Abel Dhaira Augua Saratani

Abel Dhaira Augua Saratani

Amavubi

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2010
Posts
30,156
Reaction score
13,258
Aliyekua Golikipa wa Simba na Timu ya Taifa ya Uganda (Korongo) Abel Dhaira amebainika kusumbuliwa na saratani ya utumbo mpana (colon cancer) na sasa anaendelea kugangwa kwa dawa (chemotherapy) ili kuondoa seli za saratani huko nchini Iceland. Tiba hii ni mbadala ya mionzi iliyokuwa ikitumika hapo kabla
images.jpg
MAF 7.jpg
 
Mwenyezi Mungu amponye. Kama anasoma hapa,namshauri anywe maji ya limao na asali kuondoa sumu na ugonjwa. Saratani sikia kwa watu .
 
nadhani imo ndani ya hoyo tiba mkuu lkn ushauri mzuri pia
Mwenyezi Mungu amponye. Kama anasoma hapa,namshauri anywe maji ya limao na asali kuondoa sumu na ugonjwa. Saratani sikia kwa watu .
 
Back
Top Bottom