jmushi1 Platinum Member Joined Nov 2, 2007 Posts 26,329 Reaction score 25,263 Apr 2, 2012 #1 Hivi huyu bidada miziki yake huwa inapigwa bongo? Kwa habari zaidi kuhusu miziki yake na bio gonga chini... ReverbNation My take: huyu dada ni mwanamziki ambaye maybe hajapata producer ama direction.Sijaweza kuona nyimbo yake, however ni "mwanamziki"
Hivi huyu bidada miziki yake huwa inapigwa bongo? Kwa habari zaidi kuhusu miziki yake na bio gonga chini... ReverbNation My take: huyu dada ni mwanamziki ambaye maybe hajapata producer ama direction.Sijaweza kuona nyimbo yake, however ni "mwanamziki"
MadameX JF-Expert Member Joined Dec 27, 2009 Posts 7,792 Reaction score 3,856 Apr 3, 2012 #2 simjui, aongeze publicity
Huihui2 JF-Expert Member Joined Jan 5, 2012 Posts 7,021 Reaction score 11,475 Apr 3, 2012 #3 Je anapiga ukumbi gani? Coco beach? Mango au Meeda pub?
FirstLady1 JF-Expert Member Joined Jul 29, 2009 Posts 16,789 Reaction score 5,401 Apr 3, 2012 #4 Ndo nani huyu hajawahi kusikika popote nimejaribu hata ku-google sipati any profile yale mmh