Mbonde na Erasto nyoni kwa ajili ya Yondani
5:Canavaro....Amestafu timu ya Taifa angekuepo nadhani hata mimi ningegundua matatzo ya mayanja.
6:Makapu....Kama ameachwa mkude Ndemla kaitwa juzi na hajatumiwa mnataka Makapu aitwe wakati kiungo bora wa chini ambaye ni mkude kaachwa....akili zenu mbovu
7:Mwashiuya....Unaanzaje kumuita mchezaji anayesugua benchi ukamuacha mtu kama Kichuya...?
8:Emmanuely martini....Yanga anasugua Benchi timu ya nani ya Taifa inayowaita wasugua Benchi..?
9:Kaseke....huyu kijana ni mchezaji mzuru sana lkn amemuharibu Lwandamila kwa kumsugilisha Benchi
10:Matheo Antony....Yanga wenyewe mnajua kuwa huyu ni Garasa
11😛ato Ngonyani.....Yanga wenyewe mnamtema je mnataka Mayanga amuite timu ya Taifa amuache mzamiru Yassin
12:Ibrahimu Ajibu....Ameachwa akiwa bado yupo Simba
.....Hv nyie vyura Mkude....Ndemla na Mo Ibrahimu wangekuwa wachezaji wenu alafu waachwe c Mungemuua Kocha nyie.....
Mnataka tuwaite Chirwa...Ngoma...Bosou...Tambwe na Twite..?
Acheni fikra mgando nyie Gongowazi.
Ndio umechambua mwenywe umejiona Fundi..... Watu wanaongelea upendeleo wa Hizi team 2 nawewe umejiingiza Humo Humo... Jeeeh team zengne Hazina wachezaj wenye viwango... Vip Kuhusu Huyo Mubarak!? Nilitegemea ungemjibu Huyo aliyesema mgonjwa matokeo yake maelezo mengi point hamna
 
Ndio umechambua mwenywe umejiona Fundi..... Watu wanaongelea upendeleo wa Hizi team 2 nawewe umejiingiza Humo Humo... Jeeeh team zengne Hazina wachezaj wenye viwango... Vip Kuhusu Huyo Mubarak!? Nilitegemea ungemjibu Huyo aliyesema mgonjwa matokeo yake maelezo mengi point hamna

Hehehe imepenya hiyo ,hao wachezaji wa timu zingine ndo wakina nani ? Kina Tegete? Ngasa? Mwafilombe wa majimaji? Tena hakuna kocha aliyejaribu kubalance kikosi kama huyu ,makocha wengine wote wanaita wachezaji simba yanga na azam Labda na mtibwa. Lakini hapo kuna wa majimaji, mbeya city, prisons,mtibwa, kager sugar etc
 
Back
Top Bottom