Abdulrahmani Kinana kuanza ziara kwenye mikoa 4 kuanzia Jumamosi Aprili 23, 2022

BWANKU M BWANKU

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2019
Posts
377
Reaction score
435
ZIARA YA MAKAMU MWENYEKITI WA CCM- BARA NDUGU ABDULRAHMANI KINANA KWENYE MIKOA 4 KUANZA KESHO JUMAMOSI.

KAZI INAENDELEA

Ziara ya uimarishaji uhai wa chama na kuhamasisha wana-CCM kujitokeza kushiriki uchaguzi wa ndani ya Chama unaoendelea.

#CCMImara
#KaziIendelee



 
Ni vyema acha ajenge chama chetu, tushindane kwa haki siyo kwa polisi!!

Hongera CCM mwelekeo mpya tunauona, siyo ile CCM ya ukandamizaji, udikteta na ukabila,

Tunakusubiria pia na huku kusini mwa Tanzania kuna jamaa alisema atatupigia shangazi zetu, Mungu akamlima rungu la kichwa🤣🤣🤣🤣
 
Bora nipite bila kuweka neno.

Na aje ili tupate fursa ya kuwajua idadi ya WANAFIKI nchini.
 
Kweli hujafa hujaumbika. Huyu alivyotuhumiwa kumaliza tembo wetu na kumtukana Magufuli nani alijua angerudi? Kweli Tanzania ni shamba la bibi sasa.
 
JINNI lililovaa mwili wa binadamu limeanza kazi.

Ona uso wake!!

Maskini tembo wetu!!
 
Mbona Makamu wenzie tulikuwa hatuzioni safari hizoooo?
Naona alizi - miss sana hizo safari!
Mbona hatuoni Samia akifanya kama Magufuli? Swali hilo utajibu vipi? Utavyojibu swali hili ndiyo yatakuwa ni majibu ya swali lako
 

Ccm haina uwezo tena wa kushindana kihalali maana imepoteza ushawishi kwa umma. Anapita kuhadaa umma, lakini vyama vingine vikianza kupita na kufanya siasa, wakiona uungwaji mkono wa upinzani vyombo vya dola vinaagizwa tena kuibeba ccm! Uzuri sasa hivi vijana wameshalipuuza box la kura.
 
Hyo mikoa yote n ileile ya kwenda kuhakikisha export products inafanyika
 
Filed Marshal wa Siasa za Tanzania anaingia saiti, sio kuomba Hela kama Chadema, ila kuijenga CCM.

N.B. Huyu ni kampeni meneja wa maraisi karibu watatu, na wote walishinda, full professor wa sayansi ya Siasa za saiti...kwa wananchi, Nape ni Associate Professor
 
Aione THE BIG SHOW
 
Kwa nini aanzie ziara kwenye mikoa yenye mbuga za wanyama?
Jamani wale wa Kilimanjaro na Arusha kaeni chonjo; chonde chonde tembo wetu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…