Kwakweli imebidi nije kwenu maana humu ndio penyewe kwa kila jambo naomba msaada wa kimaamuzi kwa sasa wapenzi wa gospel kati ya hao magwiji wawili nani mkali ?
Andika jina tu kwa unayeona nyimbo zake ni nzuri mnoooo hakuna kila binadamu anaupande wake bila unafiki Mimi nàmkubali Abihudi Misholi