Bingwa wa Shirikisho anakutana na Bingwa CAF Champions ili kupata Bingwa wa Super Cup lakini Bingwa wa Kombe la Abiola alikuwa hashiriki Super Cup na badala yake aliyekuwa anashiriki ni Bingwa wa Kombe la Washindi, yaani Klabu Bingwa vs Kombe la Washindi na sio Klabu Bingwa vs Abiola CupSimba guvu moya,
Naombeni mnipe tofauti yake wadau, maana sisi Wanalunyasi tumekomaa sana na hili Abiola Cup?
Kwahiyo hiyo ndo tofauti kati ya Shirikisho na Abiola Cup?!Abiola alidhamini tu lakini lile lilikuwa CAF CUP . Hilo hapo na medali yakeView attachment 2642140View attachment 2642141
Ndio makombe diazaini hio leo lipo kesho halipo, mara ya mwisho hio kagame imechezwa liniKwa hiyo kombe la Kagame ni la mtu?
Unamaanisha lile lilikuwa kama bonanzaAbiola hata ndanda wanaweza shiriki. Jezi mnavaa hata za cricket sawa tu,kipa akidaka mpira anaweza akalala nao hata busy saaa,mpira ukitoka corner mara tatu mtawalio mnapigiwa penati,refa anavaa singilendi nk
Swadakta kiongoziUnamaanisha lile lilikuwa kama bonanza
Kwani hicho kikombe kinasomekaje? Hakukuwa na kitu kinaitwa Abiola cup,huu ni upotoshaji wa Haji Manara tu.Kwahiyo hiyo ndo tofauti kati ya Shirikisho na Abiola Cup?!
Swali lake halihusiani na Abiola Cup kuwa CAF Cup au hapana bali ametaka kufahamu tofauti kati ya Abiola Cup na Confederation Cup!Kwani hicho kikombe kinasomekaje hapoView attachment 2642382
Hakukuwepo na Abiola CupSwali lake halihusiani na Abiola Cup kuwa CAF Cup au hapana bali ametaka kufahamu tofauti kati ya Abiola Cup na Confederation Cup!
Hasira za kupigwa na mwarabu hizoKafie mbele......
Kuliwepo nini?!Hakukuwepo na Abiola Cup