Abel Dhaira Augua Saratani

Amavubi

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2010
Posts
30,156
Reaction score
13,258
Aliyekua Golikipa wa Simba na Timu ya Taifa ya Uganda (Korongo) Abel Dhaira amebainika kusumbuliwa na saratani ya utumbo mpana (colon cancer) na sasa anaendelea kugangwa kwa dawa (chemotherapy) ili kuondoa seli za saratani huko nchini Iceland. Tiba hii ni mbadala ya mionzi iliyokuwa ikitumika hapo kabla
 
Mwenyezi Mungu amponye. Kama anasoma hapa,namshauri anywe maji ya limao na asali kuondoa sumu na ugonjwa. Saratani sikia kwa watu .
 
nadhani imo ndani ya hoyo tiba mkuu lkn ushauri mzuri pia
Mwenyezi Mungu amponye. Kama anasoma hapa,namshauri anywe maji ya limao na asali kuondoa sumu na ugonjwa. Saratani sikia kwa watu .
 
Duh!pole yake kwa maradhi mola ampe wepesi katika kipindi hiki kigumu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…