kilwakivinje
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 6,184
- 9,407
Subiri nikuitie wahusika Scars Greatest Of All Time OKW BOBAN SUNZUSimba guvu moya
Naombeni mnipe tofauti yake wadau maana sisi wanalunyasi tumekomaa sana na hili abiola cup
1. Abiola lilikuwa kombe la mtu, shirikisho ni kombe la shirikisho la mpira Africa.Simba guvu moya
Naombeni mnipe tofauti yake wadau maana sisi wanalunyasi tumekomaa sana na hili abiola cup
Abiola alidhamini tu lakini lile lilikuwa CAF CUP . Hilo hapo na medali yakeSimba guvu moya,
Naombeni mnipe tofauti yake wadau, maana sisi Wanalunyasi tumekomaa sana na hili Abiola Cup?
Mechi tatu fainali ndio kitu gani?2. Abiola ilikuwa mechi tatu fainali, shirikisho ni mechi 12 ndio fainali.
Huenda haujui business katika mpira. Yaani hicho ulichoandika ni sawa na kusema CAF CL na CAF CC ni kombe la Total Energies, sio la CAF, au NBC Premier League ni kombe la NBC, sio la TFF1. Abiola lilikuwa kombe la mtu, shirikisho ni kombe la shirikisho la mpira Africa.
Hujaelewa nn apo kwa mdau? kichwa chako kimejaa kamas kiasi cha kushindwa kuelewa Jambo dogo hiliMechi tatu fainali ndio kitu gani?
Mtu asiye na hoja utamgundua kwa kuporomosha matusi badala ya kuonyesha hoja yakeHujaelewa nn apo kwa mdau? kichwa chako kimejaa kamas kiasi cha kushindwa kuelewa Jambo dogo hili
Kwa hiyo kombe la Kagame ni la mtu?1. Abiola lilikuwa kombe la mtu, shirikisho ni kombe la shirikisho la mpira Africa.
2. Abiola ilikuwa mechi tatu fainali, shirikisho ni mechi 12 ndio fainali.
MKUU pamoja ufafanuzi huu mzuri ila vyura bado hawatakuelewa kwa kuwa wenye akili ni wawili na bahati mbaya hao wawili hawapo jamiiforum.Huenda haujui business katika mpira. Yaani hicho ulichoandika ni sawa na kusema CAF CL na CAF CC ni kombe la Total Energies, sio la CAF, au NBC Premier League ni kombe la NBC, sio la TFF
Kazi sana kuelekeza watu wenye majibu yao kichwani...na ambao hawataki kusikia ukweli..Mtu asiye na hoja utamgundua kwa kuporomosha matusi badala ya kuonyesha hoja yake
Mashindano ya 1993 CAF Cup yalikuwa na Preliminary Round, First Round, Second Round, Quarter Final, Semi Final na Final. Sasa sijajua timu iliyofika Fainali itawezaje kucheza mechi tatu
Kafie mbele......Huenda haujui business katika mpira. Yaani hicho ulichoandika ni sawa na kusema CAF CL na CAF CC ni kombe la Total Energies, sio la CAF, au NBC Premier League ni kombe la NBC, sio la TFF
Kagame alilibadilisha jina lile la shirikisho akaliita jina lake ila Abiola alianzisha hilo kombe kwa pesa yake msifosi tufanane.Kwa hiyo kombe la Kagame ni la mtu?
Je bingwa alicheza super cup?Abiola alidhamini tu lakini lile lilikuwa CAF CUP . Hilo hapo na medali yakeView attachment 2642140View attachment 2642141
Watujibu na hiliViongozi wetu Simba acheni kutafuta sababu, hiyo ni historia ilishapita tunataka tufurahi Leo. Hela za robo fainail CUF mara mbili ziko wapi? Kwa Nini mlisajili magalasa.
Hawezi jibu Hilo swaliJe bingwa alicheza super cup?