Ilo gari hata kwa milioni 2 hakuna atakayenunua!Punguza mashauzi mtoto wa kiume
Unahangaika na watu wasiohangaika nawe.
Hilo deni alienunua gari angemalizana na mmiliki..shida yako nini?
Sina I'd nyingine na uache kumzushia huyo usiemjua
Naona una hamu nikujibu...chukua airtime
Sitajibizana nawe tena kamwe..usiatarajie!
.
Bweka ukimaliza kalale!
wabongo tuna kazi kwakweli.Ilo gari hata kwa milioni 2 hakuna atakayenunua!
Dah una msagia kunguniNimecheki naye gari halitembei!
DSM Magomeni mkuuIpo wapi?
Ipo mkoa wa DarWeka mawasiliano kaka na gari ipo mkoa gani?
Sijui hata kwa nn nikiambiwa gari ipo magomeni, sinza na kinondoni naanza kuwa na wasiwasiDSM Magomeni mkuu
Karibu
Ingekua ni ile old ningesema tuwasiliane chapCc 1990
68,000 kms
Fuel petrol
Automatic transmission
With full documents
Pm kwa mtu serious
View attachment 2251830View attachment 2251831View attachment 2251832View attachment 2251833View attachment 2251835